-
UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Sudan Kusini
Feb 14, 2017 09:39Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu machafuko na mapigano yanayoshadidi zaidi nchini Sudan Kusini.
-
Umoja wa Mataifa wampongeza Rais mpya wa Somalia
Feb 10, 2017 04:44Antonio Guterres, Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amempongeza Rais mpya wa Somalia na kumtaka aunde baraza la mawaziri jumuishi.
-
UN na AU zamuunga mkono rais mpya wa Somalia
Feb 10, 2017 00:57Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimetangaza uungaji mkono wao kwa rais mpya wa Somalia.
-
UN yatahadharisha juu ya hali mbaya ya kibinaadamu katika mkoa wa Tanganyika Kongo DR
Feb 09, 2017 13:08Umoja wa Mataifa umetahadharisha juu ya hali mbaya ya kibinaadamu katika mkoa wa Tanganyika, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
UN: Zaidi ya Waislamu 1000 wameuawa katika operesheni za jeshi la Myanmar
Feb 09, 2017 12:40Maafisa wawili wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa wamesema kuwa, zaidi ya Waislamu 1000 wa kabila la Rohingya wameuawa katika operesheni za jeshi la Myanmar kaskazini mwa nchi hiyo.
-
UN: Wakimbizi 52,000 wa Sudan Kusini wameingia Uganda mwezi jana
Feb 09, 2017 03:56Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi 52,000 raia wa Sudan Kusini waliingia nchini Uganda mwezi uliopita pekee wa Januari, kutokana na kuendelea kushuhudiwa mauaji na machafuko katika nchi yao.
-
Umoja wa Mataifa: Watetezi wa haki za binadamu wanakandamizwa nchini Burundi
Feb 09, 2017 00:58Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na vitendo vya ukandamizaji dhidi ya watetezi wa haki za binadamu huko nchini Burundi.
-
Njaa yawanyemelea maelfu Nigeria kutokana na ugaidi wa Boko Haram
Feb 09, 2017 00:36Maelfu ya watu wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa nchini Nigeria kutokana na mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
UN: Israel imevuka mstari mwekundu kwa kuidhinisha ujenzi haramu
Feb 08, 2017 00:04Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa Israel imekanyaga mstari mwekundu kwa kupasisha sheria ya kuhalalisha ujenzi mpya wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo wa Kizayuni.
-
UN hali ya jela nchini Tunisia inatia wasiwasi
Feb 04, 2017 12:52Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hali ya jela za Tunisia inatia wasiwasi.