-
Misikiti 91 imeshambuliwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu Ujerumani
Feb 12, 2017 03:48Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani imesema misikiti 91 na vituo vya dini ya Kiislamu vilishambuliwa nchini humo mwaka jana pekee 2016.
-
VIDEO: Maadui wachoma moto kituo cha Waislamu nchini Ujerumani
Feb 01, 2017 12:14Kituo cha Kiislamu cha mji wa Bielefeld nchini Ujerumani kimechomwa moto ikiwa ni kuendelezwa chuki za kidini dhidi ya Waislamu nchini humo.
-
Ujerumani yakosoa sheria ya kibaguzi ya Marekani
Jan 30, 2017 01:10Kansela wa Ujerumani amekosoa hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kupasisha sheria ya kuwazuia wakimbizi na raia wa nchi saba za Kiislamu kuingia Marekani.
-
Mkuu wa Waislamau Ujerumaini atumiwa mamia ya ujumbe wa vitisho
Jan 23, 2017 23:27Mkuu wa jamii ya Waislamu nchini Ujerumaini amesema kuwa, ametumiwa mamia ya ujumbe wa vitisho unaotishia kumuua na kumkatishia maisha.
-
Ulaya: Trump weka wazi siasa zako za masuala ya kigeni
Jan 20, 2017 03:15Waziri wa Ulinzi wa Ujerumini, Ursula Gertrud von der Leyen amemtaka Donald Trump, rais mteule wa Marekani aweke wazi siasa zake za mambo ya kigeni hasa baada ya kujitokeza matamshi ya kugongana baina ya viongozi wa serikali ijayo ya Marekani kuhusu Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi, NATO.
-
Kansela wa Ujerumani ataka kupigwa marufuku burqa
Dec 07, 2016 03:49Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ametoa wito wa kupigwa marufuku vazi la stara la burqa, linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya ubalozi wa Ujerumani
Nov 12, 2016 04:49Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga ubalozi mdogo wa Ujerumani nchini Afghanistan.
-
Kuongezeka pakubwa mashambulizi dhidi ya Misikiti na Waislamu nchini Ujerumani
Oct 23, 2016 11:38Ripoti mpya iliyotolewa hivi karibuni inaonyesha kuongezeka kwa kiasi kikubwa mashambulizi dhidi ya Waislamu na misikiti huko Ujerumani.
-
Ujerumani yazidi kujikita kijeshi nchini Niger
Oct 08, 2016 00:34Ujerumani imeimarisha kuwepo kwake kijeshi nchini Niger kwa kuanzisha kituo cha jeshi la anga katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey.
-
Maadui wazidi kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani
Oct 03, 2016 03:59Magenge yenye misimamo ya kuchupa mipaka ya nchini Ujerumani yameendelea kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu kwa kutupa kichwa cha nguruwe nje ya msikiti wa mji wa Potsdam, makao makuu ya mkoa wa Brandenburg, nchini Ujerumani.