-
UN: Watu milioni 5.6 wanakabiliwa na njaa Ethiopia
Jan 29, 2017 10:18Umoja wa Mataifa umesema mamilioni ya watu wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na athari za kiangazi na ukame nchini Ethiopia.
-
Guterres: Mitazamo inayowabagua Waislamu inahuzunisha sana
Jan 28, 2017 04:15Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema jumuiya hiyo ya kimataifa ina wasiwasi mkubwa kuhusu ubaguzi unaowalenga wahajiri na jamii za waliowachache.
-
Mjumbe wa UN awasili Gambia baada ya Rais Barrow kurejea nchini
Jan 27, 2017 01:09Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Gambia amewasili katika nchi hiyo ya Kiafrika kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa serikali mpya ya Banjul.
-
Umoja wa Mataifa: Vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu DRC vimeongezeka
Jan 26, 2017 10:18Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu vimeongezeka mno katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
UN kuchunguza uvunjaji sheria wa maafisa wake Darfur Sudan
Jan 21, 2017 10:18Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unafanya uchunguzi kuhusu madai kwamba maafisa wake wa kulinda amani katika eneo la Darfur la magharibi mwa Sudan, wamehamisha silaha kinyume cha sheria.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na ukame nchini Somalia
Jan 18, 2017 13:09Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na kuongezeka matatizo ya Somalia kutokana na ukame unaoikabili nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini
Jan 18, 2017 04:41Ziara ya siku tatu iliyofanywa huko Myanmar na Yanghee Lee Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuchunguza hali ya Waislamu katika jimbo la Rakhine nchini humo imewapa matumaini Waislamu kuwa huenda hali yao ikaboreka.
-
Guterres ataka kuwekewa vikwazo wanaokiuka makubaliano ya amani Mali
Jan 17, 2017 04:22Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo kuwawekea vikwazo wahusika wakuu wa ukiukaji makubaliano ya amani nchini Mali.
-
UN: Wayemen milioni 19 wanahitaji misaada ya dharura
Jan 16, 2017 00:21Umoja wa Mataifa umesema takriban watu milioni 19 wanahitajia misaada ya dharura ya kibinadamu nchini Yemen.
-
Umoja wa Mataifa walaani hatua ya Bahrain kuwanyonga wanaharakati
Jan 15, 2017 10:57Umoja wa Mataifa umelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain ya kuwanyonga wanaharakati watatu kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la kigaidi la mwaka 2014.