-
Kuendelea radiamali ya asasi za UN kwa uingiliaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Jun 12, 2017 21:55Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA) limesisitiza kuwa, mamlaka ya asasi hiyo yako chini ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kwamba, hakuna mtu mwenye mamlaka ya kuingilia utendaji wa taasisi hiyo.
-
Netanyahu atoa wito wa kuvunjwa UNRWA
Jun 11, 2017 22:53Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa wito wa kuvunjwa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA), linalowasaidia mamilioni ya wakimbizi wa Kipalestina.
-
Umoja wa Mataifa waelezea wasiwasi wake wa kuenea machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jun 10, 2017 03:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasiwasi ulionao umoja huo wa kuenea zaidi machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati huku kukiwa na taarifa kwamba, raia wa nchi hiyo wameendelea kuyakimbia makazi yao.
-
Umoja wa Mataifa: Maradhi ya kipindupindu yameenea kila kona ya Yemen
Jun 09, 2017 23:26Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, maradhi ya kipindipindu yameenea katika kila kona ya Yemen huku hali ya kibinadamu katika nchi hiyo ikiripotiwa kuzidi kuwa mbaya siku baada ya siku.
-
UN yataka kusitishwa mshambulizi dhidi ya raia huko CAR
Jun 09, 2017 03:37Kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kimetoa wito wa kusimamishwa haraka iwezekanavyo mashambulizi yanayofanywa na makundi yenye silaha dhidi ya raia wa nchi hiyo.
-
AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan
Jun 07, 2017 03:03Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimependekeza kupunguzwa idadi ya askari wanaohudumu kwenye Kikosi cha pamoja cha AU na UN huko Darfur, nchini Sudan UNAMID.
-
UN: Daesh imeua raia 163 waliokuwa wakikimbia Mosul, Iraq
Jun 06, 2017 23:18Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeua raia 163 waliokuwa wakiukimbia mji wa Mosul nchini Iraq ndani ya wiki moja pekee.
-
UN yaipa DRC siku 2 ichunguze mauaji na jinai eneo la Kasai
Jun 06, 2017 09:06Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameipa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku mbili ionyeshe azma na irada ya kufanya uchunguzi wa kina kuhusu mauaji na jinai za kibinadamu katika eneo la Kasai.
-
Marekani yatishia kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la UN
Jun 05, 2017 22:57Marekani inatazamiwa kutoa ishara leo Jumanne juu ya uwezekano wa kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kwa lengo la kuukingia kifua utawala haramu wa Israel.
-
Kubariki Umoja wa Mataifa njama zinazotekelezwa na Saudia nchini Yemen
Jun 04, 2017 21:47Harakati ya Ansarullah ya Yemen imekosoa pendekezo la mjumbe wa Umoja wa Mataifa kuhusu kukabidhi udhibiti wa bandari ya Al-Hudayda kwa upande mwengine wa tatu usioegemea upande wowote.