Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Trump na balozi wa Uingereza washambuliana kwa maneno

    Trump na balozi wa Uingereza washambuliana kwa maneno

    Jul 08, 2019 03:16

    Rais Donald Trump amemshambulia vikali balozi wa Uingereza mjini Washington aliyemtaja kiongozi huyo wa Marekani kama mtu mtepetevu, asiye na tajriba na anayeendesha Ikulu ya White House kishaghalabaghala.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Hatutaruhusu uharamia wa Uingereza

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Hatutaruhusu uharamia wa Uingereza

    Jul 08, 2019 02:15

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya askari wa Jeshi la Wanamaji la Uingereza ya kuisimamisha meli ya mafuta ya Iran katika Lango Bahari la Jabal al Tariq (Gibraltar) na kueleza bayana kuwa, Tehran kamwe haitaruhusu uharamia huo wa London.

  • Kuisimamisha meli ya mafuta ya Iran, chokochoko za Uingereza katika uwanja wa Marekani

    Kuisimamisha meli ya mafuta ya Iran, chokochoko za Uingereza katika uwanja wa Marekani

    Jul 05, 2019 08:00

    Askari wa Jeshi la Wanamaji la Uingereza jana Alkhamisi waliisimamisha meli ya mafuta ya Iran katika Lango Bahari la Jabal al Tariq kwa madai kwamba ilikuwa inaelekea Syria.

  • Saudia iliiomba Uingereza iishambulie kijeshi Iran, baada ya Marekani kukwepa kufanya hivyo

    Saudia iliiomba Uingereza iishambulie kijeshi Iran, baada ya Marekani kukwepa kufanya hivyo

    Jun 22, 2019 08:34

    Mkuu wa Idara ya Ujasusi wa Saudi Arabia aliiomba serikali ya Uingereza ishambulie kambi na vituo vya kijeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, masaa machache baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza kuwa amesitisha kile alichokitaja kama shambulizi la ulipizaji kisasi la Washington dhidi ya Tehran.

  • Mahakama: Uingereza imekiuka sheria kwa kuiuzia silaha Saudia

    Mahakama: Uingereza imekiuka sheria kwa kuiuzia silaha Saudia

    Jun 21, 2019 00:04

    Mahakama ya Rufaa nchini Uingereza imesema kuwa serikali ya London ilikiuka sheria kwa kuiuzia silaha Saudi Arabia na washirika wake katika vita vya Yemen.

  • Iran yalaani kitendo cha magaidi wa MKO kufunga lango la ubalozi wake London

    Iran yalaani kitendo cha magaidi wa MKO kufunga lango la ubalozi wake London

    Jun 17, 2019 03:18

    Wafuasi wa kundi la kigaidi la Munafiqina (MKO) wameendelea kufunga lango pekee la kuingia katika ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji mkuu wa Uingereza, London.

  • Sanders na Corbyn: Shambulio la Bahari ya Oman lisitumike kuanzisha vita

    Sanders na Corbyn: Shambulio la Bahari ya Oman lisitumike kuanzisha vita

    Jun 15, 2019 06:24

    Viongozi mashuhuri wa kisiasa nchini Marekani na Uingereza wameionya vikali serikali ya Washington, dhidi ya kutumia tukio la kushambuliwa meli za mafuta katika Bahari ya Oman kama kisingizio cha kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Upinzani Uingereza wakosoa uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo

    Upinzani Uingereza wakosoa uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo

    Jun 11, 2019 02:42

    Chama kikuu cha upinzani cha Leba nchini Uingereza kimekosoa vikali uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Ulaya unaofanywa na Marekani.

  • Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ajiuzulu baada ya jitihada zake kuhusu Brexit kufeli

    Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ajiuzulu baada ya jitihada zake kuhusu Brexit kufeli

    May 24, 2019 07:21

    Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ametangaza kujiuzulu wadhifa wake baada ya jitihada zake za kuandaa mpango kabambe wa kujiondoa nchi hiyo kutoka Umoja wa Ulaya (Brexit) kugonga mwamba.

  • Wanaharakati waandamana London, Uingereza kulaani ukatili wa Saudia

    Wanaharakati waandamana London, Uingereza kulaani ukatili wa Saudia

    Apr 27, 2019 03:18

    Kwa mara ya pili ndani ya wiki moja, wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Saudi Arabia katika mji mkuu wa Uingereza, London kulaani ukatili wa hivi karibuni wa watawala wa Aal-Saud dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS