Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Benki ya HSBC yajiunga na harakati ya kuisusia Israel

    Benki ya HSBC yajiunga na harakati ya kuisusia Israel

    Dec 28, 2018 21:39

    Benki mashuhuri ya HSBC ambayo ni ya saba kwa ukubwa duniani imesitisha ushirikiano wake na kampuni ya kuzalisha silaha ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya Elbit Systems, kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uingereza wakutana mjini Tehran

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uingereza wakutana mjini Tehran

    Nov 19, 2018 12:03

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uingereza leo wamekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran kuhusiana na masuala muhimu ya kieneo ukiwemo ulazima wa kuharakishwa kuhitimishwa vita nchini Yemen pamoja na matukio yanayojiri sasa katika Mashariki ya Kati.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza awasili Tehran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza awasili Tehran

    Nov 19, 2018 04:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amewasili Tehran kwa ajili ya mazungumzo na Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Iran na baadhi ya viongozi wa ngazi za juu wa nchi hii huku akiongoza ujumbe wa kisiasa wa nchi yake.

  • Prince Charles akiri, Uingereza ilikuwa na mchango mkubwa katika biashara ya utumwa

    Prince Charles akiri, Uingereza ilikuwa na mchango mkubwa katika biashara ya utumwa

    Nov 06, 2018 11:11

    Mwanamfalme na mrithi wa kiti cha Malkia Elizabeth wa Uingereza amekiri kwamba, nchi yake ilikuwa na nafasi kubwa katika biashara ya utumwa na kusema kuwa, biashara hiyo ni miongoni mwa mateso ya kutisha yaliyosababisha aibu kubwa isiyoweza kufutika katika historia ya dunia.

  • Rais wa Lebanon: Madai ya Israel kuwa makombora yamehifadhiwa katika maeneo ya makazi, ni uongo

    Rais wa Lebanon: Madai ya Israel kuwa makombora yamehifadhiwa katika maeneo ya makazi, ni uongo

    Nov 06, 2018 01:06

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema kuwa, madai ya utawala haramu wa Kizayuni juu ya kufichwa na wanamuqawama makombora katika maeneo ya makazi, ni uongo mtupu.

  • Oxfam: Sera za Uingereza juu ya Yemen ni za kukinzana

    Oxfam: Sera za Uingereza juu ya Yemen ni za kukinzana

    Nov 04, 2018 04:28

    Shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam limekosoa vikali hatua ya Uingereza ya kukataa kusimamisha uuzaji wa silaha zake kwa Saudi Arabia, ambazo mbali na kusababisha mauaji ya raia wa nchi maskini ya Yemen, pia zinatumika kuharibu misaada ya kibinadamu ya shirika hilo kwa Wayemen.

  • Uingereza: Kufungamana na JCPOA ni msingi wa uhusiano wetu na Iran

    Uingereza: Kufungamana na JCPOA ni msingi wa uhusiano wetu na Iran

    Oct 14, 2018 04:21

    Balozi wa Uingereza nchini Iran amesema kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama mapatano ya kimataifa ni msingi wa uhusiano wa London na Tehran.

  • Wikileaks: Saudia imeyahonga magazeti ya UK ili yasiripoti mauaji ya Khashoggi

    Wikileaks: Saudia imeyahonga magazeti ya UK ili yasiripoti mauaji ya Khashoggi

    Oct 09, 2018 03:58

    Mtandao wa WikiLeaks umefichua kuwa, magazeti ya Uingereza hayajaakisi habari za mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia aliyeuliwa katika ubalozi mdogo wa nchi hiyo mjini Istanbul, Uturuki, kwa kuwa yamemwagiwa pesa na utawala wa Riyadh.

  • Korea Kaskazini na China zatoa onyo kwa Marekani na Japan kwa kufanya pamoja maneva ya majeshi ya anga na baharini

    Korea Kaskazini na China zatoa onyo kwa Marekani na Japan kwa kufanya pamoja maneva ya majeshi ya anga na baharini

    Sep 29, 2018 21:56

    Huku maneva ya kijeshi ya pamoja kati ya Japan na nchi za Magharibi yanayoyashirikisha majeshi ya anga na baharini yakiendelea, serikali za Korea Kaskazini na China zimetoa onyo kali na kuItaja Luteka hiyo kuwa ni hatari kubwa kwa ajili ya usalama na amani ya maeneo ya mashariki na kusini mwa Asia.

  • Waziri Mkuu wa Uingereza apinga kunyongwa magaidi wa ISIS

    Waziri Mkuu wa Uingereza apinga kunyongwa magaidi wa ISIS

    Jul 23, 2018 09:35

    Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amesema serikali yake itapinga vikali hukumu ya kuonyongwa magaidi wakufurishaji wa kundi la ISIS au Daesh ambao ni raia wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS