Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Iran yaangamiza magaidi wanne wa ISIS na kunasa silaha na bendera

    Iran yaangamiza magaidi wanne wa ISIS na kunasa silaha na bendera

    Jun 12, 2017 21:56

    Maafisa wa usalama kusini mwa Iran wamefanikiwa kuwaangamzia magaidi wanne wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh sambamba na kunasa silaha walizokuwa nazo pamoja na bendera ya kundi hilo la kigaidi.

  • Qatar: Tuliwakaribisha Taliban mjini Doha kwa matakwa ya Marekani

    Qatar: Tuliwakaribisha Taliban mjini Doha kwa matakwa ya Marekani

    Jun 12, 2017 03:21

    Afisa wa ngazi za juu wa serikali ya Qatar amesema kuwa, nchi hiyo ililialika kundi la kigaidi la Taliban mjini Doha kutokana na takwa la Marekani ambayo leo, ikiwa pamoja na nchi kadhaa za Kiarabu, inaituhuma Qatar kuwa inaunga mkono makundi yenye misimamo mikali.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; kushindwa mfumo wa Ubeberu kuiteteresha irada ya taifa la Iran

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; kushindwa mfumo wa Ubeberu kuiteteresha irada ya taifa la Iran

    Jun 09, 2017 11:16

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuhusiana na mashambulio ya kigaidi ya Tehran kuwa taifa la Iran linaendelea kusonga mbele na kwamba harakati za aina hiyo haziwezi kuathiri na kuteteresha irada na azma ya wananchi.

  • Wizara ya Mambo ya Ndani: Mashambulio ya kigaidi Tehran yamehatimishwa, watu 12 wameuawa

    Wizara ya Mambo ya Ndani: Mashambulio ya kigaidi Tehran yamehatimishwa, watu 12 wameuawa

    Jun 07, 2017 11:13

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya iran imetangaza kuwa, mashambulio mawili ya kigaidi yaliyotokea leo mjini Tehran yamehatimishwa na kwamba, kila kitu kiko chini ya udhibiti wa vikosi vya usalama.

  • Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu

    Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu

    Jun 04, 2017 02:53

    Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan amesema mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika nchi jirani ya Misri sawa na hujuma nyingine za kigaidi katika sehemu mbali mbali duniani hazina uhusiano wala mafungamano yoyote na dini ya Kiislamu.

  • Kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu nchini Chad

    Kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu nchini Chad

    Jun 02, 2017 03:08

    Hali ya kibinadamu nchini Chad na hasa magharibi mwa nchi hiyo katika bonde la Ziwa Chad imeripotiwa kuwa mbaya huku hofu ya kuongezeka idadi ya wahajiri na kumiminika wimbi jipya la wakimbizi katika eneo hilo ikitishia kuifanya hali hiyo iwe mbaya zaidi.

  • Hizbullah: Inashangaza kuona waungaji mkono wa ugaidi wakiuhusisha muqawama na ugaidi

    Hizbullah: Inashangaza kuona waungaji mkono wa ugaidi wakiuhusisha muqawama na ugaidi

    May 29, 2017 09:22

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon katika eneo la Beqaa amesema kuwa, anashangazwa na Marekani kuutuhumu muqawama na ugaidi katika hali ambayo ni nchi hiyo ndiyo inayouunga mkono ugaidi wa utawala haramu wa Israel.

  • Kenya kutumia jeshi kutegua mabomu ya barabarani

    Kenya kutumia jeshi kutegua mabomu ya barabarani

    May 26, 2017 03:24

    Kenya imetuma wanajeshi katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kwenda kutegua mabomu yaliyotegwa barabarani baada ya watu 20 wakiwemo maafisa 11 kuuawa katika miripuko ya barabarani kwenye eneo hilo.

  • Iran iko tayari kushirikiana na Sierra Leone katika kupambana na ugaidi

    Iran iko tayari kushirikiana na Sierra Leone katika kupambana na ugaidi

    May 25, 2017 03:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria mashambulio ya kigaidi katika baadhi ya nchi za Ulaya na Afrika na kutangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kushirikiana na Sierra Leone katika kupambana na ugaidi na misimamo ya kufurutu mpaka.

  • Madai ya waungaji mkono wa magaidi ya kupambana na vyanzo vya kifedha vya magaidi

    Madai ya waungaji mkono wa magaidi ya kupambana na vyanzo vya kifedha vya magaidi

    May 22, 2017 04:35

    Katika hali ambayo Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu, wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi ndivyo vyanzo vikuu vya kifedha vya makundi ya kigaidi, jana Jumapili, nchi wanachama wa baraza hilo na Marekani zilikutana mjini Riyadh, Saudi Arabia na kutiliana saini hati ya maelewano kuhusiana na kuanzisha kituo maalumu cha kupambana na waungaji mkono wa kifedha wa makundi ya kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS