-
Ujerumani: Tulitamani kumpindua Bashar al Assad lakini tumeshindwa vibaya
Sep 26, 2017 04:45Balozi wa Ujerumani mjini Washington, Marekani sambamba na kukiri kwamba nchi za Magharibi zinawasaidia magaidi kufanya jinai nchini Syria, amesema kwamba, tulikuwa na hamu kubwa ya kuipindua serikali ya Bashar al Assad lakini tumeshindhwa vibaya sana.
-
Uchaguzi mkuu waanza Ujerumani; kansela Merkel atarajia ushindi
Sep 24, 2017 04:31Wananchi wa Ujerumani wameanza kuelekea kwenye masanduku ya kupigia kura hii leo katika uchaguzi wa taifa ambao unatazamiwa kumpa ushindi kwa muhula wa nne Bi Angela Merkel kama Kansela wa nchi hiyo.
-
Merkel: JCPOA itumiwe kama mfano wa kutatua mgogoro wa Korea Kaskazini
Sep 10, 2017 03:07Kansela wa Ujerumani amesema yuko tayari kujihusisha na jitihada za kuupatia ufumbuzi mgogoro katika Peninsula ya Korea kwa njia ya kidiplomasia na kutoa mwito wa kutumiwa makubaliano ya nyuklia ya Iran kama kigezo cha kuupatia ufumbuzi mgogoro huo.
-
Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani
Aug 18, 2017 21:59Gazeti moja la nchini Ujerumani limeripoti kuwa, hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu yameongezeka mno katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika mwaka huu wa 2017.
-
Indhari ya Ujerumani na Russia kuhusu hatari ya kutokea vita kati ya Marekani na Korea Kaskazini
Aug 12, 2017 09:02Kuongezeka mivutano na kutoleana kauli za vitisho viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kumeitia wasiwasi mkubwa jamii ya kimataifa juu ya uwezekano wa kutokea vita katika eneo la Mashariki mwa Asia.
-
Safari ya mawaziri wa ulinzi wa Ufaransa na Ujerumani katika eneo la Sahel, Afrika
Jul 31, 2017 22:06Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa Florence Parly ameanza safari yake katika nchi kadhaa za eneo la Sahel barani Afrika kwa kuitembelea Chad.
-
Shirika la Ujasusi la Ujerumani: Mamia ya raia wa nchi hiyo ni wanachama wa Daesh
Jul 23, 2017 09:24Shirika la Ujasusi la Ujerumani limesema kuwa raia wa nchi hiyo 930 ni wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.
-
Chama cha Merkel chapinga sheria ya ndoa baina ya watu wenye jinsia moja
Jul 23, 2017 02:15Wawakilishi wa chama cha Christian Democratic Union (CDU) kinachoongozwa na Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel wamepinga vikali hatua ya kupasishwa sheria inayoruhusu ndoa baina ya watu wenye jinsia moja nchini humo na kutangaza kuwa, watawasilisha mashtaka katika Mahakama Kuu ya nchi hiyo.
-
Rais wa Ujerumani asaini sheria ya kuruhusu ndoa za watu wa jinsia moja
Jul 21, 2017 09:11Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani amesaini sheria inayoruhusu kuoana watu wa jinsia moja katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
Jarida la Stern: Mamia ya watoto wamenajisiwa katika Kanisa Katoliki Ujerumani
Jul 19, 2017 02:29Jarida moja la kila wiki la Ujerumani limechapisha uchunguzi uliofanywa na mwanasheria wa nchi hiyo ambao umebaini kuwa, watoto 547 wa kundi la kwaya katika Kanisa Kuu la Dayosisi la Katoliki nchini Ujerumani, wamenajisiwa.