-
Sera za kuingilia kati za Macron nchini Lebanon
Sep 28, 2020 06:02Matukio ya Kisiasa ya hivi karibuni nchini Lebanon hususan baada ya mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut mwezi Agosti mwaka huu ambao umepelekea kujiuzulu serikali ya nchi hiyo yametayarisha mazingira ya uingiliaji wa nchi za Magharibi hususan Ufaransa na Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo
-
Ufaransa yaanza kuchunguza jinai dhidi ya binadamu zilizofanywa na benki ya nchi hiyo huko Sudan
Sep 25, 2020 04:54Mahakama moja ya Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na benki moja ya nchi hiyo nchini Sudan.
-
Rais Macron: Mashinikizo ya juu zaidi ya Marekani dhidi ya Iran yamefeli
Sep 23, 2020 04:37Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekiri kuwa, sera ya mashinikizo ya juu zaidi ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imegonga mwamba.
-
Wabunge wa Ufaransa nao wapinga mapatano ya Imarati, Bahrain na Israel
Sep 21, 2020 10:10Wabunge 61 wa Bunge la Ufaransa wamekosoa mapatano ya kuanzishwa uhusiano baina ya Imaratina Bahrain na utawala haramu wa Israel.
-
Wabunge wenye chuki wa Ufaransa wahamakishwa na hijabu bungeni
Sep 20, 2020 22:56Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu barani Ulaya, mbunge mmoja wa chama tawala cha Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameongoza wabunge wenzake kutoka kwenye ukumbi wa bunge, eti kulalamikia uwepo wa mwanafunzi aliyevalia hijabu ndani ya taasisi hiyo ya taifa ya kutunga sheria.
-
Ufaransa yakadhibisha madai ya Marekani dhidi ya Hizbullah
Sep 19, 2020 08:19Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa imesema hakuna ushadidi wowote unaoonyesha kuwa tawi la kijeshi la harakati ya Hizbullah ya Lebanon limefanya magendo ya kemikali kwa ajili ya kutengeneza mada za mlipuko nchini Ufaransa, kama inavyodai Marekani.
-
Erdogan amkumbusha Macron jinai za Ufaransa barani Afrika, asema hajui hata historia ya nchi yake
Sep 13, 2020 09:07Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amemtahadharisha mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron kuhusu matatizo atakayokumbana nayo mkabala wake yeye na kumkumbusha jinai na uhalifu uliofanywa na Paris barani Afrika.
-
Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran
Sep 12, 2020 02:54Baada ya kugonga mwamba hatua za kila aina ilizojaribu kuchukua Marekani ili kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran, Washington iliibua dai la kutaka kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tehran, ambavyo viliondolewa baada ya kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA;
-
Iran nzima yaandamana kulaani vikali kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW nchini Ufaransa
Sep 10, 2020 07:31Wananchi wa Iran wameendelea kuandamana kulaani kwa nguvu zao zote ufidhuli wa jarida ya Charlie Hebdo la Ufaransa wa kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW na pia kitendo cha maadui wa Uslamu cha kuchoma moto nakala ya Qur'ani Tukufu katika mji wa Malmö wa kusini mwa Sweden.
-
Juhudi za Ufaransa za kutaka kuhalalisha uwepo wa majeshi yake nchini Mali
Sep 07, 2020 05:50Hali ya mambo nchini Mali inaripotiwa kuwa mbaya baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyomlazimisha rais wa nchi hiyo kung'atuka madarakani.