-
Guterres: Mgogoro wa Syria ni saratani ya kimataifa
Dec 29, 2016 03:41Katibu Mkuu mteule wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mgogoro wa Syria umegeuka na kuwa 'saratani ya kimataifa.'
-
Malalamiko ya wananchi wa Yemen kwa Umoja wa Mataifa
Dec 27, 2016 03:17Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen imeulaumu na kuulalamikia vikali Umoja wa Mataifa na kuutaka utekeleze majukumu yake ya kukabiliana na jinai za ukoo wa Aal Saud nchini humo.
-
UN yataka Nabil Rajab aachiwe huru haraka na bila ya masharti
Dec 24, 2016 12:10Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Aal Khalifa umwachie huru haraka na bila ya masharti yoyote Nabil Rajab, mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Bahrain anayeshikiliwa kwenye jela ya utawala huo.
-
Umoja wa Mataifa wakataa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini
Dec 23, 2016 23:39Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepinga wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini, ambayo inashuhudia mapigano kwa mwaka wa nne sasa.
-
Umoja wa Mataifa wamtaka Jammeh akabidhi madaraka Gambia
Dec 23, 2016 04:07Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtaka Rais wa Gambia amkabidhi madaraka kwa amani Rais mteule wa nchi hiyo.
-
Kushadidi jinai za Saudia nchini Yemen, natija ya uzembe wa jamii ya kimataifa
Dec 22, 2016 23:12Umoja wa Mataifa umetangaza wasi wasi wake kuhusu ripoti kuwa Saudi Arabia inatumia mabomu ya vishada katika vita vyake dhidi ya nchi jirani ya Yemen.
-
Trump ataka azimio la UN dhidi ya Israel lipigiwe kura ya veto
Dec 22, 2016 11:47Rais mteule wa Marekani ametaka kupigiwa kura ya turufu azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
-
FAO: Watu milioni 12 Afrika Mashariki wanahitajia msaada wa chakula
Dec 21, 2016 23:35Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limetahadharisha kuwa, watu milioni 12 katika kanda ya Afrika Mashariki wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa.
-
Iran yalaani azimio la Canada dhidi yake katika Umoja wa Mataifa
Dec 21, 2016 00:21Iran imelaani azimio lililopitishwa dhidi yake katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu.
-
Onyo la Ban kuhusu uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini
Dec 20, 2016 11:15Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeondoka Ban Ki-Moon ameonya kuhusu uwezekano wa kuibuka mauaji ya kimbari Sudan Kusini iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa.