Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina ni haramu na inapasa usimamishwe kikamilifu

    UN: Ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina ni haramu na inapasa usimamishwe kikamilifu

    Apr 22, 2017 11:55

    Mratibu wa amani wa Umoja wa Mataifa amesema, kwa mujibu wa sheria za kimataifa, ujenzi wa vitongoji unaofanywa na Israel katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina ni kinyume cha sheria na inapasa usimamishwe kikamilifu.

  • Al Jaafari: Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja

    Al Jaafari: Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja

    Apr 20, 2017 23:44

    Mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja na amemlaumu vikali Nikolay Mladenov, mratibu maalumu wa umoja huyo katika mazungumzo ya mapatano ya Mashariki ya Kati kwa kudharau kutaja milima ya Golan ya Syria inayokaliwa kwa mabavu na Israel, katika ripoti yake kwa umoja huo.

  • UN yaionya Saudia dhidi ya kushambulia kwa mabomu bandari ya Yemen

    UN yaionya Saudia dhidi ya kushambulia kwa mabomu bandari ya Yemen

    Apr 20, 2017 09:43

    Umoja wa Mataifa umeutaka muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia usishambulie kwa mabomu bandari ya kistaratejia ya Yemen.

  • Ushirikiano wa kiusalama kati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika

    Ushirikiano wa kiusalama kati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika

    Apr 20, 2017 09:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika wamesaini makubaliano ya kushirikiana katika suala la usalama.

  • UN yagundua makuburi mengine 17 ya umati nchini Kongo DR

    UN yagundua makuburi mengine 17 ya umati nchini Kongo DR

    Apr 19, 2017 10:55

    Timu ya wachunguzi ya Umoja wa Mataifa imegundua makaburi mengine 17 ya umati katika mkoa wa Kasai, katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wiki mbili baada ya makaburi mengine kugunduliwa katika eneo hilo.

  • Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake

    Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake

    Apr 18, 2017 21:59

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amekataa wito wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya wa kufanyika uchunguzi huru juu ya mauaji ya mamia ya watu wakati wa maandamano ya miezi kadhaa dhidi ya serikali ya Addis Ababa nchini humo.

  • Wahajiri 9000 waokolewa katika bahari ya Mediterania mwishoni mwa wiki

    Wahajiri 9000 waokolewa katika bahari ya Mediterania mwishoni mwa wiki

    Apr 18, 2017 11:05

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema idadi ya wakimbizi waliookolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya mwishoni mwa wiki imevunja rekodi.

  • Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuwa Daesh wanaweza kuidhibiti tena Libya

    Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuwa Daesh wanaweza kuidhibiti tena Libya

    Apr 15, 2017 00:17

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu hatari ya kupanuka zaidi udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika maeneo mbalimbali ya Libya na hali mbaya inayotawala maeneo yanayodhibitiwa na kundi hilo.

  • UN: Kipindupindu kimeua zaidi ya watu 530 Somalia

    UN: Kipindupindu kimeua zaidi ya watu 530 Somalia

    Apr 13, 2017 23:26

    Umoja wa Mataifa na jumuiya za misaada ya kibinadamu zimeonya kwamba kipindupindu kinaenea kwa kasi katika maeneo yaliyoathirika na ukame nchini Somalia wakati nchi hiyo ikiendelea kunyemelewa na hatari kubwa ya baa la njaa.

  • Jumuiya za haki za binadamu: Mjumbe wa UN amefeli Yemen

    Jumuiya za haki za binadamu: Mjumbe wa UN amefeli Yemen

    Apr 13, 2017 23:02

    Jumuiya na mashirika ya kutetea haki za binadamu yametangaza katika mkutano uliofanyika Paris nchini Ufaransa kwamba Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen, Ismail Ould Sheikh ameshindwa kutekeleza majukumu yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS