May 15, 2022 03:32
Katika mwendelezo wa vitendo vya ukatili wa mauaji ambavyo haviwezi kudhibitiwa tena nchini Marekani, kijana mmoja Mzungu mwenye umri wa miaka 18 amewaua kwa kuwapiga riasasi watu wasiopungua kumi na kuwajeruhi wengine watatu katika duka kuu moja la mji wa Buffalo, New York Marekani.