Rais Museveni awaonya wanasiasa wa upinzani+SAUTI
https://parstoday.ir/sw/news/uncategorised-i62945-rais_museveni_awaonya_wanasiasa_wa_upinzani_sauti
Ikiwa imesalia miezi mitano kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini Uganda, wanasiasa wa pande zote nchini humo wamezidi kutupiana lawama nzito.
(last modified 2026-02-05T09:20:29+00:00 )
Aug 21, 2020 11:18 UTC

Ikiwa imesalia miezi mitano kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini Uganda, wanasiasa wa pande zote nchini humo wamezidi kutupiana lawama nzito.

 Rais Yoweri Museveni kwa upande wake amewaonya wanasiasa wanaotumia lugha chafu na ya matusi dhidi ya wanasiasa wa vyama vingine.