Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Watu milioni 5.6 wanakabiliwa na njaa Ethiopia

    UN: Watu milioni 5.6 wanakabiliwa na njaa Ethiopia

    Jan 29, 2017 10:18

    Umoja wa Mataifa umesema mamilioni ya watu wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na athari za kiangazi na ukame nchini Ethiopia.

  • Guterres: Mitazamo inayowabagua Waislamu inahuzunisha sana

    Guterres: Mitazamo inayowabagua Waislamu inahuzunisha sana

    Jan 28, 2017 04:15

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema jumuiya hiyo ya kimataifa ina wasiwasi mkubwa kuhusu ubaguzi unaowalenga wahajiri na jamii za waliowachache.

  • Mjumbe wa UN awasili Gambia baada ya Rais Barrow kurejea nchini

    Mjumbe wa UN awasili Gambia baada ya Rais Barrow kurejea nchini

    Jan 27, 2017 01:09

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Gambia amewasili katika nchi hiyo ya Kiafrika kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa serikali mpya ya Banjul.

  • Umoja wa Mataifa: Vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu DRC vimeongezeka

    Umoja wa Mataifa: Vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu DRC vimeongezeka

    Jan 26, 2017 10:18

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu vimeongezeka mno katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • UN kuchunguza uvunjaji sheria wa maafisa wake Darfur Sudan

    UN kuchunguza uvunjaji sheria wa maafisa wake Darfur Sudan

    Jan 21, 2017 10:18

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unafanya uchunguzi kuhusu madai kwamba maafisa wake wa kulinda amani katika eneo la Darfur la magharibi mwa Sudan, wamehamisha silaha kinyume cha sheria.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na ukame nchini Somalia

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na ukame nchini Somalia

    Jan 18, 2017 13:09

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na kuongezeka matatizo ya Somalia kutokana na ukame unaoikabili nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini

    Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini

    Jan 18, 2017 04:41

    Ziara ya siku tatu iliyofanywa huko Myanmar na Yanghee Lee Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuchunguza hali ya Waislamu katika jimbo la Rakhine nchini humo imewapa matumaini Waislamu kuwa huenda hali yao ikaboreka.

  • Guterres ataka kuwekewa vikwazo wanaokiuka makubaliano ya amani Mali

    Guterres ataka kuwekewa vikwazo wanaokiuka makubaliano ya amani Mali

    Jan 17, 2017 04:22

    Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo kuwawekea vikwazo wahusika wakuu wa ukiukaji makubaliano ya amani nchini Mali.

  • UN: Wayemen milioni 19 wanahitaji misaada ya dharura

    UN: Wayemen milioni 19 wanahitaji misaada ya dharura

    Jan 16, 2017 00:21

    Umoja wa Mataifa umesema takriban watu milioni 19 wanahitajia misaada ya dharura ya kibinadamu nchini Yemen.

  • Umoja wa Mataifa walaani hatua ya Bahrain kuwanyonga wanaharakati

    Umoja wa Mataifa walaani hatua ya Bahrain kuwanyonga wanaharakati

    Jan 15, 2017 10:57

    Umoja wa Mataifa umelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain ya kuwanyonga wanaharakati watatu kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la kigaidi la mwaka 2014.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS