Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Walimwengu wapaza sauti kulaani mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran

    Walimwengu wapaza sauti kulaani mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran

    Nov 29, 2020 04:20

    Mataifa na viongozi mbalimbali wa dunia wameendelea kulaani mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran na kusisitiza kuchukuliwa hatua waliohusika na jinai hiyo.

  • Iran yalaani shambulizi la kigaidi Vienna nchini Austria

    Iran yalaani shambulizi la kigaidi Vienna nchini Austria

    Nov 03, 2020 06:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililotokea nchini Austria na kusema kuwa, kuna udharura wa kuwepo ushirikiano wa jamii ya kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na mizizi ya ugaidi.

  • Rais wa zamani wa Ufaransa: Si sahihi kuwahusisha magaidi na Uislamu

    Rais wa zamani wa Ufaransa: Si sahihi kuwahusisha magaidi na Uislamu

    Oct 31, 2020 04:08

    Rais wa zamani wa Ufaransa, François Hollande amemuonya rais wa hivi sasa nchi hiyo Emmanuel Macron na kusema kuwa hapaswi kuwahusisha magaidi na dini ya Uislamu.

  • Waziri Mkuu wa Canada apingana na Macron, asema Uislamu hauna mfungamano na ugaidi

    Waziri Mkuu wa Canada apingana na Macron, asema Uislamu hauna mfungamano na ugaidi

    Oct 30, 2020 05:24

    Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau amesema kuwa gaidi aliyetekeleza hujuma ya kigaidi katika mji wa Nice nchini Ufaransa hawakilishi dini ya Uislamu wala Waislamu, na kwamba watu wote wanapasa kukiri ukweli huo.

  • Ufaransa yalaumiwa kwa kuficha tukio la kudungwa visu Waislamu 2 kwenye Mnara wa Eiffel, al Azhar yaalani

    Ufaransa yalaumiwa kwa kuficha tukio la kudungwa visu Waislamu 2 kwenye Mnara wa Eiffel, al Azhar yaalani

    Oct 22, 2020 23:31

    Mashambulizi na hujuma dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa yameongezeka katika siku chache za hivi karibuni kwa kisingizio cha kupambana na "misimamo mikali".

  • Ahadi ya Marekani; kuondolewa jina la Sudan katika orodha ya mataifa yanayounga mkono ugaidi

    Ahadi ya Marekani; kuondolewa jina la Sudan katika orodha ya mataifa yanayounga mkono ugaidi

    Oct 20, 2020 23:06

    Majadiliano baina ya Marekani na Sudan yangali yanaendelea huku kila upande ukijaribu kuubembeleza upande wa pili.

  • Muhammad Ali al-Houthi: Ugaidi ni wenzo unaotumiwa na Trump kuwakandamiza wapinzani

    Muhammad Ali al-Houthi: Ugaidi ni wenzo unaotumiwa na Trump kuwakandamiza wapinzani

    Aug 01, 2020 21:01

    Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitumia ugaidi kama wenzo wa kukabiliana na wapinzani wa siasa za Washington pamoja na ugaidi wa kiserikali wa nchi hiyo.

  • Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi

    Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi

    Jul 25, 2020 22:11

    Balozi wa Syria mjini Tehran amesema, uchokozi wa ndege za kivita za Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria ni nembo na dhihirisho la ugaidi wa Marekani dhidi ya raia wakiwemo wanawake na watoto.

  • Ripoti ya kila mwaka ya Marekani kuhusu ugaidi; hila ya kujitia pambani ili kujivua na lawama

    Ripoti ya kila mwaka ya Marekani kuhusu ugaidi; hila ya kujitia pambani ili kujivua na lawama

    Jun 26, 2020 09:01

    Baada ya matukio ya Septemba 11, 2001, Marekani ilitumia kisingizio cha kupambana na ugaidi duniani ili kuzishambulia na kuzikalia kijeshi Afghanistan na Iraq.

  • Ivory Coast yamtia nguvuni kiongozi wa kundi lililofanya shambulizi la tarehe 10 Juni

    Ivory Coast yamtia nguvuni kiongozi wa kundi lililofanya shambulizi la tarehe 10 Juni

    Jun 22, 2020 21:59

    Ivory Coast imetangaza kuwa imemtia nguvuni mkuu wa kundi la makomando waliofanya shambulio la Juni 10 ambalo liliwauwa askari wasiopungua 10 kaskazini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS