-
Makumi ya wafungwa watoroka jela nchini Uganda
Sep 17, 2020 08:10Makumi ya wafungwa wametoroka jela katika wilaya ya Moroto, kaskazini mashariki mwa Uganda na kukimbilia kusikojulikana.
-
UN yawatuza mamia ya askari wa Uganda walioko Somalia
Sep 01, 2020 07:44Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewapa medali ya heshima wanajeshi 600 wa Uganda wanaolinda taasisi na wafanyakazi wa UN nchini Somalia.
-
Watoto 10 wafa kwa kupigwa na radi nchini Uganda
Aug 29, 2020 06:54Watoto kumi wameaga dunia baada ya kupigwa na radi wakati wakicheza mpira wa miguu katika mji wa Arua, kaskazini magharibi mwa Uganda.
-
Rais Museveni awaonya wanasiasa wa upinzani+SAUTI
Aug 21, 2020 15:48Ikiwa imesalia miezi mitano kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini Uganda, wanasiasa wa pande zote nchini humo wamezidi kutupiana lawama nzito.
-
Bobi Wine asema Polisi Uganda wamefyatua risasi kuwatawanya wafuasi wake
Aug 09, 2020 07:57Bobi Wine, nyota wa muziki na mwanasiasa machachari anayetazamiwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwaka ujao nchini Uganda amesema baadhi ya wafuasi wake walijeruhiwa hapo jana baada ya polisi kufyatua risasi na mabomu ya kutoa machozi kutawanya umati wa watu huko mashariki mwa nchi hiyo.
-
Uingiaji holela wa wakimbizi nchini Uganda hautaruhusiwa kutokana na sababu za kiusalama + SAUTI
Jul 28, 2020 17:07Serikali ya Uganda imesema, kutokana na sababu za kiusalama, haitaruhusu wakimbizi wa kila aina kuingilia kiholela nchini humo.
-
Masharti ya uendeshaji shughuli mbalimbali Uganda yaliyokuwa yamewekwa kwa ajili ya kudhibiti corona yamelegezwa+Sauti
Jul 23, 2020 05:02Serikali ya Uganda imelegeza masharti ya uendeshaji shughuli mbalimbali nchini humo yaliyokuwa yamewekwa kwa ajili ya kudhibiti maambukizo ya virusi vya Corona
-
EACJ yaanza kusikiliza kesi ya ukomo wa urais nchini Uganda
Jul 16, 2020 07:40Mahakama ya Uadilifu ya Afrika Mashariki EACJ imeanza kusikiliza kesi ya kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu ya Uganda, ya kuidhinisha mabadiliko ya katiba yalioondoa ukomo wa umri wa kugombea urais katika nchi hiyo, wa miaka 75.
-
EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara
Jul 14, 2020 13:08Baraza la Biashara la Nchi za Afrika Mashariki (EABC), limezisihi nchi zote za kanda hiyo kufuata mfano wa Tanzania kwa kufungua anga zao ili kuruhusu safari za kimataifa kuingia na kutoka katika nchi zote za kanda hiyo.
-
Wapinzani Uganda walalamikia kukandamizwa wakati huu wa kukaribia uchaguzi mkuu + Sauti
Jul 14, 2020 06:17Ikiwa imebakia miezi saba hadi kufanyika Uchaguzi Mkuu nchini Uganda, wanasiasa wa vyama mbalimbali nchini humo wanawalalamikia askari wa kulinda usalama kwa kuwakandamiza. Taarifa zaidi anayo mwandishi wetu Kigozi Ismail kutoka Kampala