-
Safari ya ujumbe wa Baraza la Usalama Barani Afrika
Mar 06, 2017 10:27Wanachama 15 wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameanza safari ya kuzitembelea nchi nne za eneo la Ziwa Chad. Safari hiyo inafanyika huku eneo hilo likisumbuliwa na changamoto kubwa ya ugaidi na tatizo la wimbi kubwa la wakimbizi.
-
UN: Mazungumzo juu ya Syria huko Geneva, yametoa ajenda iliyo wazi
Mar 04, 2017 03:56Umoja wa Mataifa umepongeza duru ya hivi punde ya mazungumzo ya amani ya Syria iliyomalizika jana Ijumaa mjini Geneva nchini Uswisi.
-
UN: Tutashirikiana na Gambia kuwashughulikia waliotenda jinai enzi za utawala wa Jammeh
Mar 02, 2017 04:22Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, uko tayari kushirikiana na serikali mpya ya Gambia katika masuala ya kimahakama na haki za binadamu.
-
Mjumbe wa UN ataka kuundwe kamati ya kimataifa kwa ajili ya mgogoro wa Yemen
Feb 28, 2017 12:38Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen ametoa wito wa kuundwa kamati ya kimataifa kwa ajili ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa nchi hiyo.
-
UN yaitaka Myanmar ikomeshe jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Feb 28, 2017 01:02Umoja wa Mataifa umesema ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa Myanmar umefikia kiwango cha kutia wasi wasi na ni mkubwa zaidi ya ilivyodhaniwa.
-
Sisitizo la kuundwa kamati maalumu ya kusimamia makubaliano ya Kongo
Feb 27, 2017 10:39Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesisitiza kuwa kuna udharura wa kuundwa kamati maalumu ya kusimamia makubaliano yaliyofikiwa hivi karibuni huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kati ya serikali na vyama vya upinzani.
-
WHO yaeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro wa afya nchini Yemen
Feb 24, 2017 00:17Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uhaba mkubwa wa dawa, nishati na wahudumu wa masuala ya afya nchini Yemen.
-
UN: Licha ya kupatikana amani ya kiwango fulani Darfur, bado Sudan inakabiliwa na hali mbaya
Feb 23, 2017 10:52Umoja wa Mataifa umetoa ripoti ukisema kuwa, licha ya kufikiwa usalama wa kiwango fulani huko katika eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan, lakini bado kuna mapigano ya mara kwa mara nchini humo.
-
UN: Kesi ya mtoto wa rais wa zamani wa Libya ipelekwe ICC
Feb 22, 2017 00:37Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kupelekwa faili la kesi ya Saif al-Islam Gaddafi, mwana wa Kanali Muammar Gaddafi, kiongozi wa zamani wa Libya katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.
-
Wayemen waandamana kwa mara ya 61 mbele ya ofisi ya UN kuilaani Saudia na UN
Feb 21, 2017 10:53Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano makubwa kwa mara ya 61 ndani ya kipindi cha miaka miwili mbele ya ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Sana'a, mji mkuu wa nchi hiyo wakilaani kimya cha umoja huo mbele ya jinai za Saudia na waitifaki wake dhidi ya nchi yao.