Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Bunge la Ujerumani laruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Bunge la Ujerumani laruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Jul 02, 2017 03:48

    Ijumaa ya juzi Bunge la Ujerumani, Bundestag liliipasisha sheria inayoruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja na kutambua rasmi eti haki watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ya kulea watoto nchini humo.

  • Ujerumani: Ni lazima kushirikiana na Assad ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Ujerumani: Ni lazima kushirikiana na Assad ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Jun 29, 2017 02:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa ni lazima kushirikiana na serikali ya Rais Bashar Assad wa Syria ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • Ukosoaji mkali wa Ujerumani kwa mkataba wa silaha wa Marekani na Saudi Arabia

    Ukosoaji mkali wa Ujerumani kwa mkataba wa silaha wa Marekani na Saudi Arabia

    May 30, 2017 23:28

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ujerumani amekosoa vikali mkataba wa silaha kati ya Marekani na utawala wa Saudi Arabia na kueleza kwamba, Washington inaenda katika mkondo usio sahihi.

  • Ushirikiano wa Ujerumani na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen

    Ushirikiano wa Ujerumani na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen

    May 01, 2017 08:54

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ambaye siku ya Jumapili alifanya safari nchini Saudi Arabia, ameitaka nchi hiyo kusimamisha mashambulio yake dhidi ya taifa la Yemen.

  • Kufichuliwa hatua za kijasusi za Uturuki nchini Ujerumani

    Kufichuliwa hatua za kijasusi za Uturuki nchini Ujerumani

    Apr 06, 2017 22:03

    Vyombo vya habari vya Ujerumani vimeripoti kuwa serikali ya nchi hiyo inawachunguza washukiwa ishirini wa Uturuki wanaotuhumiwa kufanya ujasusi na vitendo vilivyo nyuma ya pazia kwa maslahi ya serikali ya Uturuki.

  • Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi

    Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi

    Mar 31, 2017 10:47

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani katika mkutano na viongozi wa vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya amekiri kuwa bara hilo halijasimamia ipasavyo suala la wakimbizi na wahamiaji.

  • Mazungumzo yasiyo na natija kati ya Merkel na Trump

    Mazungumzo yasiyo na natija kati ya Merkel na Trump

    Mar 18, 2017 08:58

    Rais Donald Trump wa Marekani na Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel jana alasiri Machi 17 walifanya mazungumzo katika ikulu ya Rais wa Marekani (White House). Mazungumzo hayo yameshindwa kupunguza hitilafu za pande mbili katika masuala ya uchumi, usalama, siasa na jamii kutokana na viongozi wa Ujerumani na Marekani kushikilia misimamo yao ya huko nyuma.

  • Uturuki yaituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi

    Uturuki yaituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi

    Mar 04, 2017 03:40

    Katika kile kinachoonekana ni kuzidi kuingia doa uhusiano wa Ankara na Berlin, Rais wa Uturuki ameituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi.

  • Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi

    Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi

    Feb 19, 2017 04:13

    Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.

  • Ufaransa na Ujerumani zahofia uwezekano wa kuvunjika Umoja wa Ulaya

    Ufaransa na Ujerumani zahofia uwezekano wa kuvunjika Umoja wa Ulaya

    Feb 14, 2017 04:03

    Waziri Mkuu wa Ufaransa Bernard Cazeneuve ametaka kuwepo na mshikamano mkubwa zaidi kati ya nchi yake na Ujerumani kwa ajili ya kukabiliana na hatari ya kuvunjika Umoja wa Ulaya (EU).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS