Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Saudia yapongeza kuwekwa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Saudia yapongeza kuwekwa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Mar 05, 2019 11:07

    Saudi Arabia imeunga mkono na kupongeza hatua ya hivi karibuni ya Uingereza, ya kuiweka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon katika jalada lake la makundi ya kigaidi.

  • Qassemi: Uingereza haiwezi kudhoofisha irada ya Hizbullah ya kupambana na ugaidi na Israel

    Qassemi: Uingereza haiwezi kudhoofisha irada ya Hizbullah ya kupambana na ugaidi na Israel

    Mar 02, 2019 12:12

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na Uingereza ya kuiweka harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa, hatua za aina hiyo zinazochukuliwa na serikali ya London hazitadhoofisha msimamo wa harakati hiyo wa kupambanana na "ugaidi na Uzayuni."

  • Taathira mbaya za ushirikiano wa Uingereza na muungano vamizi wa Saudia huko Yemen

    Taathira mbaya za ushirikiano wa Uingereza na muungano vamizi wa Saudia huko Yemen

    Feb 25, 2019 09:11

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza habari ya kuangamizwa wanajeshi 9 vamizi wa Uingereza katika mapigano yaliyotokea kati ya wapiganaji wa kujitolea wa Yemen na wanajeshi hao katika eneo la Najran la kusini mwa Saudi Arabia.

  • Maveterani wa UK: Tuliamrishwa tuwaue kwa kuwapiga risasi raia Iraq, Afghanistan

    Maveterani wa UK: Tuliamrishwa tuwaue kwa kuwapiga risasi raia Iraq, Afghanistan

    Feb 05, 2019 23:13

    Jeshi la Uingereza liliwaagiza askari wake wawaue kwa kuwafyatulia risasi raia wa Iraq na Afghanistan hata kama hawakuwa wamejizatiti kwa silaha.

  • Qassemi: Mkutano wa Warsaw ni wa kuleta hitilafu na mifarakano baina ya Iran na Ulaya

    Qassemi: Mkutano wa Warsaw ni wa kuleta hitilafu na mifarakano baina ya Iran na Ulaya

    Jan 28, 2019 09:15

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufanyika mkutano ulio dhidi ya Iran wa Warsaw Poland ni kuzusha hitilafu na mgawanyiko baina ya Iran na baadhi ya nchi za Ulaya.

  • Benki ya HSBC yajiunga na harakati ya kuisusia Israel

    Benki ya HSBC yajiunga na harakati ya kuisusia Israel

    Dec 28, 2018 21:39

    Benki mashuhuri ya HSBC ambayo ni ya saba kwa ukubwa duniani imesitisha ushirikiano wake na kampuni ya kuzalisha silaha ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya Elbit Systems, kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uingereza wakutana mjini Tehran

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uingereza wakutana mjini Tehran

    Nov 19, 2018 12:03

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uingereza leo wamekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran kuhusiana na masuala muhimu ya kieneo ukiwemo ulazima wa kuharakishwa kuhitimishwa vita nchini Yemen pamoja na matukio yanayojiri sasa katika Mashariki ya Kati.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza awasili Tehran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza awasili Tehran

    Nov 19, 2018 04:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amewasili Tehran kwa ajili ya mazungumzo na Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Iran na baadhi ya viongozi wa ngazi za juu wa nchi hii huku akiongoza ujumbe wa kisiasa wa nchi yake.

  • Prince Charles akiri, Uingereza ilikuwa na mchango mkubwa katika biashara ya utumwa

    Prince Charles akiri, Uingereza ilikuwa na mchango mkubwa katika biashara ya utumwa

    Nov 06, 2018 11:11

    Mwanamfalme na mrithi wa kiti cha Malkia Elizabeth wa Uingereza amekiri kwamba, nchi yake ilikuwa na nafasi kubwa katika biashara ya utumwa na kusema kuwa, biashara hiyo ni miongoni mwa mateso ya kutisha yaliyosababisha aibu kubwa isiyoweza kufutika katika historia ya dunia.

  • Rais wa Lebanon: Madai ya Israel kuwa makombora yamehifadhiwa katika maeneo ya makazi, ni uongo

    Rais wa Lebanon: Madai ya Israel kuwa makombora yamehifadhiwa katika maeneo ya makazi, ni uongo

    Nov 06, 2018 01:06

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema kuwa, madai ya utawala haramu wa Kizayuni juu ya kufichwa na wanamuqawama makombora katika maeneo ya makazi, ni uongo mtupu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS