Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Ujerumani yazidi kujikita kijeshi nchini Niger

    Ujerumani yazidi kujikita kijeshi nchini Niger

    Oct 08, 2016 00:34

    Ujerumani imeimarisha kuwepo kwake kijeshi nchini Niger kwa kuanzisha kituo cha jeshi la anga katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey.

  • Maadui wazidi kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani

    Maadui wazidi kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani

    Oct 03, 2016 03:59

    Magenge yenye misimamo ya kuchupa mipaka ya nchini Ujerumani yameendelea kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu kwa kutupa kichwa cha nguruwe nje ya msikiti wa mji wa Potsdam, makao makuu ya mkoa wa Brandenburg, nchini Ujerumani.

  • Zarif akosoa masharti ya Ujerumani kwa Iran

    Zarif akosoa masharti ya Ujerumani kwa Iran

    Oct 02, 2016 04:43

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa vikali matamshi ya hivi karibuni ya Waziri wa Uchumi wa Ujerumani aliyesema kuwa Berlin inaweza kuimarisha uhusiano wake na Tehran kwa sharti kuwa Jamhuri ya Kiislamu iutambue utawala haramu wa Israel.

  • Iran kwa Ujerumani: Katu hatutaacha kuiunga mkono Palestina

    Iran kwa Ujerumani: Katu hatutaacha kuiunga mkono Palestina

    Oct 01, 2016 04:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katu nchi hii haitoacha kuiunga mkono Palestina.

  • Jamii ya Waislamu Ujerumani yalaani kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Jamii ya Waislamu Ujerumani yalaani kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Sep 08, 2016 09:51

    Jamii ya Waislamu nchini Ujerumani imelaani vikali mwenendo wa kuongezeka chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • Wasiwasi kuhusu hatima ya watoto wakimbizi elfu 9 huko Ujerumani

    Wasiwasi kuhusu hatima ya watoto wakimbizi elfu 9 huko Ujerumani

    Aug 30, 2016 03:08

    Polisi ya Ujerumani imetangaza kuwa karibu watoto wakimbizi elfu tisa nchini humo wametoweka, hatua ambayo imezidisha hali ya wasiwasi kuhusu uwezekano wa watoto hao kuuzwa na kutumiwa vibaya na magenge ya biashara haramu ya binadamu katika nchi za Ulaya.

  • Watu tisa wauawa katika shambulio mjini Munich, Ujerumani

    Watu tisa wauawa katika shambulio mjini Munich, Ujerumani

    Jul 22, 2016 23:35

    Watu tisa wameuawa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya watu wenye silaha kuwafyatulia risasi watu katika jumba moja la kibiashara mjini Munich, Ujerumani.

  •  UNICEF: Hali ya wakimbizi watoto nchini Ujerumani inasikitisha

    UNICEF: Hali ya wakimbizi watoto nchini Ujerumani inasikitisha

    Jun 21, 2016 23:36

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limekosoa vikali hali mbaya inayowakabili wakimbizi watoto nchini Ujerumani na kusema kuwa hawapewi huduma zinazofaa za tiba wala elimu.

  • Zarif: Iran inaweza kuwa mshirika muhimu wa kibiashara wa Ujerumani

    Zarif: Iran inaweza kuwa mshirika muhimu wa kibiashara wa Ujerumani

    Jun 16, 2016 02:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa hakuna mtu anayeweza kusababisha madhara katika ushirikiano wa kiuchumi kati ya Iran na Ujerumani na kwamba Iran ikiwa ni nchi iliyopiga hatua inaweza kuwa mshirika muhimu wa kibiashara wa Ujerumani.

  • Chama chenye misimamo mikali Ujerumani chavunja mazungumzo na Waislamu

    Chama chenye misimamo mikali Ujerumani chavunja mazungumzo na Waislamu

    May 24, 2016 11:51

    Chama cha mrengo wa kulia nchini Ujerumani cha AfD kimevunja mazungumzo yaliyotazamia kuupatia ufumbuzi mkwaruzano kati yao na wanaharakati Waislamu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS