Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Umoja wa Mataifa: Vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu DRC vimeongezeka

    Umoja wa Mataifa: Vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu DRC vimeongezeka

    Jan 26, 2017 10:18

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu vimeongezeka mno katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • UN kuchunguza uvunjaji sheria wa maafisa wake Darfur Sudan

    UN kuchunguza uvunjaji sheria wa maafisa wake Darfur Sudan

    Jan 21, 2017 10:18

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unafanya uchunguzi kuhusu madai kwamba maafisa wake wa kulinda amani katika eneo la Darfur la magharibi mwa Sudan, wamehamisha silaha kinyume cha sheria.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na ukame nchini Somalia

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na ukame nchini Somalia

    Jan 18, 2017 13:09

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na kuongezeka matatizo ya Somalia kutokana na ukame unaoikabili nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini

    Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini

    Jan 18, 2017 04:41

    Ziara ya siku tatu iliyofanywa huko Myanmar na Yanghee Lee Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuchunguza hali ya Waislamu katika jimbo la Rakhine nchini humo imewapa matumaini Waislamu kuwa huenda hali yao ikaboreka.

  • Guterres ataka kuwekewa vikwazo wanaokiuka makubaliano ya amani Mali

    Guterres ataka kuwekewa vikwazo wanaokiuka makubaliano ya amani Mali

    Jan 17, 2017 04:22

    Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo kuwawekea vikwazo wahusika wakuu wa ukiukaji makubaliano ya amani nchini Mali.

  • UN: Wayemen milioni 19 wanahitaji misaada ya dharura

    UN: Wayemen milioni 19 wanahitaji misaada ya dharura

    Jan 16, 2017 00:21

    Umoja wa Mataifa umesema takriban watu milioni 19 wanahitajia misaada ya dharura ya kibinadamu nchini Yemen.

  • Umoja wa Mataifa walaani hatua ya Bahrain kuwanyonga wanaharakati

    Umoja wa Mataifa walaani hatua ya Bahrain kuwanyonga wanaharakati

    Jan 15, 2017 10:57

    Umoja wa Mataifa umelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain ya kuwanyonga wanaharakati watatu kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la kigaidi la mwaka 2014.

  • Korea Kaskazini yaitaka UN kuunda tume ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa dhidi yake

    Korea Kaskazini yaitaka UN kuunda tume ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa dhidi yake

    Jan 12, 2017 11:07

    Korea Kaskazini imetoa pendekezo kwa Umoja wa Mataifa la kuundwa tume ya kimataifa itakayowajumuisha wataalamu wa sheria kwa ajili ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa na Baraza la Usalama katika kuhalalisha vikwazo dhidi yake kwa tuhuma za kumiliki silaha za nyuklia au makombora ya balestiki.

  • UN yasisitiza kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Libya mwaka huu

    UN yasisitiza kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Libya mwaka huu

    Jan 08, 2017 09:39

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, mwaka huu wa 2017 unapaswa kuwa mwaka wa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Libya na kurejesha amani nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa kuchunguza mauaji na jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar

    Umoja wa Mataifa kuchunguza mauaji na jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar

    Jan 06, 2017 11:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, utafanya uchunguzi kuhusiana na ukandamizaji na mauaji yanayoripotiwa kufanywa dhidi ya jamii ya walio wachache ya Waislamu wa Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS