Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Mahudhurio ya kwanza rasmi ya Iran katika kikao cha Baraza la Kupambana na Ugaidi la Shanghai; hatua muhimu ya ushirikiano wa kiusalama nje ya mipaka

    Mahudhurio ya kwanza rasmi ya Iran katika kikao cha Baraza la Kupambana na Ugaidi la Shanghai; hatua muhimu ya ushirikiano wa kiusalama nje ya mipaka

    Sep 10, 2023 07:56

    Kufuatia uanachama kamili wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai, ujumbe kutoka Iran umeshiriki kwa mara ya kwanza katika mkutano wa 40 wa Baraza la Muundo wa Kieneo wa Kupambana na Ugaidi la jumuiya hiyo.

  • Askari kadhaa wa Somalia wauawa katika mripuko wa bomu Mogadishu

    Askari kadhaa wa Somalia wauawa katika mripuko wa bomu Mogadishu

    Aug 11, 2023 02:18

    Wanajeshi kadhaa wa Somalia wamepoteza maisha baada ya gari lililokuwa limewabeba kukanyaga bomu katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Makumi wauawa katika shambulizi la magaidi wa ISWAP Nigeria

    Makumi wauawa katika shambulizi la magaidi wa ISWAP Nigeria

    Jul 27, 2023 10:19

    Makumi ya watu wameuawa nchini Nigeria katika shambulizi la kundi la kigaidi la ISIS au Daesh tawi la Afrika Magharibi (ISWAP).

  • Ecowas: Afrika Magharibi imesajili mashambulizi ya kigaidi zaidi ya 1,800 hadi sasa

    Ecowas: Afrika Magharibi imesajili mashambulizi ya kigaidi zaidi ya 1,800 hadi sasa

    Jul 27, 2023 02:30

    Omar Touray Mwenyekiti wa Kamisheni ya Jumuiya ya Ecowas amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa watu laki tano katika Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (Ecowas) yenye nchi wanachama 15 ni wakimbizi. Ameongeza kuwa watu wengine karibu milioni 6 na laki mbili wamekuwa wakimbizi wa ndani katika nchi hizo za magharibi mwa Afrika.

  • Kutiwa  nguvuni wanachama wa mtandao mkubwa zaidi wa kigaidi wenye mfungamano na utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Iran

    Kutiwa nguvuni wanachama wa mtandao mkubwa zaidi wa kigaidi wenye mfungamano na utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Iran

    Jul 26, 2023 08:07

    Wizara ya Usalama wa Taifa ya Iran imetangaza kuwa imewatia mbaroni wanachama wa mtandao mkubwa zaidi wa kigaidi wenye mfungamano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika mikoa kadhaa nchini.

  • UN yalaani shambulizi la kigaidi Uganda, waliouawa ni zaidi ya 40

    UN yalaani shambulizi la kigaidi Uganda, waliouawa ni zaidi ya 40

    Jun 18, 2023 07:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililoua makumi ya wanafunzi katika eneo la Mpondwe, magharibi mwa Uganda.

  • Rais wa Iran:  Syria imeibuka na ushindi licha ya vitisho na vikwazo

    Rais wa Iran: Syria imeibuka na ushindi licha ya vitisho na vikwazo

    May 03, 2023 11:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, serikali ya Syria pamoja na wananchi wa nchi hiyo wamepitia masaibu na matatizo mengi na hii leo taifa hilo limeweza kuibuka ushindi.

  • Ripoti: Vifo vya hujuma za kigaidi eneo la Sahel vimeongezeka kwa 2000%

    Ripoti: Vifo vya hujuma za kigaidi eneo la Sahel vimeongezeka kwa 2000%

    Mar 24, 2023 02:23

    Ripoti mpya iliyochapishwa na taasisi moja inayofuatilia mashambulizi na mieiendo ya makundi ya kigaidi duniani inasema kuwa, vifo vinavyotokana na hujuma za kigaidi katika eneo la Sahel barani Afrika vimeongezeka kwa asilimia 2000 katika kipindi cha miaka 15 iliyopita.

  • Waziri Mkuu wa Mali: Tuna ushahidi, Ufaransa inashirikiana na magaidi

    Waziri Mkuu wa Mali: Tuna ushahidi, Ufaransa inashirikiana na magaidi

    Mar 08, 2023 06:37

    Waziri Mkuu wa Mali, Choguel Kokalla Maïga, amefichua - katika mahojiano maalumu na televisheni ya Al-Jazeera ya Qatar- kuwa Bamako ina taarifa sahihi na ushahidi kwamba baadhi ya magaidi waliko nchini Mali wamekuwa wakiwasiliana na Ufaransa.

  • Mchango wa NATO katika kuimarika magaidi barani Afrika

    Mchango wa NATO katika kuimarika magaidi barani Afrika

    Mar 08, 2023 02:25

    Uwepo wa makundi ya kigaidi amilifu katika maeneo mbalibali barani Afrika hususan katika eneo la Sahel Afrika umekuwa tatizo na kikwazo cha kurejesha amani katika mataifa ya aeneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS