-
Umoja wa Mataifa kuwasaidia wakazi wa eneo la Ziwa Chad
May 21, 2017 09:02Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kumetengwa bajeti maalumu ya kuwasaidia wakazi wa eneo la Ziwa Chad ambao kwa sasa wanakabiliwa na hali mbaya kimaisha.
-
UN yaitaka Israel iache kuyakalia kwa mabavu maeneo ya Wapalestina
May 20, 2017 08:15Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukome kuzikalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa kunyongwa watu DRC bila kufikishwa mahakamani
May 19, 2017 23:32Umoja wa Mataifa umekosoa ongezeko la vitendo vya kuwanyonga watu bila kuwapandisha mahakamani na ukiukaji wa haki za binaadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Umoja wa Mataifa: Raia 1,300,000 nchini Niger hawana chakula
May 18, 2017 02:44Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, raia milioni moja na laki tatu katika nchi ya Niger iliyoko magharibi mwa Afrika wamakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula.
-
UN: Ubakaji unatumiwa kama mbinu ya ugaidi Somalia, Nigeria
May 16, 2017 09:14Umoja wa Mataifa umesema uhalifu wa kijinsia unatumiwa na magaidi kama moja ya mbinu zao katika nchi za Somalia, Nigeria na Mali.
-
Katibu Mkuu UN alaani mashambulio dhidi ya raia na wasimamia amani CAR
May 15, 2017 09:44Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulio ya hivi karibuni ya makundi ya wabeba silaha dhidi ya raia na askari wa kusimamia amani wa umoja huo MINUSCA huko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Umoja wa Mataifa wataka kusaidia wakimbizi wa Sudan Kusini
May 15, 2017 09:35Umoja wa Mataifa umetaka wakimbizi wa Sudan Kusini wasaidiwe ili waweze kujikimu na matatizo mbalimbali wanayokabiliwa nayo.
-
Anti Balaka imeua raia 30 Jamhuri ya Afrika ya Kati, mamia wajificha msikitini
May 15, 2017 03:07Umoja wa Mataifa umesema yumkini raia zaidi ya 30 wameuawa na kundi la waasi wa Kikristo la Anti-Balaka katika mapigano yanayoendelea hivi sasa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
UN yaituhumu Ukraine kuwa inatuma silaha Sudan Kusini
May 15, 2017 03:02Umoja wa Mataifa umeituhumu Ukraine kuwa imekiuka vikwazo vya kimataifa dhidi ya Sudan Kusini kwa kuiuzia nchi hiyo ya Afrika silaha.
-
UN: Dola milioni 900 zinahitajika kunusuru maisha ya Wasomali milioni 6
May 11, 2017 10:29Umoja wa Mataifa umesema unahitajia dola milioni 900 za Marekani kufikia mwishoni mwa mwaka huu kwa ajili ya kunusuru maisha ya raia milioni 6 wa Somalia wanaohitajia misaada ya dharura ya kibinadamu.