Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Kutiwa mbaroni Carles Puigdemont na taathira yake ya kisiasa eneo la Catalani, Uhispania

    Kutiwa mbaroni Carles Puigdemont na taathira yake ya kisiasa eneo la Catalani, Uhispania

    Mar 26, 2018 07:41

    Huku Carles Puigdemont akikabiliwa na kifungo cha miaka 25 jela iwapo atarejeshwa nchini Uhispania, kukamatwa mwanasiasa huyo kunahesabiwa kuwa ni utangulizi wa kutiwa mbaroni viongozi wengine waliokuwa wanataka kujitenga eneo la Catalani la Uhispania.

  • Iran na Uhispania zasisitiza kupanua zaidi ushirikiano baina yao

    Iran na Uhispania zasisitiza kupanua zaidi ushirikiano baina yao

    Feb 22, 2018 00:58

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uhispania wamesisitiza azma ya nchi zao ya kustawisha zaidi uhusiano na ushirikiano baina yao.

  • Ethiopia kuwaachia huru maelfu ya wafungwa wa upinzani

    Ethiopia kuwaachia huru maelfu ya wafungwa wa upinzani

    Jan 29, 2018 03:23

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa itawaachia huru wafungwa waliotiwa nguvuni kufuatia machafuko ya mwaka 2015 na 2016 yaliyotokea katika eneo la Oromia.

  • Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania

    Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania

    Jan 17, 2018 04:29

    Kikosi cha gadi ya pwani ya Italia kimetangaza kuokoa wahajiri 1400 katika maji ya bahari ya Mediterrania.

  • Uhispania yaendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia, zinatumika kuua raia wa Yemen

    Uhispania yaendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia, zinatumika kuua raia wa Yemen

    Dec 28, 2017 08:33

    Ripoti za Wizara ya Biashara ya Uhispania inaonesha kuwa, katika kipindi cha miezi sita ya mwanzoni mwaka huu wa 2017 serikali ya nchi hiyo imeidhinisha mauzo ya silaha na mizinga yenye thamani ya zaidi ya Euro milioni 141 kwa utawala wa Saudi Arabia.

  • Mahakama Kuu Uhispania: Ole wake Carles Puigdemont asipohudhuria kotini

    Mahakama Kuu Uhispania: Ole wake Carles Puigdemont asipohudhuria kotini

    Nov 03, 2017 00:50

    Mahakama Kuu ya Uhispania imemuonya rais wa eneo la Catalonia, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo aliyeuzuliwa madarakani kwa kutohudhuria mahakamani.

  • Mahakama ya Uhispania yatengua 'uhuru' wa Catalonia

    Mahakama ya Uhispania yatengua 'uhuru' wa Catalonia

    Oct 31, 2017 10:08

    Mahakama ya Katiba nchini Uhispania imebatilisha azimio lililopasishwa na bunge la eneo la Catalonia la kutangaza uhuru wa eneo hilo Ijumaa iliyopita.

  • Catalonia yajitangazia rasmi uhuru wake, Uhispania yaivua mamlaka ya kujiendeshea mambo yake

    Catalonia yajitangazia rasmi uhuru wake, Uhispania yaivua mamlaka ya kujiendeshea mambo yake

    Oct 27, 2017 23:07

    Bunge la eneo la Catalonia nchini Uhispania limeupigia kura ya 'ndiyo' mpango wa kujitangazia uhuru rasmi na kujitenga na Uhispania huku Baraza la Seneti la serikali kuu ya Madrid likipitisha uamuzi unaoruhusu kulinyang'anya eneo hilo mamlaka liliyokuwa nayo ya kujiendeshea mambo yake.

  • Catalonia: Ikiwa rais wetu atauzuliwa na serikali ya Uhispania, tutafanya uasi wa kiraia

    Catalonia: Ikiwa rais wetu atauzuliwa na serikali ya Uhispania, tutafanya uasi wa kiraia

    Oct 24, 2017 01:14

    Mrengo unaotaka kujitenga eneo la Catalonia nchini Uhispania, umetangaza kuwa ikiwa serikali kuu ya nchi hiyo itamuuzulu kiongozi wao, basi utaanzisha uasi wa kiraia.

  • Mahakama ya Katiba ya Uhispania yapinga kura ya maoni ya kujitenga Catalonia

    Mahakama ya Katiba ya Uhispania yapinga kura ya maoni ya kujitenga Catalonia

    Oct 17, 2017 23:19

    Mahakama ya Katiba ya Uhispania imetangaza kuwa kura ya maoni ya kujitenga eneo la Catalonia haikuwa halali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS