-
Mazungumzo ya Biden na Macron, juhudi za Washington za kuimarisha uhusiano na Paris
Oct 31, 2021 10:35Ijumaa Rais Joe Biden wa Marekani alikutana na kuzungumza na mwenzake wa Ufaransa Rais Emmanuel Macron kuhusu mkataba wa mauzo ya nyambizi kati ya Washington na Canberra, ambao umeikasirisha sana Paris.
-
Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria
Oct 16, 2021 07:23Akizungumza Jumatano mbele ya waandishi habari mjini Washington, Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema nchi hiyo haina nia ya kuunga mkono juhudi za kuboreshwa uhusiano na serikali ya Syria.
-
Kushadidi mivutano baina ya Marekani na Ufaransa, Paris yamwita nyumbani balozi wake mjini Washington
Sep 19, 2021 02:22Ufaransa imechukua uamuzi wa kumwita nyumbani balozi wake mjini Washington sambamba na kushadidi mivutano katika uhusiano wa serikali ya Paris na Marekani. Vilevile imechukua hatua ya kumrejesha nyumbani balozi wake nchini Australia kama hatua ya kuonesha malalamiko yake.
-
Kenya yairuhusu tena Somalia itumie anga yake
Jun 11, 2021 12:39Kenya imetoa idhini tena anga yake itumike kwa aili ya safari za ndege kwenda na kutoka Somalia huku kukiwa na matumaini kwamba, uhusiano wa nchi hizo mbili utarejea katika hali ya kawaida.
-
Somalia yahuisha uhusiano wake na Kenya baada ya kupita karibu nusu mwaka
May 07, 2021 07:45Somalia imetangaza habari ya kurejesha uhusiano wake na Kenya baada ya kuukata karibu miezi sita iliyopita, ikiituhumu serikali ya Nairobi kuwa inaingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Kuimarishwa uhusiano wa Venezuela na Russia, jibu muafaka kwa uadui wa Marekani
Apr 03, 2021 02:34Russia na Venezuela zimechukua hatua nyingine ya kuimarisha uhusiano wao kwa kuanzisha kamisheni ya viongozi wa nchi mbili na vile vile kuanzisha kamisheni tano za pamoja za kiufundi.
-
Wapakistani waandamana kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel
Jan 23, 2021 12:31Makumi ya maelfu ya wananchi wa Pakistan wamefanya maandamano ya kupinga uwezekano wowote wa kuanzishwa uhusiano kati ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Indonesia yakadhibisha madai ya kutaka kuanzisha uhusiano na Israel
Dec 17, 2020 04:42Indonesia imekanusha madai ya kipropaganda ya vyombo vya habari vya Wazayuni kwamba inataka kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.
-
Kuanzishwa uhusiano baina ya Sudan na utawala haramu wa Israel na mustakbali wa nchi hiyo
Oct 25, 2020 02:37Hatimaye Sudan imesalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani na kukubali kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel. Sambambana na kutangaza habari hiyo, Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, amewasilisha uamuzi wake wa kuliondoa jina la Sudan katika orodha ya nchi zinazounga mkono ugaidi kwenye Kongresi ya nchi hiyo.
-
Malalamiko ya Sudan kuhusu mashinikizo ya Marekani ya kuwa na uhusiano na Israel
Sep 06, 2020 11:42Serikali ya Trump muda wote imekuwa ikijionesha ni mtumishi asiye na doa wa malengo ya utawala wa Israel na imekuwa ikichukua hatua mbalimbali kama kuzilazimisha nchi za Kiarabu na za Waislamu kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala huo wa Kizayuni. Hata hivyo baadhi ya nchi kama Sudan zimeamua kupinga na pia kukabiliana na njama hizo.