Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Iran atoa onyo kwa Marekani na Uingereza

    Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Iran atoa onyo kwa Marekani na Uingereza

    Jul 24, 2019 13:25

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya ulinzi ametoa onyo kwa Uingereza kuhusiana na nia yake ya kujiingiza kwenye eneo la Lango Bahari la Hormuz na kwa Marekani kuhusu nia yake ya kutaka kuanzisha vita vya kijeshi na akaeleza kwamba: Kauli iliyotolewa na Saudi Arabia na Imarati kuhusu kuhitimishwa vita vya Yemen inadhihirisha kushindwa kwao katika vita hivyo.

  • Iran: Tumesimamisha meli moja tu ya mafuta ya Uingereza kwa kuvunja sheria za kimataifa

    Iran: Tumesimamisha meli moja tu ya mafuta ya Uingereza kwa kuvunja sheria za kimataifa

    Jul 19, 2019 22:45

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC limetangaza kuwa limesimamisha meli moja ya mafuta ya Uingereza baada ya kukiuka sheria za kimataifa za ubaharia katika Lango Bahari la Hormuz.

  • Tehran yaitaka Uingereza ijiepushe na mchezo hatari, iiachilie meli ya mafuta ya Iran

    Tehran yaitaka Uingereza ijiepushe na mchezo hatari, iiachilie meli ya mafuta ya Iran

    Jul 12, 2019 20:37

    Iran imeitaka Uingereza iachilie mara moja meli yake kubwa ya mafuta iliyokamatwa katika lango bahari la Jabal Tariq (Gibraltar) na imeitahadharisha London juu ya kuingia katika mchezo hatari usio na mwisho.

  • Kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran na utegemezi wa Uingereza kwa Marekani

    Kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran na utegemezi wa Uingereza kwa Marekani

    Jul 12, 2019 09:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran katika lango bahari la Jabal Tariq (Gibraltar) ni kielelezo cha utegemezi wa Uingereza kwa Marekani.

  • Kamanda wa IRGC: Uingereza na Marekani zitajuta kwa kuizuilia meli ya mafuta ya Iran

    Kamanda wa IRGC: Uingereza na Marekani zitajuta kwa kuizuilia meli ya mafuta ya Iran

    Jul 11, 2019 21:56

    Naibu Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) ameonya kuwa, Uingereza na Marekani zitajuta kutokana na hatua ya London ya kusimamisha na kuzuilia meli ya mafuta ya Iran katika Lango Bahari la Jabal Tariq (Gibraltar).

  • Trump na balozi wa Uingereza washambuliana kwa maneno

    Trump na balozi wa Uingereza washambuliana kwa maneno

    Jul 08, 2019 03:16

    Rais Donald Trump amemshambulia vikali balozi wa Uingereza mjini Washington aliyemtaja kiongozi huyo wa Marekani kama mtu mtepetevu, asiye na tajriba na anayeendesha Ikulu ya White House kishaghalabaghala.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Hatutaruhusu uharamia wa Uingereza

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Hatutaruhusu uharamia wa Uingereza

    Jul 08, 2019 02:15

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya askari wa Jeshi la Wanamaji la Uingereza ya kuisimamisha meli ya mafuta ya Iran katika Lango Bahari la Jabal al Tariq (Gibraltar) na kueleza bayana kuwa, Tehran kamwe haitaruhusu uharamia huo wa London.

  • Kuisimamisha meli ya mafuta ya Iran, chokochoko za Uingereza katika uwanja wa Marekani

    Kuisimamisha meli ya mafuta ya Iran, chokochoko za Uingereza katika uwanja wa Marekani

    Jul 05, 2019 08:00

    Askari wa Jeshi la Wanamaji la Uingereza jana Alkhamisi waliisimamisha meli ya mafuta ya Iran katika Lango Bahari la Jabal al Tariq kwa madai kwamba ilikuwa inaelekea Syria.

  • Saudia iliiomba Uingereza iishambulie kijeshi Iran, baada ya Marekani kukwepa kufanya hivyo

    Saudia iliiomba Uingereza iishambulie kijeshi Iran, baada ya Marekani kukwepa kufanya hivyo

    Jun 22, 2019 08:34

    Mkuu wa Idara ya Ujasusi wa Saudi Arabia aliiomba serikali ya Uingereza ishambulie kambi na vituo vya kijeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, masaa machache baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza kuwa amesitisha kile alichokitaja kama shambulizi la ulipizaji kisasi la Washington dhidi ya Tehran.

  • Mahakama: Uingereza imekiuka sheria kwa kuiuzia silaha Saudia

    Mahakama: Uingereza imekiuka sheria kwa kuiuzia silaha Saudia

    Jun 21, 2019 00:04

    Mahakama ya Rufaa nchini Uingereza imesema kuwa serikali ya London ilikiuka sheria kwa kuiuzia silaha Saudi Arabia na washirika wake katika vita vya Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS