-
Iran yalaani kitendo cha magaidi wa MKO kufunga lango la ubalozi wake London
Jun 17, 2019 03:18Wafuasi wa kundi la kigaidi la Munafiqina (MKO) wameendelea kufunga lango pekee la kuingia katika ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji mkuu wa Uingereza, London.
-
Sanders na Corbyn: Shambulio la Bahari ya Oman lisitumike kuanzisha vita
Jun 15, 2019 06:24Viongozi mashuhuri wa kisiasa nchini Marekani na Uingereza wameionya vikali serikali ya Washington, dhidi ya kutumia tukio la kushambuliwa meli za mafuta katika Bahari ya Oman kama kisingizio cha kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Upinzani Uingereza wakosoa uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo
Jun 11, 2019 02:42Chama kikuu cha upinzani cha Leba nchini Uingereza kimekosoa vikali uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Ulaya unaofanywa na Marekani.
-
Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ajiuzulu baada ya jitihada zake kuhusu Brexit kufeli
May 24, 2019 07:21Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ametangaza kujiuzulu wadhifa wake baada ya jitihada zake za kuandaa mpango kabambe wa kujiondoa nchi hiyo kutoka Umoja wa Ulaya (Brexit) kugonga mwamba.
-
Wanaharakati waandamana London, Uingereza kulaani ukatili wa Saudia
Apr 27, 2019 03:18Kwa mara ya pili ndani ya wiki moja, wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Saudi Arabia katika mji mkuu wa Uingereza, London kulaani ukatili wa hivi karibuni wa watawala wa Aal-Saud dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia.
-
Corbyn: Trump ni mbaguzi, Uingereza haipaswi kumtandikia 'zulia jekundu'
Apr 27, 2019 03:10Kiongozi wa chama Leba nchini Uingereza amekosoa vikali mpango wa nchi hiyo wa kumpa mapokezi ya hali ya juu Rais Donald Trump atakapoitembelea nchini hiyo mwezi Juni mwaka huu, akisisitiza kuwa rais huyo wa Marekani ni mbaguzi na mtu mwenye hulka ya kuwadhalilisha na kuwatweza wanawake.
-
Bunge la Uingereza latahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia duniani
Apr 26, 2019 02:08Kamati ya Mahusiano ya Kimataifa ya Bunge la Uingereza imetoa taarifa inayoonya juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia kati ya nchi zenye silaha hizo.
-
Upinzani: Uingereza haipaswi kumkabidhi Julian Asange kwa Marekani
Apr 12, 2019 10:27Kiongozi wa chama Leba nchini Uingereza amekosoa vikali kitendo cha kutiwa mbaroni mjini London mwasisi wa mtandao unaojishughulisha na kufichua siri na kashfa wa WikiLeaks, Julian Assange.
-
Maandamano yashuhudiwa London baada ya kukamatwa mwasisi wa Wikileaks
Apr 11, 2019 23:59Maandamano yameshuhudiwa nje ya ubalozi wa Ecuador mjini London baada ya polisi ya Uingereza kumtia mbaroni mwasisi wa mtandao unaofichua fedheha nyingi za nchi na viongozi mbalimbali duniani wa WikiLeaks, Julian Assange, ambaye amekuwa akiishi ubalozini hapo tokea mwaka 2012.
-
Mamia waandamana London, Uingereza dhidi ya utawala haramu wa Israel
Mar 30, 2019 22:42Mamia ya watu wamejitokeza katika barabara za London, mji mkuu wa Uingereza kushiriki maandamano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.