Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Magaidi wa Al Shabab waua afisa wa utawala Kenya

    Magaidi wa Al Shabab waua afisa wa utawala Kenya

    May 16, 2017 09:43

    Watu wanaoaminika kuwa magaidi wa kundi la kigaidi la Al Shabab kutoka Somalia wameingia katika eneo la mpakani kaskazini mashariki mwa Kenya na kumuua afisa mmoja wa utawala nchini humo.

  • UN: Ubakaji unatumiwa kama mbinu ya ugaidi Somalia, Nigeria

    UN: Ubakaji unatumiwa kama mbinu ya ugaidi Somalia, Nigeria

    May 16, 2017 09:14

    Umoja wa Mataifa umesema uhalifu wa kijinsia unatumiwa na magaidi kama moja ya mbinu zao katika nchi za Somalia, Nigeria na Mali.

  • Iran yakamata magaidi na kunasa mada za milipuko

    Iran yakamata magaidi na kunasa mada za milipuko

    May 13, 2017 09:27

    Vikosi vya usalama Iran vimefanikiwa kusambaratisha kijikundi cha kigaidi ambacho kilikuwa kinapanga kutekeleza hujuma ndani ya nchi.

  • Rais wa Somalia aomba msaada wa kimataifa

    Rais wa Somalia aomba msaada wa kimataifa

    May 11, 2017 23:12

    Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa Somalia ameiuomba jamii ya kimataifa iisaidie nchi yake katika kupambana na ugaidi, ufisadi na umaskini wa kuchupa mipaka; mambo ambayo amesema ndiye adui mkuu wa nchi hiyo.

  • Sisitizo la Putin la kuendeleza mapambano dhidi ya ugaidi, misimamo mikali na unazi mambo leo

    Sisitizo la Putin la kuendeleza mapambano dhidi ya ugaidi, misimamo mikali na unazi mambo leo

    May 10, 2017 00:54

    Rais Vladimir Putin wa Russia alisema katika hotuba aliyoitoa jana Jumanne kwa mnasaba wa Siku ya Ushindi mjini Moscow kwamba kuna udharura kwa jamii ya kimataifa kusimama imara na kushirikiana kukabiliana na vitisho vinavyohatarisha usalama wa wote. Amesema, kuna udharura wa kuweko mapambano ya kweli dhidi ya ugaidi, misimamo mikali, unazi mambo leo na kila kitu kinachohatarisha usalama wa kimataifa. Aidha amesema, Moscow iko tayari kushirikiana na nchi yoyote ile katika jambo hilo.

  • Iran: Kauli ya Salman ni ithibati kuwa Saudia inaunga mkono ugaidi

    Iran: Kauli ya Salman ni ithibati kuwa Saudia inaunga mkono ugaidi

    May 03, 2017 23:33

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Naibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi wa Saudi Arabia ni dhihirisho tosha kuwa Riyadh inaunga mkono ugaidi na utawala huo wa kifalme umejengeka katika misingi ya sera haribifu.

  • Hatari ya ugaidi, changamoto kubwa zaidi ya Misri

    Hatari ya ugaidi, changamoto kubwa zaidi ya Misri

    May 01, 2017 23:55

    Rais Abdulfattah as-Sisi, wa Misri amesema kwamba hatari ya ugaidi ni changamoto kubwa zaidi kati ya changamoto zinazoikabili nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Putin asisitiza udharura wa kuwepo msimamo mmoja katika kupambana na ugaidi

    Putin asisitiza udharura wa kuwepo msimamo mmoja katika kupambana na ugaidi

    Apr 27, 2017 21:58

    Rais Vladmi Putin wa Russia amesema katika ujumbe uliosomwa kwenye Mkutano wa Sita wa Usalama wa Kimataifa mjini Moscow kwamba, mapambano dhidi ya ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kaskazini mwa Afrika yanahitaji kuwa na mtazamo na msimamo mmoja na unaooana.

  • Nchi za magharibi mwa Afrika zakutana na kujadili namna ya kupambana na ugaidi

    Nchi za magharibi mwa Afrika zakutana na kujadili namna ya kupambana na ugaidi

    Apr 27, 2017 23:14

    Watalaamu kutoka nchi 10 za magharibi mwa Afrika wamekutana katika mji mkuu wa Togo, Lome na kujadili namna ya kupambana na tatizo la ugaidi pamoja na njia za kuboresha usalama na amani katika ndege za abiria.

  • Zarif atoa wito wa kupambana na ugaidi na misimamo ya kuchupa mipaka

    Zarif atoa wito wa kupambana na ugaidi na misimamo ya kuchupa mipaka

    Apr 27, 2017 03:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jitihada za pamoja za kimataifa zinahitajika ili kung'oa mizizi ya ugaidi na kuenea wimbi la misimamo mikali ya kufurutu ada.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS