Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Bunge la Ufaransa lapitisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu

    Bunge la Ufaransa lapitisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu

    Feb 17, 2021 04:34

    Bunge la Ufaransa jana Jumanne lilipitisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.

  • Kuanza kikao cha kundi la nchi 5 za Sahel Afrika huko Chad

    Kuanza kikao cha kundi la nchi 5 za Sahel Afrika huko Chad

    Feb 16, 2021 22:54

    Kikao cha kundi la nchi 5 za Sahel Afrika kimeanza katika mji mkuu wa Chad N’Djamena kwa kuhudhuriwa na viongozi wa Ufaransa na wa mataifa ya magharibi wa Afrika.

  • Mashauriano ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufaransa kuhusu namna ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Mashauriano ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufaransa kuhusu namna ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Feb 16, 2021 04:23

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufanrasa jana usiku walifanya mashauriano kuhusu masuala tofauti yakiwemo jinsi ya kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA na vile vile hali ya msambao wa kasi wa virusi vya corona barani Ulaya.

  • Maandamano ya Paris Ufaransa ya kupinga ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

    Maandamano ya Paris Ufaransa ya kupinga ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

    Feb 15, 2021 08:56

    Mwenedo wa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya hususan nchini Ufaransa ungali unaendelea ambapo Waislamu wa nchi hiyo wamekuwa wakikabiliwa na mashinikizo makubwa.

  • Maandamano yaendelea Paris Ufaransa, kupinga ukandamizaji dhidi ya Waislamu

    Maandamano yaendelea Paris Ufaransa, kupinga ukandamizaji dhidi ya Waislamu

    Feb 15, 2021 04:22

    Maandamano ya wananchi wa Ufaransa ya kupinga sheria kali za kuwakandamiza Waislamu nchini humo yanaendelea hasa dhidi ya mpango mpya wa nchi hiyo ya kuwabana zaidi ya Waislamu.

  • Iran yajibu bwabwaja za Ufaransa juu ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran yajibu bwabwaja za Ufaransa juu ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 30, 2021 23:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema silaha za Ufaransa na nchi nyingine za Magharibi ndilo chimbuko kuu la ukosefu wa uthabiti katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Mwanasiasa wa Ufaransa ataka marufuku ya hijabu katika maeneo ya umma

    Mwanasiasa wa Ufaransa ataka marufuku ya hijabu katika maeneo ya umma

    Jan 30, 2021 04:49

    Mwanasiasa mashuhuri wa mrengo wa kulia na mwenye misimamo mikali wa Ufaransa ametoa pendekezo la kupigwa marufuku uvaaji wa vazi la stara la hijabu katika maeneo yote ya umma nchini humo.

  • Rais Macron ashambuliwa kwa kutilia shaka chanjo ya corona

    Rais Macron ashambuliwa kwa kutilia shaka chanjo ya corona

    Jan 30, 2021 04:29

    Wabunge wahafidhina na wanasayansi wa Ulaya wamemjia juu Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kusema kuwa chanjo ya kukabiliana na corona ya shirika la AstraZeneca la Uingereza 'haifanyi kazi' kama ilivyotarajiwa.

  • Kukataa kuomba radhi Macron kwa jinai ilizofanya Ufaransa enzi za ukoloni nchini Algeria

    Kukataa kuomba radhi Macron kwa jinai ilizofanya Ufaransa enzi za ukoloni nchini Algeria

    Jan 22, 2021 06:55

    Ufaransa, ambayo ilikuwa moja ya madola ya kikoloni, ina faili chafu na la kuaibisha kuhusiana na uvamizi, ukaliaji ardhi kwa mabavu na vitendo vya jinai ilivyofanya mnamo karne ya 20 katika nchi ilizozikoloni hususan Algeria.

  • Macron: Ufaransa haitaiomba radhi Algeria kwa dhulma za enzi za ukoloni

    Macron: Ufaransa haitaiomba radhi Algeria kwa dhulma za enzi za ukoloni

    Jan 21, 2021 00:57

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema nchi hiyo ya Ulaya 'haitatubu' wala kuiomba radhi Algeria kutokana na jinai zilizofanywa na Wafaransa katika zama walipoikoloni nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS