Feb 01, 2018 07:55
Sayyid Ali Fadhlullah, Imam wa Sala ya Ijumaa ya Beirut Lebanon na Sheikh Maher Hamoud, Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Muqawama wamesisitizia wajibu wa kuungana ulimwengu wa Kiislamu na wa Kiarabu katika kukabiliana na uadui wa utawala wa Kizayuni wa Israel.