Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Umoja wa Mataifa wakataa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa wakataa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini

    Dec 23, 2016 23:39

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepinga wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini, ambayo inashuhudia mapigano kwa mwaka wa nne sasa.

  • Umoja wa Mataifa wamtaka Jammeh akabidhi madaraka Gambia

    Umoja wa Mataifa wamtaka Jammeh akabidhi madaraka Gambia

    Dec 23, 2016 04:07

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtaka Rais wa Gambia amkabidhi madaraka kwa amani Rais mteule wa nchi hiyo.

  • Kushadidi jinai za Saudia nchini Yemen, natija ya uzembe wa jamii ya kimataifa

    Kushadidi jinai za Saudia nchini Yemen, natija ya uzembe wa jamii ya kimataifa

    Dec 22, 2016 23:12

    Umoja wa Mataifa umetangaza wasi wasi wake kuhusu ripoti kuwa Saudi Arabia inatumia mabomu ya vishada katika vita vyake dhidi ya nchi jirani ya Yemen.

  • Trump ataka azimio la UN dhidi ya Israel lipigiwe kura ya veto

    Trump ataka azimio la UN dhidi ya Israel lipigiwe kura ya veto

    Dec 22, 2016 11:47

    Rais mteule wa Marekani ametaka kupigiwa kura ya turufu azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • FAO: Watu milioni 12 Afrika Mashariki wanahitajia msaada wa chakula

    FAO: Watu milioni 12 Afrika Mashariki wanahitajia msaada wa chakula

    Dec 21, 2016 23:35

    Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limetahadharisha kuwa, watu milioni 12 katika kanda ya Afrika Mashariki wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa.

  • Iran yalaani azimio la Canada dhidi yake katika Umoja wa Mataifa

    Iran yalaani azimio la Canada dhidi yake katika Umoja wa Mataifa

    Dec 21, 2016 00:21

    Iran imelaani azimio lililopitishwa dhidi yake katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu.

  • Onyo la Ban kuhusu uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Onyo la Ban kuhusu uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Dec 20, 2016 11:15

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeondoka Ban Ki-Moon ameonya kuhusu uwezekano wa kuibuka mauaji ya kimbari Sudan Kusini iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa.

  • Ban akariri wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini

    Ban akariri wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini

    Dec 20, 2016 04:28

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuwa Sudan Kusini iko katika ncha ya kushuhudia mauaji ya kimbari iwapo hatua za dharura hazitachukuliwa, huku akikariri wito wake wa kutaka nchi hiyo iwekewe vikwazo vya silaha.

  • Ban Ki-moon apuuza Palestina katika siku zake za mwisho

    Ban Ki-moon apuuza Palestina katika siku zake za mwisho

    Dec 19, 2016 04:50

    Wakati zikiwa zimebakia wiki mbili tu hadi kung'atuka madarakani kama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amethibitisha tena kwamba, jumuiya hiyo ya kimataifa imeshindwa kuwa na nafasi na mchango muhimu katika mgogoro wa Palestina.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa maridhiano ya kitaifa Libya

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa maridhiano ya kitaifa Libya

    Dec 19, 2016 00:55

    Umoja wa Mataifa sanjari na kuvipongeza vikosi vitiifu vya Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya kwa kuudhibiti kikamilifu mji wa pwani wa Sirte na kuukomboa kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi la Daesh, umewataka wananchi wote wa nchi hiyo kushirikiana katika mchakato wa maridhiano ya kitaifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS