Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

umoja wa Kiislamu

  • Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Dec 11, 2017 11:02

    Wananchi wa Mauritania wameungana na Waislamu na wapenda haki katika kona zote za dunia kuendeleza maandamano ya kumlaani rais wa Marekani, Donald Trump kwa hatua yake ya kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Mkutano wa Umoja wa Kiislamu waunga mkono Intifadha mpya ya Palestina

    Mkutano wa Umoja wa Kiislamu waunga mkono Intifadha mpya ya Palestina

    Dec 08, 2017 08:14

    Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umemalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa yenye vipengee 26 inayosisitiza kuimarishwa umoja wa Kiislamu kwa ajili ya kupambana na njama za maadui, ikiwemo njama mpya ya Marekani dhidi ya Quds Tukufu.

  • Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Dec 06, 2017 22:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa Waiskamu kuwa macho na njama za maadui.

  • Tehran mwenyeji wa Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu

    Tehran mwenyeji wa Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu

    Dec 05, 2017 04:38

    Duru ya 31 ya Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu imeng'oa nanga hii leo hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran.

  • Velayati: Umoja na mshikamano wa kukabiliana na uzushaji mifarakano ndilo hitajio la Ulimwengu wa Kiislamu leo hii

    Velayati: Umoja na mshikamano wa kukabiliana na uzushaji mifarakano ndilo hitajio la Ulimwengu wa Kiislamu leo hii

    Dec 02, 2017 11:35

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema: Umoja na mshikamano wa kukabiliana na uzushaji mifarakano ndilo hitajio la Ulimwengu wa Kiislamu leo hii.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Umma wa Kiislamu ukabiliane kwa nguvu na maadui

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Umma wa Kiislamu ukabiliane kwa nguvu na maadui

    Dec 01, 2017 12:12

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ametoa salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa kuwadia Maulid ya Mtume Muhammad SAW na Wiki ya Umoja wa Kiislamu na kuongeza kuwa: "Waislamu wa madhehebu ya Kisunni na Kishia, wanapaswa kuungana na kuwa na mshikamano na wasimame kidete kupambana na adui wao wa pamoja katika ulimwengu wa Kiislamu."

  • Kongamano la Umoja wa Kiislamu ni nembo ya Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu

    Kongamano la Umoja wa Kiislamu ni nembo ya Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu

    Dec 01, 2017 12:03

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema, kongamano la kila mwaka la Umoja wa Kiislamu ni nembo ya umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Umuhimu wa mkutano wa pili wa kimataifa wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama mjini Beirut

    Umuhimu wa mkutano wa pili wa kimataifa wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama mjini Beirut

    Nov 02, 2017 00:39

    Mkutano wa pili wa kimataifa wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama ulianza hapo jana Jumatano katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut kwa kaulimbiu ya "Umoja kwa ajili ya Palestina-Israel inaelekea kutoweka".

  • Siku ya Kimataifa ya Quds, fursa ya kuimarisha umoja wa ulimwengu wa Kiislamu

    Siku ya Kimataifa ya Quds, fursa ya kuimarisha umoja wa ulimwengu wa Kiislamu

    Jun 23, 2017 03:52

    Makundi ya Kipalestina yameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa ni fursa kwa ajili ya kukabiliana na hatari zinazoukabili mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds na kuimarisha umoja wa ulimwengu wa Kiarabu na Kiislamu kupitia muqawama na mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • Palestina; kadhia ya umoja na kipaumbele cha awali cha Ulimwengu wa Kiislamu

    Palestina; kadhia ya umoja na kipaumbele cha awali cha Ulimwengu wa Kiislamu

    Feb 22, 2017 04:34

    Msemaji wa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa kuunga Mkono Intifadha ya Palestina amesema kuwa ujumbe mkuu wa kufanyika mkutano huo hapa Tehran ni kudhihirisha suala la Palestina kama kadhia ya awali inayouhusu Ulimwengu wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS