Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Umoja wa Mataifa na hali ya haki za binadamu nchini Bahrain

    Umoja wa Mataifa na hali ya haki za binadamu nchini Bahrain

    May 02, 2017 23:14

    Duru ya 27 ya kikao cha Umoja wa Mataifa kimeanza mjini Geneva kwa lengo la kuchunguza hali ya haki za binadamu nchini Bahrain.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu nchini Mali

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu nchini Mali

    May 01, 2017 23:56

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuhusiana na kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika nchi ya Kiafrika ya Mali.

  • Raia milioni moja DRC walazimika kuhama makwao

    Raia milioni moja DRC walazimika kuhama makwao

    Apr 28, 2017 22:03

    Zaidi ya watu milioni moja wamelazimika kuhama makwao kufuatia miezi minane ya machafuko yanayozidi kusambaa katika majimbo ya Kasai, Lomami na Sankuru, kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Ubelgiji yajuta kuipiga kura Saudia kupewa uanachama wa Kamati ya Haki za Wanawake ya UN

    Ubelgiji yajuta kuipiga kura Saudia kupewa uanachama wa Kamati ya Haki za Wanawake ya UN

    Apr 28, 2017 03:07

    Waziri Mkuu wa Ubelgiji amesema nchi hiyo ya Ulaya inajuta kwa kuiunga mkono Saudi Arabia kupewa uanachama wa Kamati ya Haki za Wanawake ya Umoja wa Mataifa.

  • Umoja wa Mataifa na udharura wa kuzingatia mustakbali wa mateka wa Kipalestina

    Umoja wa Mataifa na udharura wa kuzingatia mustakbali wa mateka wa Kipalestina

    Apr 27, 2017 04:45

    Umoja wa Mataifa umebainisha wasiwasi wake kuhusu hali waliyonayo mateka wa Kipalestina katika jela za utawala wa Kizayuni ambao wameanzisha mgomo wa kula chakula wakitaka kuboreshewa hali zao kwenye jela hizo.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ana imani na nafasi ya Syria katika kurejesha amani

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ana imani na nafasi ya Syria katika kurejesha amani

    Apr 24, 2017 06:47

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtumia ujumbe Rais Bashar al Assad wa Syria akimpongeza yeye na Wasyria wote kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya nchi hiyo.

  • Tahadhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu maafa ya nyuklia

    Tahadhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu maafa ya nyuklia

    Apr 23, 2017 02:56

    Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Utafiti Kuhusu Utokomezaji wa Silaha (UNIDIR) imewasilisha ripoti kamili na kutahadharisha kuwa malumbano ya kimatiafa na vita katika mitandao ya Intaneti ni jambo linaloweza kuibua maafa makubwa ya nyuklia duniani.

  • UN: Ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina ni haramu na inapasa usimamishwe kikamilifu

    UN: Ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina ni haramu na inapasa usimamishwe kikamilifu

    Apr 22, 2017 11:55

    Mratibu wa amani wa Umoja wa Mataifa amesema, kwa mujibu wa sheria za kimataifa, ujenzi wa vitongoji unaofanywa na Israel katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina ni kinyume cha sheria na inapasa usimamishwe kikamilifu.

  • Al Jaafari: Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja

    Al Jaafari: Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja

    Apr 20, 2017 23:44

    Mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja na amemlaumu vikali Nikolay Mladenov, mratibu maalumu wa umoja huyo katika mazungumzo ya mapatano ya Mashariki ya Kati kwa kudharau kutaja milima ya Golan ya Syria inayokaliwa kwa mabavu na Israel, katika ripoti yake kwa umoja huo.

  • UN yaionya Saudia dhidi ya kushambulia kwa mabomu bandari ya Yemen

    UN yaionya Saudia dhidi ya kushambulia kwa mabomu bandari ya Yemen

    Apr 20, 2017 09:43

    Umoja wa Mataifa umeutaka muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia usishambulie kwa mabomu bandari ya kistaratejia ya Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS