Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Uhispania yaendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia, zinatumika kuua raia wa Yemen

    Uhispania yaendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia, zinatumika kuua raia wa Yemen

    Dec 28, 2017 12:03

    Ripoti za Wizara ya Biashara ya Uhispania inaonesha kuwa, katika kipindi cha miezi sita ya mwanzoni mwaka huu wa 2017 serikali ya nchi hiyo imeidhinisha mauzo ya silaha na mizinga yenye thamani ya zaidi ya Euro milioni 141 kwa utawala wa Saudi Arabia.

  • Mahakama Kuu Uhispania: Ole wake Carles Puigdemont asipohudhuria kotini

    Mahakama Kuu Uhispania: Ole wake Carles Puigdemont asipohudhuria kotini

    Nov 03, 2017 04:20

    Mahakama Kuu ya Uhispania imemuonya rais wa eneo la Catalonia, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo aliyeuzuliwa madarakani kwa kutohudhuria mahakamani.

  • Mahakama ya Uhispania yatengua 'uhuru' wa Catalonia

    Mahakama ya Uhispania yatengua 'uhuru' wa Catalonia

    Oct 31, 2017 13:38

    Mahakama ya Katiba nchini Uhispania imebatilisha azimio lililopasishwa na bunge la eneo la Catalonia la kutangaza uhuru wa eneo hilo Ijumaa iliyopita.

  • Catalonia yajitangazia rasmi uhuru wake, Uhispania yaivua mamlaka ya kujiendeshea mambo yake

    Catalonia yajitangazia rasmi uhuru wake, Uhispania yaivua mamlaka ya kujiendeshea mambo yake

    Oct 28, 2017 02:37

    Bunge la eneo la Catalonia nchini Uhispania limeupigia kura ya 'ndiyo' mpango wa kujitangazia uhuru rasmi na kujitenga na Uhispania huku Baraza la Seneti la serikali kuu ya Madrid likipitisha uamuzi unaoruhusu kulinyang'anya eneo hilo mamlaka liliyokuwa nayo ya kujiendeshea mambo yake.

  • Catalonia: Ikiwa rais wetu atauzuliwa na serikali ya Uhispania, tutafanya uasi wa kiraia

    Catalonia: Ikiwa rais wetu atauzuliwa na serikali ya Uhispania, tutafanya uasi wa kiraia

    Oct 24, 2017 04:44

    Mrengo unaotaka kujitenga eneo la Catalonia nchini Uhispania, umetangaza kuwa ikiwa serikali kuu ya nchi hiyo itamuuzulu kiongozi wao, basi utaanzisha uasi wa kiraia.

  • Mahakama ya Katiba ya Uhispania yapinga kura ya maoni ya kujitenga Catalonia

    Mahakama ya Katiba ya Uhispania yapinga kura ya maoni ya kujitenga Catalonia

    Oct 18, 2017 02:49

    Mahakama ya Katiba ya Uhispania imetangaza kuwa kura ya maoni ya kujitenga eneo la Catalonia haikuwa halali.

  • Mahakama ya Katiba Uhispania yafuta kikao cha Bunge la Catalonia

    Mahakama ya Katiba Uhispania yafuta kikao cha Bunge la Catalonia

    Oct 06, 2017 04:08

    Mahakama ya Katiba ya Uhispania imefuta kikao kilichokuwa kimepangwa kufanywa na Bunge la eneo la Catalonia kwa ajili ya kutangaza rasmi kujitenga eneo hilo.

  • Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa

    Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa

    Aug 22, 2017 03:22

    Polisi ya Uhispania imemuua Younes Abouyaaqoub aliyetekeza shambulio la kigaidi la Alkhamisi wiki iliyopita katika mji wa Barcelona.

  • Vituo viwili vya Kiislamu vyashambuliwa na kundi lenye chuki za kidini Uhispania

    Vituo viwili vya Kiislamu vyashambuliwa na kundi lenye chuki za kidini Uhispania

    Aug 21, 2017 08:16

    Vituo viwili vya Kiislamu vimeshambuliwa na kundi la watu wenye chuki dhidi ya dini ya Kiislamu nchini Uhispania.

  • Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri

    Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri

    Aug 21, 2017 02:20

    Ripoti mpya ya Shirika la Wahajiri Duniani (IOM) imesema kwamba, idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Uhispania imeongezeka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS