-
UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia
Dec 03, 2016 01:14Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa jumuiya za kitaifa kutoa misaada ya kibinadamu kwa Somalia.
-
Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini
Dec 02, 2016 13:01Kutokana na kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini kuna hatari ya kutokea mauaji ya kimbari nchini humo.
-
Ra'ad al-Hussein: Kujiondoa ICC ni kuwasaliti wahanga wa ukiukwaji wa haki za binadamu
Dec 01, 2016 11:30Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kujiondoa nchi mbalimbali katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Ould Sheikh apinga serikali ya Uokovu wa Kitaifa Yemen
Nov 30, 2016 00:39Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amedai kuwa hatua ya Harakati ya Ansarullah ya kuunda serikali mpya ya Uokovu wa Kitaifa nchini humo haiisaidii chochote nchi hiyo wala kusogeza mbele mchakato wa amani nchini humo.
-
UN na EU zalaani shambulizi la kigaidi katika soko nchini Somalia
Nov 28, 2016 12:35Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimelaani shambulizi la kigaidi lililotokea katika soko la mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
UN: Kwa akali watoto milioni nne wa Kongo DR wamepoteza mzazi mmoja au wote
Nov 28, 2016 11:25Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kwa akali watoto milioni nne wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamepoteza mzazi mmoja au wote wawili.
-
Iran yakosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi
Nov 27, 2016 04:09Balozi na Naibu Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amekikosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi na kulitaka Baraza la Usalama la umoja huo kutekeleza majukumu yake ipasavyo kuhusiana na suala zima la ugaidi.
-
Sudan Kusini ipo tayari kutumwa kikosi kipya cha UN nchini humo
Nov 27, 2016 01:16Serikali ya Sudan Kusini imesema kuwa ipo tayari kuafiki kutumwa nchini humo kikosi kipya cha kudumisha amani wakati wowote, baada ya mapigano ya mwezi Julai huko Juba kutishia kuitumbukiza nchi hiyo katika vita vikubwa.
-
UN: Hali ya mambo Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi
Nov 26, 2016 11:02Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu ongezeko la ukatili na takwimu za mauaji ya raia katika mapigano yaliyoanza wiki iliyopita katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa washambuliwa Sudan
Nov 26, 2016 04:40Watu wenye silaha wamewalenga wafanyakazi wanne ambao ni wajumbe wa kamati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika katika mji wa Nyala katikati mwa mkoa wa Darfur Kusini nchini Sudan.