Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Anti Balaka imeua raia 30 Jamhuri ya Afrika ya Kati, mamia wajificha msikitini

    Anti Balaka imeua raia 30 Jamhuri ya Afrika ya Kati, mamia wajificha msikitini

    May 15, 2017 03:07

    Umoja wa Mataifa umesema yumkini raia zaidi ya 30 wameuawa na kundi la waasi wa Kikristo la Anti-Balaka katika mapigano yanayoendelea hivi sasa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • UN yaituhumu Ukraine kuwa inatuma silaha Sudan Kusini

    UN yaituhumu Ukraine kuwa inatuma silaha Sudan Kusini

    May 15, 2017 03:02

    Umoja wa Mataifa umeituhumu Ukraine kuwa imekiuka vikwazo vya kimataifa dhidi ya Sudan Kusini kwa kuiuzia nchi hiyo ya Afrika silaha.

  • UN: Dola milioni 900 zinahitajika kunusuru maisha ya Wasomali milioni 6

    UN: Dola milioni 900 zinahitajika kunusuru maisha ya Wasomali milioni 6

    May 11, 2017 10:29

    Umoja wa Mataifa umesema unahitajia dola milioni 900 za Marekani kufikia mwishoni mwa mwaka huu kwa ajili ya kunusuru maisha ya raia milioni 6 wa Somalia wanaohitajia misaada ya dharura ya kibinadamu.

  • UNESCO yaafiki ombi la Rwanda kuhusu kumbukizi za mauaji ya kimbari 1994

    UNESCO yaafiki ombi la Rwanda kuhusu kumbukizi za mauaji ya kimbari 1994

    May 11, 2017 10:26

    Mkuu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) ametangaza kuunga mkono ombi la Rwanda la kutaka maeneo manne yenye kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 yajumuishwe katika orodha ya Turathi za Dunia ya shirika hilo.

  • Makumi ya Wasudan watangaza himaya yao kwa mateka wa Palestina

    Makumi ya Wasudan watangaza himaya yao kwa mateka wa Palestina

    May 11, 2017 02:52

    Makumi ya wananchi wa Sudan wameandamana na kukusanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa mateka wa Kipalestina.

  • UN: Watoto milioni 2 wa Sudan Kusiniwamelazimika kuwa wakimbizi

    UN: Watoto milioni 2 wa Sudan Kusiniwamelazimika kuwa wakimbizi

    May 08, 2017 03:18

    Umoja wa Mataifa umesema watoto zaidi ya milioni 2 wa Sudan Kusini wamelazimika kuyahama makazi yao kutokana na mapigano na ukame vinavyoisakama nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • António Guterres aitaka Boko Haram ikomeshe ukiukaji wa haki za watoto

    António Guterres aitaka Boko Haram ikomeshe ukiukaji wa haki za watoto

    May 05, 2017 09:16

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelitaka kundi la kigaidi la Boko Haram la nchini Nigeria kuhitimisha ukiukaji wake wa haki za watoto.

  • UN, US na EU zatakiwa kukomesha jinai za Bahrain dhidi ya Sheikh Qassim

    UN, US na EU zatakiwa kukomesha jinai za Bahrain dhidi ya Sheikh Qassim

    May 05, 2017 09:12

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Bahrain na kimataifa yameziandikia barua Marekani, Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya yakizitaka ziishinikize serikali ya Manama kukomesha jinai zake dhidi ya Sheikh Issa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa ngazi ya juu wa nchi hiyo ambaye alivuliwa uraia wa Bahrain Juni 20 mwaka jana 2016.

  • Umoja wa Mataifa waonyesha wasiwasi wake kutokana na kuendelea machafuko Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa waonyesha wasiwasi wake kutokana na kuendelea machafuko Sudan Kusini

    May 05, 2017 09:09

    Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameonyesha wasiwasi mkubwa alionao kutokana na kuendelea mgogoro wa Sudan Kusini na ametoa wito wa kusimamishwa mapigano katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Khoshrou: Matamshi ya Muhammad bin Salman, ni kitisho dhidi ya Iran na kukiri Saudia kuwa inahusika na ugaidi

    Khoshrou: Matamshi ya Muhammad bin Salman, ni kitisho dhidi ya Iran na kukiri Saudia kuwa inahusika na ugaidi

    May 05, 2017 00:08

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa, amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Kaimu Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa utawala wa kifalme wa Saudia, ni tishio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ni kukiri kuwepo ushirikiano wa utawala wa Saudia na vitendo vya ukatili na ugaidi ndani ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS