Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Korea Kaskazini yaitaka UN kuunda tume ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa dhidi yake

    Korea Kaskazini yaitaka UN kuunda tume ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa dhidi yake

    Jan 12, 2017 11:07

    Korea Kaskazini imetoa pendekezo kwa Umoja wa Mataifa la kuundwa tume ya kimataifa itakayowajumuisha wataalamu wa sheria kwa ajili ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa na Baraza la Usalama katika kuhalalisha vikwazo dhidi yake kwa tuhuma za kumiliki silaha za nyuklia au makombora ya balestiki.

  • UN yasisitiza kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Libya mwaka huu

    UN yasisitiza kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Libya mwaka huu

    Jan 08, 2017 09:39

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, mwaka huu wa 2017 unapaswa kuwa mwaka wa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Libya na kurejesha amani nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa kuchunguza mauaji na jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar

    Umoja wa Mataifa kuchunguza mauaji na jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar

    Jan 06, 2017 11:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, utafanya uchunguzi kuhusiana na ukandamizaji na mauaji yanayoripotiwa kufanywa dhidi ya jamii ya walio wachache ya Waislamu wa Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar.

  • UN yataka kutekelezwa makubaliano ya kukabidhi madaraka Kongo DR

    UN yataka kutekelezwa makubaliano ya kukabidhi madaraka Kongo DR

    Jan 05, 2017 04:26

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetaka kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya kukabidhi madaraka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mwakilishi wa Iran UN: Mandela ni nembo ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi

    Mwakilishi wa Iran UN: Mandela ni nembo ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi

    Jan 05, 2017 04:10

    Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemtaja hayati mzee Nelson Mandela kuwa nembo ya mapambano dhidi ya ukandamizaji na ubaguzi wa rangi.

  • UN: Ghasia na ugaidi vimeua raia karibu 7000 Iraq, 2016

    UN: Ghasia na ugaidi vimeua raia karibu 7000 Iraq, 2016

    Jan 04, 2017 00:26

    Umoja wa Mataifa umesema takriban raia elfu 7 wameuawa katika mapigano na mashambulizi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS mwaka uliomalizika wa 2016 nchini Iraq.

  • Mtazamo wa Katibu Mkuu mpya wa UN kuhusu masuala mbalimbali ya ulimwengu

    Mtazamo wa Katibu Mkuu mpya wa UN kuhusu masuala mbalimbali ya ulimwengu

    Jan 03, 2017 02:53

    Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amebainisha mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali yanayouhusu ulimwengu na kueleza kuwa, raia wa nchi za Magharibi khususan Wamarekani wamechoshwa na hali ya sasa katika nchi zao na wanataka kuona matukio mengine tofauti yakijiri duniani.

  • UN ina wasiwasi kuhusu athari za El-Nino kaskazini na mashariki mwa Afrika

    UN ina wasiwasi kuhusu athari za El-Nino kaskazini na mashariki mwa Afrika

    Jan 01, 2017 13:06

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi kuhusu maafa yanayosababishwa na tatizo la mabadiliko ya tabia nchi ya El-Nino katika maeneo ya kaskazini na mashariki mwa Afrika.

  • Naibu Katibu Mkuu wa UN ahimiza umoja na mshikamano wa walimwengu

    Naibu Katibu Mkuu wa UN ahimiza umoja na mshikamano wa walimwengu

    Dec 31, 2016 00:19

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa nchi zote duniani kuimarisha umoja na mshikamano na kujiepusha na hitilafu na mifarakano.

  • UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka  mno

    UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka mno

    Dec 30, 2016 01:00

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mwaka huu unaomalizika wa 2016 umeshuhudia ongezeko la vitendo vya uvunjaji na ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS