-
Umoja wa Mataifa waitaka serikali ya Ethiopia kuwaachilia huru wapinzani
May 04, 2017 23:34Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Ethiopia kuwaachilia huru watu ambao walitiwa nguvuni katika maandamano dhidi ya serikali hiyo kuanzia mwaka jana hadi mwaka huu.
-
Arab League yaitaka UN kufanya uchunguzi juu ya ukatili wanaofanyiwa wafungwa wa Kipalestina katika jela za Israel
May 04, 2017 23:31Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeutaka Umoja wa Mataifa kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na ukandamizaji wanaofanyiwa wafungwa wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
UN yatoa wito wa kuheshimiwa uhuru wa vyombo vya habari
May 03, 2017 02:40Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuenziwa waandishi wa habari na kuheshimiwa uhuru wa vyombo vya habari.
-
Umoja wa Mataifa na hali ya haki za binadamu nchini Bahrain
May 02, 2017 23:14Duru ya 27 ya kikao cha Umoja wa Mataifa kimeanza mjini Geneva kwa lengo la kuchunguza hali ya haki za binadamu nchini Bahrain.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu nchini Mali
May 01, 2017 23:56Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuhusiana na kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika nchi ya Kiafrika ya Mali.
-
Raia milioni moja DRC walazimika kuhama makwao
Apr 28, 2017 22:03Zaidi ya watu milioni moja wamelazimika kuhama makwao kufuatia miezi minane ya machafuko yanayozidi kusambaa katika majimbo ya Kasai, Lomami na Sankuru, kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Ubelgiji yajuta kuipiga kura Saudia kupewa uanachama wa Kamati ya Haki za Wanawake ya UN
Apr 28, 2017 03:07Waziri Mkuu wa Ubelgiji amesema nchi hiyo ya Ulaya inajuta kwa kuiunga mkono Saudi Arabia kupewa uanachama wa Kamati ya Haki za Wanawake ya Umoja wa Mataifa.
-
Umoja wa Mataifa na udharura wa kuzingatia mustakbali wa mateka wa Kipalestina
Apr 27, 2017 04:45Umoja wa Mataifa umebainisha wasiwasi wake kuhusu hali waliyonayo mateka wa Kipalestina katika jela za utawala wa Kizayuni ambao wameanzisha mgomo wa kula chakula wakitaka kuboreshewa hali zao kwenye jela hizo.
-
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ana imani na nafasi ya Syria katika kurejesha amani
Apr 24, 2017 06:47Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtumia ujumbe Rais Bashar al Assad wa Syria akimpongeza yeye na Wasyria wote kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya nchi hiyo.
-
Tahadhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu maafa ya nyuklia
Apr 23, 2017 02:56Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Utafiti Kuhusu Utokomezaji wa Silaha (UNIDIR) imewasilisha ripoti kamili na kutahadharisha kuwa malumbano ya kimatiafa na vita katika mitandao ya Intaneti ni jambo linaloweza kuibua maafa makubwa ya nyuklia duniani.