Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Makomandoo wa Uingereza wajeruhiwa na vikosi vya Yemen

    Makomandoo wa Uingereza wajeruhiwa na vikosi vya Yemen

    Mar 24, 2019 03:27

    Duru mpya za habari zimefichua kuwa, makomandoo kadhaa wa Uingereza wamejeruhiwa katika makabiliano ya ana kwa ana na vikosi vya Yemen, na hivyo kuweka bayana kuwa serikali ya London imekuwa ikishiriki moja kwa moja katika vita vya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudia dhidi ya nchi hiyo maskini ya Kiarabu.

  • Waingereza waandamana London kutaka kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Waingereza waandamana London kutaka kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Mar 24, 2019 03:01

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London, kushinikiza kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu suala la kujitoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit).

  • Misikiti mitano yavamiwa katika mji wa Birmingham nchini Uingereza

    Misikiti mitano yavamiwa katika mji wa Birmingham nchini Uingereza

    Mar 21, 2019 11:34

    Misikiti mitano imeshambuliwa katika mji wa Birmingham nchini Uingereza, wiki moja baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi nchini New Zealand na kuua makumi ya Waislamu na kujeruhi makumi ya wengine.

  • Waasi wanaotaka kujitenga Ireland wakiri kutuma mabomu London

    Waasi wanaotaka kujitenga Ireland wakiri kutuma mabomu London

    Mar 12, 2019 22:55

    Kundi la waasi la Irish Republican Army (IRA), ambalo linataka eneo la Ireland ya Kaskazini lijitenge na Uingereza limekiri kuhusika na utumaji wa vifurushi vya mabomu katika mji mkuu wa Uingereza, London na Scotland.

  • Wazazi wawarejesha vijana wao Somalia ili wasichomwe visu Uingereza

    Wazazi wawarejesha vijana wao Somalia ili wasichomwe visu Uingereza

    Mar 10, 2019 23:08

    Kutokana na kushtadi hujuma za visu nchini Uingereza, wazazi wa Kisomali wamewarejesha kwa wingi vijana wao nchini Somalia.

  • Saudia yapongeza kuwekwa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Saudia yapongeza kuwekwa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Mar 05, 2019 11:07

    Saudi Arabia imeunga mkono na kupongeza hatua ya hivi karibuni ya Uingereza, ya kuiweka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon katika jalada lake la makundi ya kigaidi.

  • Qassemi: Uingereza haiwezi kudhoofisha irada ya Hizbullah ya kupambana na ugaidi na Israel

    Qassemi: Uingereza haiwezi kudhoofisha irada ya Hizbullah ya kupambana na ugaidi na Israel

    Mar 02, 2019 12:12

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na Uingereza ya kuiweka harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa, hatua za aina hiyo zinazochukuliwa na serikali ya London hazitadhoofisha msimamo wa harakati hiyo wa kupambanana na "ugaidi na Uzayuni."

  • Taathira mbaya za ushirikiano wa Uingereza na muungano vamizi wa Saudia huko Yemen

    Taathira mbaya za ushirikiano wa Uingereza na muungano vamizi wa Saudia huko Yemen

    Feb 25, 2019 09:11

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza habari ya kuangamizwa wanajeshi 9 vamizi wa Uingereza katika mapigano yaliyotokea kati ya wapiganaji wa kujitolea wa Yemen na wanajeshi hao katika eneo la Najran la kusini mwa Saudi Arabia.

  • Maveterani wa UK: Tuliamrishwa tuwaue kwa kuwapiga risasi raia Iraq, Afghanistan

    Maveterani wa UK: Tuliamrishwa tuwaue kwa kuwapiga risasi raia Iraq, Afghanistan

    Feb 05, 2019 23:13

    Jeshi la Uingereza liliwaagiza askari wake wawaue kwa kuwafyatulia risasi raia wa Iraq na Afghanistan hata kama hawakuwa wamejizatiti kwa silaha.

  • Qassemi: Mkutano wa Warsaw ni wa kuleta hitilafu na mifarakano baina ya Iran na Ulaya

    Qassemi: Mkutano wa Warsaw ni wa kuleta hitilafu na mifarakano baina ya Iran na Ulaya

    Jan 28, 2019 09:15

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufanyika mkutano ulio dhidi ya Iran wa Warsaw Poland ni kuzusha hitilafu na mgawanyiko baina ya Iran na baadhi ya nchi za Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS