Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Safari ya ujumbe wa Baraza la Usalama Barani Afrika

    Safari ya ujumbe wa Baraza la Usalama Barani Afrika

    Mar 06, 2017 10:27

    Wanachama 15 wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameanza safari ya kuzitembelea nchi nne za eneo la Ziwa Chad. Safari hiyo inafanyika huku eneo hilo likisumbuliwa na changamoto kubwa ya ugaidi na tatizo la wimbi kubwa la wakimbizi.

  • UN: Mazungumzo juu ya Syria huko Geneva, yametoa ajenda iliyo wazi

    UN: Mazungumzo juu ya Syria huko Geneva, yametoa ajenda iliyo wazi

    Mar 04, 2017 03:56

    Umoja wa Mataifa umepongeza duru ya hivi punde ya mazungumzo ya amani ya Syria iliyomalizika jana Ijumaa mjini Geneva nchini Uswisi.

  • UN: Tutashirikiana na Gambia kuwashughulikia waliotenda jinai enzi za utawala wa Jammeh

    UN: Tutashirikiana na Gambia kuwashughulikia waliotenda jinai enzi za utawala wa Jammeh

    Mar 02, 2017 04:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, uko tayari kushirikiana na serikali mpya ya Gambia katika masuala ya kimahakama na haki za binadamu.

  • Mjumbe wa UN ataka kuundwe kamati ya kimataifa kwa ajili ya mgogoro wa Yemen

    Mjumbe wa UN ataka kuundwe kamati ya kimataifa kwa ajili ya mgogoro wa Yemen

    Feb 28, 2017 12:38

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen ametoa wito wa kuundwa kamati ya kimataifa kwa ajili ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa nchi hiyo.

  • UN yaitaka Myanmar ikomeshe jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    UN yaitaka Myanmar ikomeshe jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Feb 28, 2017 01:02

    Umoja wa Mataifa umesema ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa Myanmar umefikia kiwango cha kutia wasi wasi na ni mkubwa zaidi ya ilivyodhaniwa.

  • Sisitizo la kuundwa kamati maalumu ya kusimamia makubaliano ya Kongo

    Sisitizo la kuundwa kamati maalumu ya kusimamia makubaliano ya Kongo

    Feb 27, 2017 10:39

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesisitiza kuwa kuna udharura wa kuundwa kamati maalumu ya kusimamia makubaliano yaliyofikiwa hivi karibuni huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kati ya serikali na vyama vya upinzani.

  • WHO yaeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro wa afya nchini Yemen

    WHO yaeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro wa afya nchini Yemen

    Feb 24, 2017 00:17

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uhaba mkubwa wa dawa, nishati na wahudumu wa masuala ya afya nchini Yemen.

  • UN: Licha ya kupatikana amani  ya kiwango fulani Darfur, bado Sudan inakabiliwa na hali mbaya

    UN: Licha ya kupatikana amani ya kiwango fulani Darfur, bado Sudan inakabiliwa na hali mbaya

    Feb 23, 2017 10:52

    Umoja wa Mataifa umetoa ripoti ukisema kuwa, licha ya kufikiwa usalama wa kiwango fulani huko katika eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan, lakini bado kuna mapigano ya mara kwa mara nchini humo.

  • UN: Kesi ya mtoto wa rais wa zamani wa Libya ipelekwe ICC

    UN: Kesi ya mtoto wa rais wa zamani wa Libya ipelekwe ICC

    Feb 22, 2017 00:37

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kupelekwa faili la kesi ya Saif al-Islam Gaddafi, mwana wa Kanali Muammar Gaddafi, kiongozi wa zamani wa Libya katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Wayemen waandamana kwa mara ya 61 mbele ya ofisi ya UN kuilaani Saudia na UN

    Wayemen waandamana kwa mara ya 61 mbele ya ofisi ya UN kuilaani Saudia na UN

    Feb 21, 2017 10:53

    Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano makubwa kwa mara ya 61 ndani ya kipindi cha miaka miwili mbele ya ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Sana'a, mji mkuu wa nchi hiyo wakilaani kimya cha umoja huo mbele ya jinai za Saudia na waitifaki wake dhidi ya nchi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS