Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ulimwengu wa Kiislamu

  • Kwa nini ni muhimu Ulimwengu wa Kiislamu kuchukua msimamo mmoja dhidi ya utawala wa Kizayuni?

    Kwa nini ni muhimu Ulimwengu wa Kiislamu kuchukua msimamo mmoja dhidi ya utawala wa Kizayuni?

    Apr 06, 2025 02:19

    Katika muendelezo wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran za kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na ulazima wa Ulimwengu wa Kiislamu kuzingatia hali ya Ghaza, Ali Akbar Velayati, Katibu Mkuu wa Baraza la Kimataifa la Mwamko wa Kiislamu ametoa taarifa ya kulaani hujuma za kinyama za utawala vamizi wa Kizayuni dhidi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Ghaza na wa kusini mwa Lebanon.

  • Rais wa Iran: Sehemu kubwa ya matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu yanasababishwa na kuwa mbali na mafundisho ya Qur'ani

    Rais wa Iran: Sehemu kubwa ya matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu yanasababishwa na kuwa mbali na mafundisho ya Qur'ani

    Feb 01, 2025 03:07

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika ujumbe wake katika hafla ya kumalizika duru ya 41 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an katika mji wa Mash'had hapa nchini kuwa: Sehemu kubwa ya matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu hii leo ​​ni matokeo ya kuwa mbali na mafundisho ya Qur'ani.

  • Iran yawataka wasomi wa Kiislamu kuzuia dhulma dhidi ya Waislamu huko Palestina na Lebanon

    Iran yawataka wasomi wa Kiislamu kuzuia dhulma dhidi ya Waislamu huko Palestina na Lebanon

    Nov 28, 2024 11:27

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amewataka wanazuoni wa Ulimwengu wa Kiislamu kuwatetea watu wanaodhulumiwa na Waislamu kote duniani, na pia kuchukua maamuzi ya kijasiri ya kusitisha ukatili na jinai zinazofanyika katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Maulamaa wa Kisunni Iran wawaandikia barua wenzao katika Ulimwengu wa Kiislamu kuhusu Vita vya Ghaza

    Maulamaa wa Kisunni Iran wawaandikia barua wenzao katika Ulimwengu wa Kiislamu kuhusu Vita vya Ghaza

    Nov 17, 2024 14:09

    Mamia ya Maulamaa mashuhuri wa Kisunni wa nchini Iran wametoa wito wa kuchukuliwa hatua za kivitendo na Maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu katika kukabiliana na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza.

  • Umoja wa Umma wa Kiislamu, siri ya ushindi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Umoja wa Umma wa Kiislamu, siri ya ushindi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 16, 2024 03:50

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kuleza kuwa Iran iko tayari kusaidia kujenga maelewano ya pamoja ya kiusalama kuhusu hatari ya kihistoria ya utawala wa Kizayuni, amesema: Kuna haja kusimamishwa aina yoyote ya mpango wa kisiasa na kiuchumi unaousaidia utawala huo ghasibu.

  • Ulimwengu wa Kiislamu watakiwa ujiweke tayari kupambana vikali kwa ajili ya Palestina

    Ulimwengu wa Kiislamu watakiwa ujiweke tayari kupambana vikali kwa ajili ya Palestina

    Mar 06, 2024 03:36

    Spika wa Bunge la Uturuki Numan Kurtulmus ametoa wito kwa Ulimwengu wa Kiislamu kusimama na Palestina katika mapambano yake dhidi ya kukaliwa ardhi zake kwa mabavu na mauaji ya kimbari.

  • Ulimwengu wa Spoti, Februari 12

    Ulimwengu wa Spoti, Februari 12

    Feb 12, 2024 07:33

    Natumai u mzima wa afya mpenzi msikilizaji popote uliopo. Karibu tuangazie japo kwa mukhtasari baadhi ya matukio yaliyotikisa viwanja mbalimbali, kitaifa, kieneo na kimataifa.

  • Ebrahim Raisi: Kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu ni Palestina na ukombozi wa Quds

    Ebrahim Raisi: Kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu ni Palestina na ukombozi wa Quds

    Jan 31, 2024 13:36

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kadhia kuu nambari moja ya Ulimwengu wa Kiislamu ni Palestina na ukombozi wa Quds Tukufu, Kibla cha Kwanza cha Waislamu, kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hafla kubwa kabisa ya Qur'ani ya Wanawake wa Ulimwengu wa Kiislamu yafanyika nchini Iran

    Hafla kubwa kabisa ya Qur'ani ya Wanawake wa Ulimwengu wa Kiislamu yafanyika nchini Iran

    Apr 21, 2023 01:40

    Hafla kubwa zaidi ya Qur'ani ya wanawake wa Ulimwengu wa Kiislamu iliyoandaliwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanyika mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na wake wa mabalozi na wanawake wanaharakati katika uga wa Qur'ani.

  • Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kufanyia Aprili 14

    Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kufanyia Aprili 14

    Apr 05, 2023 02:37

    Mwenyekiti wa Makao Makuu ya Intifadha na Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran amesema nara na kaulimbiu ya Siku ya Kimataifa Quds mwaka huu ni: "Palestina ni Mhimili wa Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu, na Quds (Jerusalem) Inakaribia Kukombolewa."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS