Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Zarif na Guterres wajadili hali ya Waislamu Warohingya nchini Myanmar

    Zarif na Guterres wajadili hali ya Waislamu Warohingya nchini Myanmar

    Feb 18, 2017 23:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wamejadili na kubadilishana mawazo kuhusu hali mbaya waliyonayo Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar, hali ya mambo katika nchi za Yemen, Syria na Iraq na nafasi ya Umoja wa Mataifa katika kutatua migogoro hiyo.

  • Katibu Mkuu wa UN: Bila ya njia jumuishi za kisiasa haitowezekana kuishinda Daesh

    Katibu Mkuu wa UN: Bila ya njia jumuishi za kisiasa haitowezekana kuishinda Daesh

    Feb 18, 2017 12:49

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesisitiza kuwa haitowezekana kulishinda kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi za Syria na Iraq pasina kuwa na njia ya ufumbuzi wa kisiasa jumuishi na wa pande zote.

  • UN yasisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina

    UN yasisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina

    Feb 16, 2017 12:25

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Sudan Kusini

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Sudan Kusini

    Feb 14, 2017 09:39

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu machafuko na mapigano yanayoshadidi zaidi nchini Sudan Kusini.

  • Umoja wa Mataifa wampongeza Rais mpya wa Somalia

    Umoja wa Mataifa wampongeza Rais mpya wa Somalia

    Feb 10, 2017 04:44

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amempongeza Rais mpya wa Somalia na kumtaka aunde baraza la mawaziri jumuishi.

  • UN na AU zamuunga mkono rais mpya wa Somalia

    UN na AU zamuunga mkono rais mpya wa Somalia

    Feb 10, 2017 00:57

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimetangaza uungaji mkono wao kwa rais mpya wa Somalia.

  • UN yatahadharisha juu ya hali mbaya ya kibinaadamu katika mkoa wa Tanganyika Kongo DR

    UN yatahadharisha juu ya hali mbaya ya kibinaadamu katika mkoa wa Tanganyika Kongo DR

    Feb 09, 2017 13:08

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha juu ya hali mbaya ya kibinaadamu katika mkoa wa Tanganyika, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN: Zaidi ya Waislamu 1000 wameuawa katika operesheni za jeshi la Myanmar

    UN: Zaidi ya Waislamu 1000 wameuawa katika operesheni za jeshi la Myanmar

    Feb 09, 2017 12:40

    Maafisa wawili wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa wamesema kuwa, zaidi ya Waislamu 1000 wa kabila la Rohingya wameuawa katika operesheni za jeshi la Myanmar kaskazini mwa nchi hiyo.

  • UN: Wakimbizi 52,000 wa Sudan Kusini wameingia Uganda mwezi jana

    UN: Wakimbizi 52,000 wa Sudan Kusini wameingia Uganda mwezi jana

    Feb 09, 2017 03:56

    Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi 52,000 raia wa Sudan Kusini waliingia nchini Uganda mwezi uliopita pekee wa Januari, kutokana na kuendelea kushuhudiwa mauaji na machafuko katika nchi yao.

  • Umoja wa Mataifa: Watetezi wa haki za binadamu wanakandamizwa nchini Burundi

    Umoja wa Mataifa: Watetezi wa haki za binadamu wanakandamizwa nchini Burundi

    Feb 09, 2017 00:58

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na vitendo vya ukandamizaji dhidi ya watetezi wa haki za binadamu huko nchini Burundi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS