Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Sherehe ya Nowruz yafanyika katika Umoja wa Mataifa

    Sherehe ya Nowruz yafanyika katika Umoja wa Mataifa

    Mar 22, 2017 03:22

    Sherehe ya kuadhimisha sikukuu ya Nowruz imefanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa umoja huo.

  • Saudia yaitaka UN isimamie bandari ya Yemen baada ya kuua kikatili Wasomali 44

    Saudia yaitaka UN isimamie bandari ya Yemen baada ya kuua kikatili Wasomali 44

    Mar 20, 2017 04:31

    Muungano vamizi wa kijeshi wa Saudi Arabia nchini Yemen umeutaka Umoja wa Mataifa uchukue udhibiti wa bandari ya Hudaydah baada ya helikopta ya Aal-Saud aina ya Apache kufanya shambulio la kikatili dhidi ya boti ya wakimbizi karibu na Lango Bahari la Bab al-Mandab, pwani ya Yemen na kuua makumi ya raia wa Somalia.

  • Ladsous: Hali ya usalama nchini Mali inatia wasiwasi

    Ladsous: Hali ya usalama nchini Mali inatia wasiwasi

    Mar 19, 2017 23:32

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Anayehusika na Oparesheni za Kudumisha Amani za huo amesema kuwa hali ya usalama nchini humo inatia wasiwasi.

  • PLO yaikosoa UN kwa kushinikiza kufutwa ripoti dhidi ya Israel

    PLO yaikosoa UN kwa kushinikiza kufutwa ripoti dhidi ya Israel

    Mar 19, 2017 03:58

    Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imekosoa vikali hatua ya Umoja wa Mataifa kuagiza kufutwa ripoti ya Kamati ya Kiuchumi na Kijamii ya Asia Magharibi katika Umoja wa Mataifa (ESCWA) kuhusu siasa za ubaguzi za Israel.

  • Guterres aamuru kufutwa ripoti ya Apartheid kuhusu Israel

    Guterres aamuru kufutwa ripoti ya Apartheid kuhusu Israel

    Mar 17, 2017 12:53

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameamuru kufutwa ripoti ya ESCWA kuhusu siasa za ubaguzi za utawala haramu wa Israel. Hatua hiyo ya Antonio Guterres imechukuliwa kutokana na mashinikizo ya waitifaki wa utawala huo ghasibu.

  • Hali ya kibinadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati yazidi kuwa mbaya

    Hali ya kibinadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati yazidi kuwa mbaya

    Mar 16, 2017 11:24

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa kuongezeka machafuko na mivutano huko Jamhuri ya Afrika ya Kati kumeifanya hali ya kibinadamu nchini humo kuwa mbaya tangu mwezi Septemba mwaka jana.

  • UN: S/Kusini, AU zakwamisha kubuniwa mahakama ya haki za binadamu

    UN: S/Kusini, AU zakwamisha kubuniwa mahakama ya haki za binadamu

    Mar 15, 2017 03:44

    Umoja wa Mataifa umeilaumu serikali ya Juba na Umoja wa Afrika (AU) kuwa zinakwamisha juhudi za kubuniwa mahakama ya kuwapandisha kizimbani wavunjaji wa haki za binadamu nchini Sudan Kusini.

  • Wanawake Yemen waandamana nje ya ofisi za UN kulaani jinai za Saudia

    Wanawake Yemen waandamana nje ya ofisi za UN kulaani jinai za Saudia

    Mar 15, 2017 03:29

    Wanawake wa Yemen wamefanya maandamano na kukita kambi nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Sana’a, kuutaka umoja huo usitishe jinai na uvamizi wa Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.

  • UN yataka kutumwa askari wengine wa kimataifa DRC

    UN yataka kutumwa askari wengine wa kimataifa DRC

    Mar 11, 2017 00:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo kutuma askari wengine 320 wa kofia buluu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • UN: Mgogoro wa kisiasa na hali ya kibinadamu Burundi vinatia wasi wasi

    UN: Mgogoro wa kisiasa na hali ya kibinadamu Burundi vinatia wasi wasi

    Mar 10, 2017 23:05

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu na mgogoro wa kisiasa nchini Burundi na kutadharisha kuwa mambo yanazidi kuwa mabaya katika nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS