-
Ripoti: Watu milioni 31 walilazimika kuwa wakimbizi nchini mwao 2016
May 23, 2017 02:36Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya milioni 31 walilazimika kuwa wakimbizi ndani ya nchi zao mwaka uliopita wa 2016 lote duniani.
-
UN: Watu milioni 1.3 wanahitaji misaada ya dharura Libya
May 21, 2017 23:40Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya milioni moja na laki tatu nchini Libya wanahitajia misaada ya dharura ya kibinadamu.
-
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ataka kurejeshwa utulivu nchini Libya
May 21, 2017 09:06Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amezitaka pande zote zinazopigana kusini mwa Libya kufanya juhudi za kurejesha amani na utulivu katika eneo hilo.
-
Umoja wa Mataifa kuwasaidia wakazi wa eneo la Ziwa Chad
May 21, 2017 09:02Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kumetengwa bajeti maalumu ya kuwasaidia wakazi wa eneo la Ziwa Chad ambao kwa sasa wanakabiliwa na hali mbaya kimaisha.
-
UN yaitaka Israel iache kuyakalia kwa mabavu maeneo ya Wapalestina
May 20, 2017 08:15Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukome kuzikalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa kunyongwa watu DRC bila kufikishwa mahakamani
May 19, 2017 23:32Umoja wa Mataifa umekosoa ongezeko la vitendo vya kuwanyonga watu bila kuwapandisha mahakamani na ukiukaji wa haki za binaadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Umoja wa Mataifa: Raia 1,300,000 nchini Niger hawana chakula
May 18, 2017 02:44Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, raia milioni moja na laki tatu katika nchi ya Niger iliyoko magharibi mwa Afrika wamakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula.
-
UN: Ubakaji unatumiwa kama mbinu ya ugaidi Somalia, Nigeria
May 16, 2017 09:14Umoja wa Mataifa umesema uhalifu wa kijinsia unatumiwa na magaidi kama moja ya mbinu zao katika nchi za Somalia, Nigeria na Mali.
-
Katibu Mkuu UN alaani mashambulio dhidi ya raia na wasimamia amani CAR
May 15, 2017 09:44Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulio ya hivi karibuni ya makundi ya wabeba silaha dhidi ya raia na askari wa kusimamia amani wa umoja huo MINUSCA huko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Umoja wa Mataifa wataka kusaidia wakimbizi wa Sudan Kusini
May 15, 2017 09:35Umoja wa Mataifa umetaka wakimbizi wa Sudan Kusini wasaidiwe ili waweze kujikimu na matatizo mbalimbali wanayokabiliwa nayo.