Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Gazeti la Israel: Trump anaweza wikiendi hii akatangaza makubaliano ya kumaliza vita Ghaza

    Gazeti la Israel: Trump anaweza wikiendi hii akatangaza makubaliano ya kumaliza vita Ghaza

    May 09, 2025 07:18

    Rais wa Marekani Donald Trump huenda wikiendi hii akatangaza rasimu ya makubaliano ambayo yatamaliza vita vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza. Hayo yameripotiwa na gazeti la Kizayuni la Israel Hayom.

  • UN yatuma salamu za pole na rambirambi kwa wananchi na serikali ya Iran kufuatia mripuko wa Bandar Abbas

    UN yatuma salamu za pole na rambirambi kwa wananchi na serikali ya Iran kufuatia mripuko wa Bandar Abbas

    Apr 27, 2025 07:43

    Umoja wa Mataifa umetuma salamu za pole kwa wananchi na serikali ya Iran kufuatia mripuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Shahidi Rajaee kusini mwa Iran jana Jumamosi.

  • Kuendelea jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza mbele ya kimya cha wanaodai kutetea haki za binadamu

    Kuendelea jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza mbele ya kimya cha wanaodai kutetea haki za binadamu

    Apr 24, 2025 10:09

    Umoja wa Mataifa umesema kukwa umekumbwa na wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza na kutahadharisha kuwa eneo hilo linapitia katika hali ngumu sana tangu kuanza vita dhidi ya ukanda huo.

  • UN: Mauaji ya mamia ya watu El-Fasher, Sudan yanatisha

    UN: Mauaji ya mamia ya watu El-Fasher, Sudan yanatisha

    Apr 15, 2025 07:59

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulizi mabaya ya hivi karibuni ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko eneo la Darfur Kaskazini nchini Sudan akisema kuwa, mashambulizi hayo yanaashiria kushindwa kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za maana licha ya maonyo ya mara kwa mara.

  • UN: Wapalestina 400,000 Gaza wamefurushwa makwao ndani ya wiki 3

    UN: Wapalestina 400,000 Gaza wamefurushwa makwao ndani ya wiki 3

    Apr 12, 2025 11:40

    Takwimu mpya za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa, idadi kubwa ya Wapalestina wamelazimika kuyahama makazi yao katika Ukanda wa Gaza tangu utawala haramu wa Israel uanzishe mashambulizi mapya baada ya kuvunja makubaliano ya usitishaji vita zaidi ya wiki tatu zilizopita.

  • UN: Mashambulio 36 ya Israel Ghaza kati ya Machi 18 hadi Aprili 9 yameua wanawake na watoto tu

    UN: Mashambulio 36 ya Israel Ghaza kati ya Machi 18 hadi Aprili 9 yameua wanawake na watoto tu

    Apr 12, 2025 03:08

    Umoja wa Mataifa umesema wanawake na watoto wa Kipalestina ndio pekee waliouawa katika mashambulizi yapatayo 36 ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza tangu katikati ya mwezi Machi na kuonya kwamba mashambulizi ya kijeshi ya Israel yanahatarisha "kuendelea kuwepo Wapalestina kama jamii".

  • UN: Katika kila nusu saa, mtoto 1 alibakwa mashariki ya DRC

    UN: Katika kila nusu saa, mtoto 1 alibakwa mashariki ya DRC

    Apr 12, 2025 02:19

    Umoja wa Mataifa umelaani kushtadi kesi za ubakaji na unyanyasaji wa kingono dhidi ya watoto huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilizoripotiwa katika miezi miwili ya kwanza ya mwaka huu; huku makabiliano makali yakiendelea kati ya kundi la waasi la M23 na vikosi vya serikali.

  • Ripota wa UN: Muda wa kuwanusuru Wapalestina unazidi kuyoyoma

    Ripota wa UN: Muda wa kuwanusuru Wapalestina unazidi kuyoyoma

    Apr 11, 2025 02:06

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya Palestina ameonya kwamba "hakuna muda mwingi uliobaki" kuwaokoa watu wa Palestina wakati huu ambapo Israel inaendeleza mashambulizi yake mtawalia katika Ukanda wa Gaza, na ukandamizaji unaoendelea katika Ukingo wa Magharibi.

  • Israel yaua Wapalestina wengine karibu 80 Gaza, Guterres asikitika

    Israel yaua Wapalestina wengine karibu 80 Gaza, Guterres asikitika

    Apr 03, 2025 07:05

    Makumi ya Wapalestina wengine wameuawa shahidi katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza usiku kucha.

  • Mkuu wa UN atiwa wasiwasi na hali kuzidi kuwa tete Sudan Kusini

    Mkuu wa UN atiwa wasiwasi na hali kuzidi kuwa tete Sudan Kusini

    Mar 28, 2025 07:00

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema anasikitishwa sana na kuendelea kushtadi taharuki na hali ya mambo nchini Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS