Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Ban Ki-moon afanya mkutano wa mwisho na waandishi habari akiwa Katibu Mkuu wa UN

    Ban Ki-moon afanya mkutano wa mwisho na waandishi habari akiwa Katibu Mkuu wa UN

    Dec 17, 2016 04:11

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amefanya mkutano rasmi wa mwisho na waandishi wa habari mjini New York ikiwa ni takribani majuma mawili kabla ya kumaliza awamu ya pili na ya mwisho ya uongozi wake katika chombo hicho .

  • UN yataka kutumwa askari wa kulinda amani Sudan Kusini

    UN yataka kutumwa askari wa kulinda amani Sudan Kusini

    Dec 14, 2016 10:44

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kutumwa askari wa kulinda amani nchini Sudan Kusini, ili kuzuia nchi hiyo isitumbukie katika mauaji ya kimbari kama yale yaliyoshuhudiwa nchini Rwanda mwaka 1994.

  • Kuapishwa Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa na changamoto zinazoukabili umoja huo

    Kuapishwa Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa na changamoto zinazoukabili umoja huo

    Dec 14, 2016 00:54

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa siku ya Jumatatu alikula kiapo katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ikiwa ni siku chache tu kabla ya kukabidhiwa rasmi ofisi ya Katibu Mkuu wa UN.

  • Guterres aapishwa, awataka viongozi kuwasikiliza wananchi

    Guterres aapishwa, awataka viongozi kuwasikiliza wananchi

    Dec 13, 2016 04:24

    Waziri Mkuu wa zamani wa Ureno, Antonio Guterres, ameapishwa kuwa Katibu MKuu mpya wa Umoja wa Mataifa, kuja kurithi mikoba ya Ban Ki-moon.

  • Syria yalaani azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Syria yalaani azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Dec 10, 2016 04:00

    Syria imelaani azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linalotaka kusimamishwa "mara moja" mapambano dhidi ya makundi yanayobeba silaha ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • UN: Boko Haram ingali tishio licha ya kupoteza ngome zake

    UN: Boko Haram ingali tishio licha ya kupoteza ngome zake

    Dec 08, 2016 04:02

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram lenye makao yake nchini Nigeria lingali tishio katika eneo la Ziwa Chad licha ya kupoteza udhibiti wa ngome zake nyingi.

  • Ban ataka watu wenye ulemavu washirikishwe katika maendeleo

    Ban ataka watu wenye ulemavu washirikishwe katika maendeleo

    Dec 03, 2016 10:08

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametoa wito wa kujumuishwa kikamilifu watu wenye ulemavu katika shughuli za maendeleo.

  • UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia

    UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia

    Dec 03, 2016 01:14

    Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa jumuiya za kitaifa kutoa misaada ya kibinadamu kwa Somalia.

  • Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Dec 02, 2016 13:01

    Kutokana na kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini kuna hatari ya kutokea mauaji ya kimbari nchini humo.

  • Ra'ad al-Hussein: Kujiondoa ICC ni kuwasaliti wahanga wa ukiukwaji wa haki za binadamu

    Ra'ad al-Hussein: Kujiondoa ICC ni kuwasaliti wahanga wa ukiukwaji wa haki za binadamu

    Dec 01, 2016 11:30

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kujiondoa nchi mbalimbali katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS