-
UN yataka kutekelezwa makubaliano ya kukabidhi madaraka Kongo DR
Jan 05, 2017 04:26Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetaka kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya kukabidhi madaraka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Mwakilishi wa Iran UN: Mandela ni nembo ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi
Jan 05, 2017 04:10Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemtaja hayati mzee Nelson Mandela kuwa nembo ya mapambano dhidi ya ukandamizaji na ubaguzi wa rangi.
-
UN: Ghasia na ugaidi vimeua raia karibu 7000 Iraq, 2016
Jan 04, 2017 00:26Umoja wa Mataifa umesema takriban raia elfu 7 wameuawa katika mapigano na mashambulizi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS mwaka uliomalizika wa 2016 nchini Iraq.
-
Mtazamo wa Katibu Mkuu mpya wa UN kuhusu masuala mbalimbali ya ulimwengu
Jan 03, 2017 02:53Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amebainisha mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali yanayouhusu ulimwengu na kueleza kuwa, raia wa nchi za Magharibi khususan Wamarekani wamechoshwa na hali ya sasa katika nchi zao na wanataka kuona matukio mengine tofauti yakijiri duniani.
-
UN ina wasiwasi kuhusu athari za El-Nino kaskazini na mashariki mwa Afrika
Jan 01, 2017 13:06Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi kuhusu maafa yanayosababishwa na tatizo la mabadiliko ya tabia nchi ya El-Nino katika maeneo ya kaskazini na mashariki mwa Afrika.
-
Naibu Katibu Mkuu wa UN ahimiza umoja na mshikamano wa walimwengu
Dec 31, 2016 00:19Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa nchi zote duniani kuimarisha umoja na mshikamano na kujiepusha na hitilafu na mifarakano.
-
UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka mno
Dec 30, 2016 01:00Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mwaka huu unaomalizika wa 2016 umeshuhudia ongezeko la vitendo vya uvunjaji na ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Guterres: Mgogoro wa Syria ni saratani ya kimataifa
Dec 29, 2016 03:41Katibu Mkuu mteule wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mgogoro wa Syria umegeuka na kuwa 'saratani ya kimataifa.'
-
Malalamiko ya wananchi wa Yemen kwa Umoja wa Mataifa
Dec 27, 2016 03:17Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen imeulaumu na kuulalamikia vikali Umoja wa Mataifa na kuutaka utekeleze majukumu yake ya kukabiliana na jinai za ukoo wa Aal Saud nchini humo.
-
UN yataka Nabil Rajab aachiwe huru haraka na bila ya masharti
Dec 24, 2016 12:10Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Aal Khalifa umwachie huru haraka na bila ya masharti yoyote Nabil Rajab, mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Bahrain anayeshikiliwa kwenye jela ya utawala huo.