Sep 11, 2020 07:42
Maqarii mashuhuri wa Qurani Tukufu kutoka kona mbalimbali za dunia wamekutana mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambapo kwa kauli moja, wamelaani vikali hatua ya jarida la Kifaransa la Charlie Hebdo ya kumvunjia heshima Bwana Mtume Muhammad SAW.