Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Ushirikiano wa kiusalama kati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika

    Ushirikiano wa kiusalama kati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika

    Apr 20, 2017 09:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika wamesaini makubaliano ya kushirikiana katika suala la usalama.

  • UN yagundua makuburi mengine 17 ya umati nchini Kongo DR

    UN yagundua makuburi mengine 17 ya umati nchini Kongo DR

    Apr 19, 2017 10:55

    Timu ya wachunguzi ya Umoja wa Mataifa imegundua makaburi mengine 17 ya umati katika mkoa wa Kasai, katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wiki mbili baada ya makaburi mengine kugunduliwa katika eneo hilo.

  • Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake

    Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake

    Apr 18, 2017 21:59

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amekataa wito wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya wa kufanyika uchunguzi huru juu ya mauaji ya mamia ya watu wakati wa maandamano ya miezi kadhaa dhidi ya serikali ya Addis Ababa nchini humo.

  • Wahajiri 9000 waokolewa katika bahari ya Mediterania mwishoni mwa wiki

    Wahajiri 9000 waokolewa katika bahari ya Mediterania mwishoni mwa wiki

    Apr 18, 2017 11:05

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema idadi ya wakimbizi waliookolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya mwishoni mwa wiki imevunja rekodi.

  • Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuwa Daesh wanaweza kuidhibiti tena Libya

    Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuwa Daesh wanaweza kuidhibiti tena Libya

    Apr 15, 2017 00:17

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu hatari ya kupanuka zaidi udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika maeneo mbalimbali ya Libya na hali mbaya inayotawala maeneo yanayodhibitiwa na kundi hilo.

  • UN: Kipindupindu kimeua zaidi ya watu 530 Somalia

    UN: Kipindupindu kimeua zaidi ya watu 530 Somalia

    Apr 13, 2017 23:26

    Umoja wa Mataifa na jumuiya za misaada ya kibinadamu zimeonya kwamba kipindupindu kinaenea kwa kasi katika maeneo yaliyoathirika na ukame nchini Somalia wakati nchi hiyo ikiendelea kunyemelewa na hatari kubwa ya baa la njaa.

  • Jumuiya za haki za binadamu: Mjumbe wa UN amefeli Yemen

    Jumuiya za haki za binadamu: Mjumbe wa UN amefeli Yemen

    Apr 13, 2017 23:02

    Jumuiya na mashirika ya kutetea haki za binadamu yametangaza katika mkutano uliofanyika Paris nchini Ufaransa kwamba Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen, Ismail Ould Sheikh ameshindwa kutekeleza majukumu yake.

  • Udharura wa kutatuliwa haraka mgogoro wa wakimbizi wa Palestina

    Udharura wa kutatuliwa haraka mgogoro wa wakimbizi wa Palestina

    Apr 12, 2017 03:35

    Kamishna wa Wakala wa Umoja wa Mataifa wa Misaada na Kazi kwa Wakimbizi wa Palestina UNRWA umetaka mgogoro wa wakimbizi wa Palestina walioenea katika kona zote za dunia, utatuliwe haraka.

  • UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500

    UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500

    Apr 11, 2017 10:54

    Wakala wa wahamiaji wa Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kutokana kile kinachoonekana ni kurejea kwa biashara ya utumwa.

  • Wakimbizi wa Sudan Kusini: Askari 'wamewachinja raia kama wanyama'

    Wakimbizi wa Sudan Kusini: Askari 'wamewachinja raia kama wanyama'

    Apr 08, 2017 11:22

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema watu zaidi ya 6,000 wamekimbia makazi yao nchini Sudan Kusini na kukimbilia wilaya ya kaskazini mwa Uganda ya Lamwo kujisalimisha na mauaji ya raia yanayofanywa na askari wa serikali ya Juba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS