-
Radiamali kali ya Russia juu ya ongezeko la kuwepo kijeshi Marekani nchini Ukraine
Aug 26, 2017 06:37Igor Morozev, afisa wa ngazi ya juu katika bunge la Russia ameonya kwamba, nchi yake itachukua hatua maalumu ikiwemo kuimarisha mipaka yake, ikiwa Marekani itapanua uwepo wake kijeshi nchini Ukraine.
-
Malengo ya safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani katika nchi za Jordan, Uturuki na Ukraine
Aug 21, 2017 03:44Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis jana Jumapili aliwasili Amman katika awamu ya kwanza ya safari ya kuzitembelea nchi tatu za Jordan, Uturuki an Ukraine.
-
Kuongezwa muda vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia
Mar 15, 2017 09:49Jumatatu iliyopita Umoja wa Ulaya, ulitangaza kurefusha vikwazo kwa muda wa miezi sita mingine dhidi ya shakhsia na mashirika kadhaa ya Russia na eneo la Crimea, yaani hadi tarehe 15 Septemba mwaka huu.
-
Saudia kununua silaha zaidi kutoka Ukraine
Oct 30, 2016 11:55Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umeongeza ushirikiano wake na nchi ya Ulaya Mashariki ya Ukraine na iko mbioni kununua silaha zaidi kutoka nchini humo.
-
Russia: Marekani iache unafiki na undumakuwili
Mar 11, 2016 05:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameitaja Marekani pamoja na waitifaki wake wa Magharibi kuwa ni wanafiki kwa kukataa kulaani hujuma za hivi karibuni dhidi ya ubalozi wa Russia nchini Ukraine.