Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Askari mla watu akamatwa nchini Ufaransa kabla ya kumla mhanga wake

    Askari mla watu akamatwa nchini Ufaransa kabla ya kumla mhanga wake

    Jan 25, 2022 07:43

    Polisi wa Ufaransa wanasema kuwa wamemkamata mwanajeshi mwenye historia ya kufanya uhalifu kabla ya kumuwinda ajuza mmoja kwa ajili ya kula nyama yake.

  • Kambi ya jeshi la Ufaransa nchini Mali yashambuliwa, kadhaa wauawa, kujeruhiwa

    Kambi ya jeshi la Ufaransa nchini Mali yashambuliwa, kadhaa wauawa, kujeruhiwa

    Jan 23, 2022 23:12

    Kwa akali askari mmoja wa Ufaransa ameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhuwa katika shambulio la roketi dhidi ya kambi ya kijeshi ya nchi hiyo ya Ulaya huko kaskazini mwa Mali.

  • Mali yataka mkataba wa ushirikiano wake wa kijeshi na kiulinzi na Ufaransa upitiwe upya

    Mali yataka mkataba wa ushirikiano wake wa kijeshi na kiulinzi na Ufaransa upitiwe upya

    Jan 20, 2022 23:46

    Serikali ya Mali inapanga kupitia upya mkataba wa ushirikiano wa kijeshi na kiulinzi kati yake na Ufaransa. Mkataba huo kati ya nchi hizo mbili ulitiwa saini mwaka 2014 na kuanzisha operesheni Barkhane ili kuisaidia Mali kupambana na makundi ya kigaidi.

  • Maseneta wa Ufaransa wapasisha mpango wa kupiga marufuku hijabu michezoni

    Maseneta wa Ufaransa wapasisha mpango wa kupiga marufuku hijabu michezoni

    Jan 20, 2022 04:43

    Baraza la Seneti la Ufaransa limepiga kura na kupasisha sheria inayopiga marufuku uvaaji wa vazi la stara na heshima la hijabu katika mashindano ya michezo.

  • Macron: Ufaransa itakabiliwa na hali ngumu sana katika wiki kadhaa zijazo

    Macron: Ufaransa itakabiliwa na hali ngumu sana katika wiki kadhaa zijazo

    Jan 01, 2022 04:45

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametahadharisha kuwa, nchi hiyo itakabiliana na hali ngumu katika kipindi cha wiki kadhaa zijazo.

  • Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu Iran: Ufaransa irekebishe sheria zinazowapiga vita Waislamu

    Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu Iran: Ufaransa irekebishe sheria zinazowapiga vita Waislamu

    Dec 19, 2021 04:47

    Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Iran ameitaka Ufaransa itazame upya sheria zake zilizodhidi ya Waislamu.

  • Makaburi ya Waislamu Ufaransa yabomolewa na makundi yenye misimamo mikali

    Makaburi ya Waislamu Ufaransa yabomolewa na makundi yenye misimamo mikali

    Dec 13, 2021 03:59

    Chuki dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa zinazidi kuongezeka baada ya makaburi ya Waislamu kushambuliwa na makundi yenye misimamo ya kufurutu mpaka.

  • Emmanuel Macron ashutumiwa kwa kujaribu 'kumsafisha' Mohammed bin Salman

    Emmanuel Macron ashutumiwa kwa kujaribu 'kumsafisha' Mohammed bin Salman

    Dec 04, 2021 23:33

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamekosoa mkutano wa Rais Emmanuel Macron na Ufaransa na mriti wa ufalme wa Saudia Mohammed bin Salman jana Jumamosi huko Riyadh yakisisitiza kuwa mkutano huo una lengo la kumsafisha mrithi huo wa ufalme wa Saudia aliyeamuru kuuawa kigaidi mwandishi habari jamal Khashoggi.

  • Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili

    Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili

    Dec 03, 2021 23:09

    Baada ya siku saba, Ufaransa imekataa ombi la Uingereza lililokuwa limetolewa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Boris Johnson kwa Rais Emmanuel Macron.

  • Upinzani dhidi ya wanajeshi wa Ufaransa waongezeka Niger, Burkina Faso

    Upinzani dhidi ya wanajeshi wa Ufaransa waongezeka Niger, Burkina Faso

    Nov 27, 2021 23:21

    Asasi za kitaifa za Niger zimeendelea na harakati kama za wananchi wa Burkina Faso za kufanya maandamano ya kupinga kuwepo wanajeshi wa Ufaransa katika nchi hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS