Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Kuendelea radiamali ya asasi za UN kwa uingiliaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kuendelea radiamali ya asasi za UN kwa uingiliaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jun 12, 2017 21:55

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA) limesisitiza kuwa, mamlaka ya asasi hiyo yako chini ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kwamba, hakuna mtu mwenye mamlaka ya kuingilia utendaji wa taasisi hiyo.

  • Netanyahu atoa wito wa kuvunjwa UNRWA

    Netanyahu atoa wito wa kuvunjwa UNRWA

    Jun 11, 2017 22:53

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa wito wa kuvunjwa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA), linalowasaidia mamilioni ya wakimbizi wa Kipalestina.

  • Umoja wa Mataifa waelezea wasiwasi wake wa kuenea machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Umoja wa Mataifa waelezea wasiwasi wake wa kuenea machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 10, 2017 03:08

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasiwasi ulionao umoja huo wa kuenea zaidi machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati huku kukiwa na taarifa kwamba, raia wa nchi hiyo wameendelea kuyakimbia makazi yao.

  • Umoja wa Mataifa: Maradhi ya kipindupindu yameenea kila kona ya Yemen

    Umoja wa Mataifa: Maradhi ya kipindupindu yameenea kila kona ya Yemen

    Jun 09, 2017 23:26

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, maradhi ya kipindipindu yameenea katika kila kona ya Yemen huku hali ya kibinadamu katika nchi hiyo ikiripotiwa kuzidi kuwa mbaya siku baada ya siku.

  • UN yataka kusitishwa mshambulizi dhidi ya raia huko CAR

    UN yataka kusitishwa mshambulizi dhidi ya raia huko CAR

    Jun 09, 2017 03:37

    Kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kimetoa wito wa kusimamishwa haraka iwezekanavyo mashambulizi yanayofanywa na makundi yenye silaha dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan

    AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan

    Jun 07, 2017 03:03

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimependekeza kupunguzwa idadi ya askari wanaohudumu kwenye Kikosi cha pamoja cha AU na UN huko Darfur, nchini Sudan UNAMID.

  • UN: Daesh imeua raia 163 waliokuwa wakikimbia Mosul, Iraq

    UN: Daesh imeua raia 163 waliokuwa wakikimbia Mosul, Iraq

    Jun 06, 2017 23:18

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeua raia 163 waliokuwa wakiukimbia mji wa Mosul nchini Iraq ndani ya wiki moja pekee.

  • UN yaipa DRC siku 2 ichunguze mauaji na jinai eneo la Kasai

    UN yaipa DRC siku 2 ichunguze mauaji na jinai eneo la Kasai

    Jun 06, 2017 09:06

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameipa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku mbili ionyeshe azma na irada ya kufanya uchunguzi wa kina kuhusu mauaji na jinai za kibinadamu katika eneo la Kasai.

  • Marekani yatishia kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Marekani yatishia kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Jun 05, 2017 22:57

    Marekani inatazamiwa kutoa ishara leo Jumanne juu ya uwezekano wa kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kwa lengo la kuukingia kifua utawala haramu wa Israel.

  • Kubariki Umoja wa Mataifa njama zinazotekelezwa na Saudia nchini Yemen

    Kubariki Umoja wa Mataifa njama zinazotekelezwa na Saudia nchini Yemen

    Jun 04, 2017 21:47

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imekosoa pendekezo la mjumbe wa Umoja wa Mataifa kuhusu kukabidhi udhibiti wa bandari ya Al-Hudayda kwa upande mwengine wa tatu usioegemea upande wowote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS