-
Umoja wa Mataifa wawashutumu wanaoeneza uongo kuhusu Uislamu
Mar 29, 2017 09:48Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewashutumu watu wanaoeneza propaganda chafu dhidi ya Uislamu ambao wanajaribu kuihusisha dini hiyo na vitendo vya kigaidi.
-
Maafisa wawili wa UN waliotekwa nyara Kongo DR, wameuawa
Mar 29, 2017 09:41Imebainika kuwa, maafisa wawili wa Umoja wa Mataifa raia wa Marekani na Sweden waliotekwa nyara katika mkoa wa Kasai katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wiki mbili zilizopita wameuawa.
-
Katibu Mkuu wa UN asikitishwa na mauaji ya wataalamu wawili wa umoja huo nchini Kongo DR
Mar 29, 2017 02:18Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema amesikitishwa na mauaji ya wataalamu wawili wa umoja huo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Amnesty yataka kikosi cha MONUSCO Kongo DR kiongezewe majukumu
Mar 28, 2017 22:26Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kukiongezea majukumu Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (MONUSCO).
-
Ombi la UN kwa Iran, Russia, na Uturuki kuhusu Syria
Mar 26, 2017 03:43Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria kwa mara nyingine tena amezitaka Iran, Russia na Uturuki kufanya juhudi za kulinda usitishaji vita huko Syria.
-
Kikosi cha kijeshi cha UN kuingia Sudan Kusini
Mar 25, 2017 03:07Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa wanatazamiwa kuingia Sudan Kusini katika kipindi cha chini ya mwezi moja.
-
UN: Kubomoa turathi za kiutamaduni ni jinai ya kivita
Mar 25, 2017 02:06Baaraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Ijumaa lilipitisha azimio la kihistoria kulinda turathi za kiutamaduni duniani dhidi ya makundi ya kigaidi wakati wa vita.
-
UN yapasisha maazimio kuilaani Israel, kuiunga mkono Palestina
Mar 25, 2017 01:58Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limepasisha maazimio manne ya kuliunga mkono taifa la Palestina na kuulaani utawala ghasibu wa Israel.
-
Syria: Saudia, Uturuki na Qatar zina mkono katika mapigano yanayojiri mashariki mwa Damascus
Mar 24, 2017 00:03Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema Saudi Arabia, Uturuki na Qatar zinahusika katika kukoleza moto wa mapigano yanayoendelea katika viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo Damascus baina ya vikosi vya serikali na makundi ya kigaidi ya ukufurishaji yanayofadhiliwa na madola ya kigeni.
-
Kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni na kutojali kwake ripoti za Umoja wa Mataifa
Mar 22, 2017 11:58Katika hali ambayo jinai na sera za kujipanua za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina zinakabiliwa na malalamiko na upinzani wa walimwengu pamoja na jumuiya za kimataifa, utawala huo dhalimu umeamua kushadidisha mashambulio yake dhidi ya wananchi hao madhulumu.