Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Misikiti 91 imeshambuliwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu Ujerumani

    Misikiti 91 imeshambuliwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu Ujerumani

    Feb 12, 2017 03:48

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani imesema misikiti 91 na vituo vya dini ya Kiislamu vilishambuliwa nchini humo mwaka jana pekee 2016.

  • VIDEO: Maadui wachoma moto kituo cha Waislamu nchini Ujerumani

    VIDEO: Maadui wachoma moto kituo cha Waislamu nchini Ujerumani

    Feb 01, 2017 12:14

    Kituo cha Kiislamu cha mji wa Bielefeld nchini Ujerumani kimechomwa moto ikiwa ni kuendelezwa chuki za kidini dhidi ya Waislamu nchini humo.

  • Ujerumani yakosoa sheria ya kibaguzi ya Marekani

    Ujerumani yakosoa sheria ya kibaguzi ya Marekani

    Jan 30, 2017 01:10

    Kansela wa Ujerumani amekosoa hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kupasisha sheria ya kuwazuia wakimbizi na raia wa nchi saba za Kiislamu kuingia Marekani.

  • Mkuu wa Waislamau Ujerumaini atumiwa mamia ya ujumbe wa vitisho

    Mkuu wa Waislamau Ujerumaini atumiwa mamia ya ujumbe wa vitisho

    Jan 23, 2017 23:27

    Mkuu wa jamii ya Waislamu nchini Ujerumaini amesema kuwa, ametumiwa mamia ya ujumbe wa vitisho unaotishia kumuua na kumkatishia maisha.

  • Ulaya: Trump weka wazi siasa zako za masuala ya kigeni

    Ulaya: Trump weka wazi siasa zako za masuala ya kigeni

    Jan 20, 2017 03:15

    Waziri wa Ulinzi wa Ujerumini, Ursula Gertrud von der Leyen amemtaka Donald Trump, rais mteule wa Marekani aweke wazi siasa zake za mambo ya kigeni hasa baada ya kujitokeza matamshi ya kugongana baina ya viongozi wa serikali ijayo ya Marekani kuhusu Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi, NATO.

  • Kansela wa Ujerumani ataka kupigwa marufuku burqa

    Kansela wa Ujerumani ataka kupigwa marufuku burqa

    Dec 07, 2016 03:49

    Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ametoa wito wa kupigwa marufuku vazi la stara la burqa, linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya ubalozi wa Ujerumani

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya ubalozi wa Ujerumani

    Nov 12, 2016 04:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga ubalozi mdogo wa Ujerumani nchini Afghanistan.

  • Kuongezeka pakubwa mashambulizi dhidi ya Misikiti na Waislamu nchini Ujerumani

    Kuongezeka pakubwa mashambulizi dhidi ya Misikiti na Waislamu nchini Ujerumani

    Oct 23, 2016 11:38

    Ripoti mpya iliyotolewa hivi karibuni inaonyesha kuongezeka kwa kiasi kikubwa mashambulizi dhidi ya Waislamu na misikiti huko Ujerumani.

  • Ujerumani yazidi kujikita kijeshi nchini Niger

    Ujerumani yazidi kujikita kijeshi nchini Niger

    Oct 08, 2016 00:34

    Ujerumani imeimarisha kuwepo kwake kijeshi nchini Niger kwa kuanzisha kituo cha jeshi la anga katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey.

  • Maadui wazidi kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani

    Maadui wazidi kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani

    Oct 03, 2016 03:59

    Magenge yenye misimamo ya kuchupa mipaka ya nchini Ujerumani yameendelea kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu kwa kutupa kichwa cha nguruwe nje ya msikiti wa mji wa Potsdam, makao makuu ya mkoa wa Brandenburg, nchini Ujerumani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS