Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yaitisha mkutano wa kwanza kujadili masuala ya bahari

    UN yaitisha mkutano wa kwanza kujadili masuala ya bahari

    Jun 02, 2017 22:00

    Umoja wa Mataifa umeandaa mkutano wa kwanza wa mambo ya baharini kuanzia tarehe 5 hadi 9 mwezi huu wa Juni, ili kubadilisha mwelekeo wa hali inayozidi kuwa mbaya ya mazingira ya ikolojia baharini, na kutekeleza malengo ya maendeleo endelevu ya mambo ya bahari.

  • Wahajiri 58 wafa maji bahari ya Mediterrania, 100 watoweka

    Wahajiri 58 wafa maji bahari ya Mediterrania, 100 watoweka

    May 30, 2017 11:03

    Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 58 aghalabu yao wakiwa ni watoto wadogo wamekufa maji katika Bahari ya Mediterrania karibu na pwani ya Libya wakijaribu kuingia barani Ulaya.

  • UN yaunda timu ya kuchunguza jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    UN yaunda timu ya kuchunguza jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    May 30, 2017 10:59

    Umoja wa Mataifa umeunda timu ya wataalamu huru kuchunguza mauaji na jinai zinazofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine.

  • UN yaonya kuhusu kuendelea mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN yaonya kuhusu kuendelea mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 29, 2017 02:48

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu kuanza upya mapigano ya kikabila na kidini katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • UN yatahadharisha kuhusu kusimamishwa misaada ya kibinadamu nchini Nigeria

    UN yatahadharisha kuhusu kusimamishwa misaada ya kibinadamu nchini Nigeria

    May 25, 2017 23:24

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, kupunguzwa bajeti za umoja huo kumezikwamisha taasisi zake katika kuendesha miradi mbalimbali ya kimataifa ikiwa ni pamoja na kuwatumia chakula waathirika wa mashambulizi ya kundi la Boko Haram huko kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Ukosoaji mkali wa UN kwa uamuzi wa Marekani wa kupunguza bajeti ya mchango wake kwa umoja huo

    Ukosoaji mkali wa UN kwa uamuzi wa Marekani wa kupunguza bajeti ya mchango wake kwa umoja huo

    May 25, 2017 21:55

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric, amesema pendekezo la serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani la kupunguza bajeti ya mchango wa nchi hiyo kwa umoja huo litaufanya uendeshaji wa shughuli za taasisi hiyo ya kimataifa liwe jambo "lisiloyumkinika".

  • UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya mateka wa Palestina

    UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya mateka wa Palestina

    May 25, 2017 09:21

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya kiafya ya mateka wa Kipalestina waliosusia chakula katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Libya yataka kuondolewa vikwazo vya silaha

    Libya yataka kuondolewa vikwazo vya silaha

    May 24, 2017 09:55

    Waziri Mkuu wa serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya ametaka nchi yake iondolewe vikwazo vya silaha.

  • Askari 2 wa kulinda amani wa UN wauawa nchini Mali

    Askari 2 wa kulinda amani wa UN wauawa nchini Mali

    May 24, 2017 03:17

    Askari wawili wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali wameuawa katika uvamizi wa genge la kitakfiri lenye mafungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda kaskazini mwa nchi.

  • Myanmar yapinga ripoti ya UN kuhusu jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Myanmar yapinga ripoti ya UN kuhusu jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    May 23, 2017 03:15

    Jeshi la Myanmar limekanusha ripoti ya uchunguzi wa Umoja wa Mataifa iliyosema kuwa viongozi wa serikali wanabeba dhima ya jinai zilizotendwa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS