Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Njaa yawanyemelea maelfu Nigeria kutokana na ugaidi wa Boko Haram

    Njaa yawanyemelea maelfu Nigeria kutokana na ugaidi wa Boko Haram

    Feb 09, 2017 00:36

    Maelfu ya watu wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa nchini Nigeria kutokana na mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • UN: Israel imevuka mstari mwekundu kwa kuidhinisha ujenzi haramu

    UN: Israel imevuka mstari mwekundu kwa kuidhinisha ujenzi haramu

    Feb 08, 2017 00:04

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa Israel imekanyaga mstari mwekundu kwa kupasisha sheria ya kuhalalisha ujenzi mpya wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo wa Kizayuni.

  •   UN hali ya jela nchini Tunisia inatia wasiwasi

    UN hali ya jela nchini Tunisia inatia wasiwasi

    Feb 04, 2017 12:52

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hali ya jela za Tunisia inatia wasiwasi.

  • UN: Vikosi vya usalama vya Myanmar vimekiuka pakubwa haki za Waislamu wa Rohingya

    UN: Vikosi vya usalama vya Myanmar vimekiuka pakubwa haki za Waislamu wa Rohingya

    Feb 04, 2017 12:41

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, vikosi vya usalama vya Myanmar vimefanya ukiukaji mkubwa wa haki dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ukame unaoikabili Somalia

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ukame unaoikabili Somalia

    Feb 03, 2017 00:39

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa nchi ya Somalia inakabiliwa na ukame na hivyo kuiongezea matatizo nchi hiyo ya Pembe ya Afrika inayokabiliwa pia na tatizo la njaa na ukosefu wa amani na usalama.

  • UN, EU, Vatican zakasirishwa na sheria ya ubaguzi ya Trump

    UN, EU, Vatican zakasirishwa na sheria ya ubaguzi ya Trump

    Feb 02, 2017 04:02

    Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Vatican zimelaani sheria tata ya ubaguzi ya Rais Donald Trump wa Marekani, ya kuzuia wakimbizi na raia wa nchi saba za Kiislamu kuingia nchini humo.

  • Wafanyakazi 5 wa UN wauawa mpakani mwa Cameroon-Nigeria

    Wafanyakazi 5 wa UN wauawa mpakani mwa Cameroon-Nigeria

    Feb 02, 2017 02:27

    Wafanyakazi watano wa Umoja wa Mataifa wameuawa katika mazingira ya kutatanisha na watu wasiojulikana katika mpaka wa Cameroon na Nigeria.

  • UN: Saudi Arabia imetenda jinai kubwa za kivita nchini Yemen

    UN: Saudi Arabia imetenda jinai kubwa za kivita nchini Yemen

    Jan 31, 2017 00:40

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, Saudi Arabia imefanya jinai za kivita katika mashambulizi yake ya kijeshi nchini Yemen.

  • Umoja wa Mataifa: Hatua ya Trump inakiuka sheria za kimataifa

    Umoja wa Mataifa: Hatua ya Trump inakiuka sheria za kimataifa

    Jan 31, 2017 00:39

    Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa, amri iliyotiwa saini na Rais Donald Trump wa Marekani ya kuzuia raia wa nchi saba za Kiislamu kuingia nchini Marekani ni kinyume cha sheria za kimataifa.

  • Guterres: Nipo tayari kufanya juhudi za kurejesha amani Afrika

    Guterres: Nipo tayari kufanya juhudi za kurejesha amani Afrika

    Jan 30, 2017 11:44

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, upo tayari kufanya juhudi za kurejesha amani katika nchi za Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS