-
Uganda yatangaza tarehe ya uchaguzi mkuu, kampeni kuanza Jumatatu
Nov 05, 2020 11:50Tume ya Uchaguzi Uganda (EC) imetangaza tarehe 14 Januari mwaka ujao 2021 kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mkuu ukiwemo wa urais.
-
Mpinzani wa Rais Museven, Bobi Wine akamatwa baada ya kupasishwa kugombea urais
Nov 03, 2020 10:48Kiongozi wa Jukwaa la Umoja wa Kitaifa anayebeba bendera ya chama hicho katika uchaguzi ujao wa rais nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kwa jina la Bobi Wine amekamatwa muda mfupi baada ya kupasishwa kugombea kiti hicho.
-
Licha ya changamoto za corona kwa maisha ya watu, sekta ya kilimo imekuwa na ustawi nchini Uganda + SAUTI
Oct 31, 2020 08:28Sekta ya kilimo imekuwa na ustawi nchini Uganda licha ya hali ngumu inayowakabili wananchi kutokana na janga la Covid-19
-
Polisi ya Uganda yasema imemkamata Bobi Wine kwa kuvaa magwanda ya kijeshi
Oct 15, 2020 07:30Vyombo vya usalama nchini Uganda vimesema lengo la kuvamia makao makuu ya chama cha upinzani cha NUP na kumtia mbaroni Bobi Wine, kinara wa chama hicho anayetazamiwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, ni kukusanya magwanda ya kijeshi yanayovaliwa na wafuasi wa chama hicho.
-
Rais wa Uganda atetea uamuzi wa serikali yake kusaidia ujenzi wa barabara ya kuunganisha nchi hiyo na majirani zake + SAUTI
Oct 12, 2020 15:55Rais Yoweri Museveni wa Uganda Atetea uamuzi wa serikali yake kusaidia ujenzi wa barabara kubwa ya lami ya kuunganisha nchi hiyo na majirani zake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Sudan Kusini, licha ya Uganda yenyewe kukabiliwa na hali ngumu kiuchumi hivi sasa.
-
Sekta ya usafiri Uganda yalalamikia kubanwa mno wakati wa corona
Oct 02, 2020 18:37Serikali ya Uganda imezidi kupunguza masharti yanayohusiana na ugonjwa wa COVID-19 lakini pamoja na hayo, sekta ya usafiri imekumbwa na changamoto nyingi. Mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail, na maelezo zaidi.
-
EACJ yatupilia mbali faili la ukomo wa urais nchini Uganda
Sep 30, 2020 13:41Mahakama ya Uadilifu ya Afrika Mashariki (EACJ) imetupilia mbali faili lililowasilishwa kwake la kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu ya Uganda, wa kuidhinisha mabadiliko ya katiba yalioondoa ukomo wa umri wa kugombea urais katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Sala za Ijumaa zaanza upya nchini Uganda + Sauti
Sep 26, 2020 05:00Sala za Ijumaa zimeanza tena nchini Uganda baada ya kusimamishwa kwa muda kutokana na maambukizi ya kirusi cha corona. Katika hotuba za jana Ijumaa, Waislamu nchini humo walihimizwa kumtii Mola Karima na kuomba kusamehewa madhambi yao. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.
-
Uganda ina hamu ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi, sayansi na Iran
Sep 24, 2020 07:12Spika wa Bunge la Uganda, Rebecca Kadaga amepongeza uhusiano wa kidugu uliopo baina ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, kuna umuhimu wa kuimarishwa zaidi uhusiano huo katika nyuga za uchumi, sayansi na teknolojia baina ya Kampala ya Tehran.
-
Askari usalama wa Uganda wamewatia mbaroni wafungwa kadhaa waliotoroka katika jela ya Moroto + SAUTI
Sep 18, 2020 13:34Askari usalama wa Uganda wamewatia mbaroni wafungwa kadhaa katika msako wa kuwanasa wafungwa zaidi ya 219 waliotoroka jela ya Moroto wakiwa na bunduki 15