-
Makomandoo wa Uingereza wajeruhiwa na vikosi vya Yemen
Mar 24, 2019 03:27Duru mpya za habari zimefichua kuwa, makomandoo kadhaa wa Uingereza wamejeruhiwa katika makabiliano ya ana kwa ana na vikosi vya Yemen, na hivyo kuweka bayana kuwa serikali ya London imekuwa ikishiriki moja kwa moja katika vita vya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudia dhidi ya nchi hiyo maskini ya Kiarabu.
-
Waingereza waandamana London kutaka kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit
Mar 24, 2019 03:01Mamia ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London, kushinikiza kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu suala la kujitoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit).
-
Misikiti mitano yavamiwa katika mji wa Birmingham nchini Uingereza
Mar 21, 2019 11:34Misikiti mitano imeshambuliwa katika mji wa Birmingham nchini Uingereza, wiki moja baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi nchini New Zealand na kuua makumi ya Waislamu na kujeruhi makumi ya wengine.
-
Waasi wanaotaka kujitenga Ireland wakiri kutuma mabomu London
Mar 12, 2019 22:55Kundi la waasi la Irish Republican Army (IRA), ambalo linataka eneo la Ireland ya Kaskazini lijitenge na Uingereza limekiri kuhusika na utumaji wa vifurushi vya mabomu katika mji mkuu wa Uingereza, London na Scotland.
-
Wazazi wawarejesha vijana wao Somalia ili wasichomwe visu Uingereza
Mar 10, 2019 23:08Kutokana na kushtadi hujuma za visu nchini Uingereza, wazazi wa Kisomali wamewarejesha kwa wingi vijana wao nchini Somalia.
-
Saudia yapongeza kuwekwa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi
Mar 05, 2019 11:07Saudi Arabia imeunga mkono na kupongeza hatua ya hivi karibuni ya Uingereza, ya kuiweka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon katika jalada lake la makundi ya kigaidi.
-
Qassemi: Uingereza haiwezi kudhoofisha irada ya Hizbullah ya kupambana na ugaidi na Israel
Mar 02, 2019 12:12Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na Uingereza ya kuiweka harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa, hatua za aina hiyo zinazochukuliwa na serikali ya London hazitadhoofisha msimamo wa harakati hiyo wa kupambanana na "ugaidi na Uzayuni."
-
Taathira mbaya za ushirikiano wa Uingereza na muungano vamizi wa Saudia huko Yemen
Feb 25, 2019 09:11Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza habari ya kuangamizwa wanajeshi 9 vamizi wa Uingereza katika mapigano yaliyotokea kati ya wapiganaji wa kujitolea wa Yemen na wanajeshi hao katika eneo la Najran la kusini mwa Saudi Arabia.
-
Maveterani wa UK: Tuliamrishwa tuwaue kwa kuwapiga risasi raia Iraq, Afghanistan
Feb 05, 2019 23:13Jeshi la Uingereza liliwaagiza askari wake wawaue kwa kuwafyatulia risasi raia wa Iraq na Afghanistan hata kama hawakuwa wamejizatiti kwa silaha.
-
Qassemi: Mkutano wa Warsaw ni wa kuleta hitilafu na mifarakano baina ya Iran na Ulaya
Jan 28, 2019 09:15Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufanyika mkutano ulio dhidi ya Iran wa Warsaw Poland ni kuzusha hitilafu na mgawanyiko baina ya Iran na baadhi ya nchi za Ulaya.