Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

umoja wa Kiislamu

  • Mapenzi kwa Ahlul Bayt AS, chimbuko la Umoja wa umma wa Kiislamu

    Mapenzi kwa Ahlul Bayt AS, chimbuko la Umoja wa umma wa Kiislamu

    Feb 16, 2017 00:37

    Ayatulla Mohsen Araki, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema, mapenzi kwa Ahlul Bayt wa Mtume Muhammad SAW ni chimbuko la umoja wa umma wa Kiislamu.

  • Mottaki: Umoja wa Waislamu unawatia kiwewe maadui

    Mottaki: Umoja wa Waislamu unawatia kiwewe maadui

    Jan 07, 2017 03:47

    Naibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuyakurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu katika masuala ya Iran amesema umoja na mshikamano wa Waislamu umewakosesha usingizi maadui wa dini hii tukufu.

  • Ayatullah Subhani asisitiza umoja wa Waislamu ili kung'oa mizizi ya utakfiri

    Ayatullah Subhani asisitiza umoja wa Waislamu ili kung'oa mizizi ya utakfiri

    Dec 19, 2016 11:16

    Mmoja wa marajii taqlidi katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran amesisitiza juu ya udharura wa kuungana na kuwa kitu kimoja maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu ili kutokomeza mizizi ya matakfiri duniani.

  • Mkutano wa kimataifa wa  Umoja wa Kiislamu umeanza leo mjini Tehran

    Mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza leo mjini Tehran

    Dec 15, 2016 01:59

    Duru ya 31 ya mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na shakhsia, wanazuoni na wanafikra kutoka nchi mbalimbali duniani.

  • Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu kufanyika Tehran

    Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu kufanyika Tehran

    Dec 14, 2016 00:55

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema mkutano wa kimataifa wa kila mwaka wa Umoja wa Kiislamu utafanyika wiki hii mjini Tehran.

  • Mkutano wa Umoja wa Kiislamu wafanyika Ivory Coast

    Mkutano wa Umoja wa Kiislamu wafanyika Ivory Coast

    Dec 05, 2016 11:30

    Mkutano wa kwanza wa Umoja wa Kiislamu umefanyika nchini Ivory Coast ukiwashirikisha wahadhiri wa vyuo vikuu, wanachuo na wanafunzi wa shule za Kiislamu nchini humo mjini Abidjan.

  • Ayatullah Rafsanjani: Umoja baina ya Shia na Suni ni jambo lenye ulazima

    Ayatullah Rafsanjani: Umoja baina ya Shia na Suni ni jambo lenye ulazima

    Mar 13, 2016 00:01

    Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja baina ya Shina na Suni una umuhimu mkubwa mno hususan katika hali na mazingira tete na hasasi yanayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati na ulimwenguni.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS