Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Guterres: Mgogoro wa Syria ni saratani ya kimataifa

    Guterres: Mgogoro wa Syria ni saratani ya kimataifa

    Dec 29, 2016 03:41

    Katibu Mkuu mteule wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mgogoro wa Syria umegeuka na kuwa 'saratani ya kimataifa.'

  • Malalamiko ya wananchi wa Yemen kwa Umoja wa Mataifa

    Malalamiko ya wananchi wa Yemen kwa Umoja wa Mataifa

    Dec 27, 2016 03:17

    Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen imeulaumu na kuulalamikia vikali Umoja wa Mataifa na kuutaka utekeleze majukumu yake ya kukabiliana na jinai za ukoo wa Aal Saud nchini humo.

  • UN yataka Nabil Rajab aachiwe huru haraka na bila ya masharti

    UN yataka Nabil Rajab aachiwe huru haraka na bila ya masharti

    Dec 24, 2016 12:10

    Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Aal Khalifa umwachie huru haraka na bila ya masharti yoyote Nabil Rajab, mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Bahrain anayeshikiliwa kwenye jela ya utawala huo.

  • Umoja wa Mataifa wakataa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa wakataa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini

    Dec 23, 2016 23:39

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepinga wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini, ambayo inashuhudia mapigano kwa mwaka wa nne sasa.

  • Umoja wa Mataifa wamtaka Jammeh akabidhi madaraka Gambia

    Umoja wa Mataifa wamtaka Jammeh akabidhi madaraka Gambia

    Dec 23, 2016 04:07

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtaka Rais wa Gambia amkabidhi madaraka kwa amani Rais mteule wa nchi hiyo.

  • Kushadidi jinai za Saudia nchini Yemen, natija ya uzembe wa jamii ya kimataifa

    Kushadidi jinai za Saudia nchini Yemen, natija ya uzembe wa jamii ya kimataifa

    Dec 22, 2016 23:12

    Umoja wa Mataifa umetangaza wasi wasi wake kuhusu ripoti kuwa Saudi Arabia inatumia mabomu ya vishada katika vita vyake dhidi ya nchi jirani ya Yemen.

  • Trump ataka azimio la UN dhidi ya Israel lipigiwe kura ya veto

    Trump ataka azimio la UN dhidi ya Israel lipigiwe kura ya veto

    Dec 22, 2016 11:47

    Rais mteule wa Marekani ametaka kupigiwa kura ya turufu azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • FAO: Watu milioni 12 Afrika Mashariki wanahitajia msaada wa chakula

    FAO: Watu milioni 12 Afrika Mashariki wanahitajia msaada wa chakula

    Dec 21, 2016 23:35

    Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limetahadharisha kuwa, watu milioni 12 katika kanda ya Afrika Mashariki wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa.

  • Iran yalaani azimio la Canada dhidi yake katika Umoja wa Mataifa

    Iran yalaani azimio la Canada dhidi yake katika Umoja wa Mataifa

    Dec 21, 2016 00:21

    Iran imelaani azimio lililopitishwa dhidi yake katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu.

  • Onyo la Ban kuhusu uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Onyo la Ban kuhusu uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Dec 20, 2016 11:15

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeondoka Ban Ki-Moon ameonya kuhusu uwezekano wa kuibuka mauaji ya kimbari Sudan Kusini iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS