-
Bunge la Ujerumani laruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja
Jul 02, 2017 03:48Ijumaa ya juzi Bunge la Ujerumani, Bundestag liliipasisha sheria inayoruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja na kutambua rasmi eti haki watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ya kulea watoto nchini humo.
-
Ujerumani: Ni lazima kushirikiana na Assad ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria
Jun 29, 2017 02:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa ni lazima kushirikiana na serikali ya Rais Bashar Assad wa Syria ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.
-
Ukosoaji mkali wa Ujerumani kwa mkataba wa silaha wa Marekani na Saudi Arabia
May 30, 2017 23:28Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ujerumani amekosoa vikali mkataba wa silaha kati ya Marekani na utawala wa Saudi Arabia na kueleza kwamba, Washington inaenda katika mkondo usio sahihi.
-
Ushirikiano wa Ujerumani na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen
May 01, 2017 08:54Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ambaye siku ya Jumapili alifanya safari nchini Saudi Arabia, ameitaka nchi hiyo kusimamisha mashambulio yake dhidi ya taifa la Yemen.
-
Kufichuliwa hatua za kijasusi za Uturuki nchini Ujerumani
Apr 06, 2017 22:03Vyombo vya habari vya Ujerumani vimeripoti kuwa serikali ya nchi hiyo inawachunguza washukiwa ishirini wa Uturuki wanaotuhumiwa kufanya ujasusi na vitendo vilivyo nyuma ya pazia kwa maslahi ya serikali ya Uturuki.
-
Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi
Mar 31, 2017 10:47Kansela Angela Merkel wa Ujerumani katika mkutano na viongozi wa vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya amekiri kuwa bara hilo halijasimamia ipasavyo suala la wakimbizi na wahamiaji.
-
Mazungumzo yasiyo na natija kati ya Merkel na Trump
Mar 18, 2017 08:58Rais Donald Trump wa Marekani na Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel jana alasiri Machi 17 walifanya mazungumzo katika ikulu ya Rais wa Marekani (White House). Mazungumzo hayo yameshindwa kupunguza hitilafu za pande mbili katika masuala ya uchumi, usalama, siasa na jamii kutokana na viongozi wa Ujerumani na Marekani kushikilia misimamo yao ya huko nyuma.
-
Uturuki yaituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi
Mar 04, 2017 03:40Katika kile kinachoonekana ni kuzidi kuingia doa uhusiano wa Ankara na Berlin, Rais wa Uturuki ameituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi.
-
Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi
Feb 19, 2017 04:13Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.
-
Ufaransa na Ujerumani zahofia uwezekano wa kuvunjika Umoja wa Ulaya
Feb 14, 2017 04:03Waziri Mkuu wa Ufaransa Bernard Cazeneuve ametaka kuwepo na mshikamano mkubwa zaidi kati ya nchi yake na Ujerumani kwa ajili ya kukabiliana na hatari ya kuvunjika Umoja wa Ulaya (EU).