Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia

    UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia

    Dec 03, 2016 01:14

    Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa jumuiya za kitaifa kutoa misaada ya kibinadamu kwa Somalia.

  • Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Dec 02, 2016 13:01

    Kutokana na kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini kuna hatari ya kutokea mauaji ya kimbari nchini humo.

  • Ra'ad al-Hussein: Kujiondoa ICC ni kuwasaliti wahanga wa ukiukwaji wa haki za binadamu

    Ra'ad al-Hussein: Kujiondoa ICC ni kuwasaliti wahanga wa ukiukwaji wa haki za binadamu

    Dec 01, 2016 11:30

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kujiondoa nchi mbalimbali katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Ould Sheikh apinga serikali ya Uokovu wa Kitaifa Yemen

    Ould Sheikh apinga serikali ya Uokovu wa Kitaifa Yemen

    Nov 30, 2016 00:39

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amedai kuwa hatua ya Harakati ya Ansarullah ya kuunda serikali mpya ya Uokovu wa Kitaifa nchini humo haiisaidii chochote nchi hiyo wala kusogeza mbele mchakato wa amani nchini humo.

  • UN na EU zalaani shambulizi la kigaidi katika soko nchini Somalia

    UN na EU zalaani shambulizi la kigaidi katika soko nchini Somalia

    Nov 28, 2016 12:35

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimelaani shambulizi la kigaidi lililotokea katika soko la mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • UN: Kwa akali watoto milioni nne wa Kongo DR wamepoteza mzazi mmoja au wote

    UN: Kwa akali watoto milioni nne wa Kongo DR wamepoteza mzazi mmoja au wote

    Nov 28, 2016 11:25

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kwa akali watoto milioni nne wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamepoteza mzazi mmoja au wote wawili.

  • Iran yakosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi

    Iran yakosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi

    Nov 27, 2016 04:09

    Balozi na Naibu Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amekikosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi na kulitaka Baraza la Usalama la umoja huo kutekeleza majukumu yake ipasavyo kuhusiana na suala zima la ugaidi.

  • Sudan Kusini ipo tayari kutumwa kikosi kipya cha UN nchini humo

    Sudan Kusini ipo tayari kutumwa kikosi kipya cha UN nchini humo

    Nov 27, 2016 01:16

    Serikali ya Sudan Kusini imesema kuwa ipo tayari kuafiki kutumwa nchini humo kikosi kipya cha kudumisha amani wakati wowote, baada ya mapigano ya mwezi Julai huko Juba kutishia kuitumbukiza nchi hiyo katika vita vikubwa.

  • UN: Hali ya mambo Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi

    UN: Hali ya mambo Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi

    Nov 26, 2016 11:02

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu ongezeko la ukatili na takwimu za mauaji ya raia katika mapigano yaliyoanza wiki iliyopita katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa washambuliwa Sudan

    Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa washambuliwa Sudan

    Nov 26, 2016 04:40

    Watu wenye silaha wamewalenga wafanyakazi wanne ambao ni wajumbe wa kamati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika katika mji wa Nyala katikati mwa mkoa wa Darfur Kusini nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS