Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Udharura wa kutatuliwa haraka mgogoro wa wakimbizi wa Palestina

    Udharura wa kutatuliwa haraka mgogoro wa wakimbizi wa Palestina

    Apr 12, 2017 03:35

    Kamishna wa Wakala wa Umoja wa Mataifa wa Misaada na Kazi kwa Wakimbizi wa Palestina UNRWA umetaka mgogoro wa wakimbizi wa Palestina walioenea katika kona zote za dunia, utatuliwe haraka.

  • UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500

    UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500

    Apr 11, 2017 10:54

    Wakala wa wahamiaji wa Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kutokana kile kinachoonekana ni kurejea kwa biashara ya utumwa.

  • Wakimbizi wa Sudan Kusini: Askari 'wamewachinja raia kama wanyama'

    Wakimbizi wa Sudan Kusini: Askari 'wamewachinja raia kama wanyama'

    Apr 08, 2017 11:22

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema watu zaidi ya 6,000 wamekimbia makazi yao nchini Sudan Kusini na kukimbilia wilaya ya kaskazini mwa Uganda ya Lamwo kujisalimisha na mauaji ya raia yanayofanywa na askari wa serikali ya Juba.

  • UN yashangazwa na wito wa Trump wa kuwatesa na kuwanyanyasa washukiwa

    UN yashangazwa na wito wa Trump wa kuwatesa na kuwanyanyasa washukiwa

    Apr 07, 2017 02:54

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na wito wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka kurejeshwa sheria ya kuwatesa watuhumiwa wa jinai mbalimbali.

  • UN yatahadharisha kuhusu hatari za maharamia wa Somalia

    UN yatahadharisha kuhusu hatari za maharamia wa Somalia

    Apr 05, 2017 22:48

    Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kupambana na mihadarati na uhalifu ametahadharisha kuhusu hatari, vitisho na mashambulizi ya maharamia wa baharini nchini Somalia.

  • Makaburi mengine 13 ya umati yapatikana katikati ya DRC

    Makaburi mengine 13 ya umati yapatikana katikati ya DRC

    Apr 03, 2017 22:59

    Mkuu wa ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza habari ya kugunduliwa makaburi mengine mengi ya umati katikati ya nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa wapinga tena ujenzi wa vitongoji vya walowezi, Palestina

    Umoja wa Mataifa wapinga tena ujenzi wa vitongoji vya walowezi, Palestina

    Mar 31, 2017 23:37

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema taasisi hiyo ya kimataifa ina wasiwasi juu ya kuendelezwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa kizayuni katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.

  • Kamisheni ya Haki za Binadamu yaikosoa Jordan kwa kumkaribisha al Bashir

    Kamisheni ya Haki za Binadamu yaikosoa Jordan kwa kumkaribisha al Bashir

    Mar 31, 2017 23:17

    Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeikemea serikali ya Jordan kwa kumkaribisha nchini humo Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan anayesakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • ICC yatahadharisha kuhusu ukatili unaofanyika Congo DR

    ICC yatahadharisha kuhusu ukatili unaofanyika Congo DR

    Mar 31, 2017 22:52

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetahadharisha kuwa ukatili uliofanyika katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikiwa ni pamoja na mauaji ya wataalamu wawili wa Umoja wa Mataifa unaweza kutambuliwa kuwa ni jinai ya kivita.

  • UN: Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na malaria Burundi yapindukia 4000

    UN: Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na malaria Burundi yapindukia 4000

    Mar 29, 2017 22:42

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mripuko wa ugonjwa wa malaria nchini Burundi imeongezeka na kupindukia watu 4000, tangu mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS