Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Sisitizo la Russia juu ya nafasi ya UN katika kutatua migogoro ya kimataifa

    Sisitizo la Russia juu ya nafasi ya UN katika kutatua migogoro ya kimataifa

    Nov 25, 2016 12:57

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuna udharura wa kuwepo ushirikiano kati ya nchi yake na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutatua migogoro duniani.

  • UN yakosoa kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi

    UN yakosoa kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi

    Nov 24, 2016 04:34

    Umoja wa Mataifa umelaani uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kujenga nyumba 500 mpya mashariki mwa Baitul Muqaddas.

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa juu ya haki ya taifa la Palestina ya kujiainishia mustakbali

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa juu ya haki ya taifa la Palestina ya kujiainishia mustakbali

    Nov 23, 2016 23:32

    Nchi 170 kati ya nchi 193 wanachama wa Kamati ya Kijamii, Kiutamaduni na Kibinadamu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (SOCHUM) zimeipigia kura ya ndio rasimu ya azimio lenye anwani inayosema, "Haki ya Taifa la Palestina ya Kujiainishia Mustakabali Wake".

  • UN yatoa wito kwa Saudia iwaachie huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu

    UN yatoa wito kwa Saudia iwaachie huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu

    Nov 22, 2016 12:55

    Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza utiaji nguvuni kiholela unaofanywa duniani imetoa wito tena wa kuachiwa huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia.

  • OCHA: Watu karibu milioni tatu Sudan Kusini wamekuwa wakimbizi tangu 2013

    OCHA: Watu karibu milioni tatu Sudan Kusini wamekuwa wakimbizi tangu 2013

    Nov 22, 2016 04:37

    Ofisi ya uratibu ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya kibinaadamu (OCHA) imeetangaza kuwa, karibu watu milioni tatu raia wa Sudan Kusini wamekuwa wakimbizi wa ndani au katika nchi jirani tangu mwezi Disemba mwaka 2013 hadi sasa.

  • Uchunguzi: Marekani ilishinikiza kutimuliwa kamanda wa Kenya, Sudan Kusini

    Uchunguzi: Marekani ilishinikiza kutimuliwa kamanda wa Kenya, Sudan Kusini

    Nov 20, 2016 04:40

    Uchunguzi uliofanywa na shirika moja la kimataifa la kutathmini masuala ya sera umefichua kuwa, Marekani ilishinikiza kufutwa kazi kamanda wa ngazi za juu wa jeshi la Kenya aliyekuwa akisimamia Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani nchini Sudan Kusini (UNMISS).

  • Mjumbe wa UN asisitiza kufanyika mazungumzo kuhusu mgogoro wa Libya

    Mjumbe wa UN asisitiza kufanyika mazungumzo kuhusu mgogoro wa Libya

    Nov 14, 2016 23:22

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Libya amesema kuwa mazungumzo na kujiepusha na mivutano ya kijeshi huko Libya ndiyo njia pekee itakayoupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • UN yatadharidha kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    UN yatadharidha kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Nov 12, 2016 04:16

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa yumkini Sudan Kusini ikatumbukia katika mauaji ya kimbari kutokana na kushadidi mapigano ya kikabila nchini humo.

  • UN yawasilisha mpango wa kuunusuru mji wa Aleppo, Syria

    UN yawasilisha mpango wa kuunusuru mji wa Aleppo, Syria

    Nov 11, 2016 11:51

    Mshauri wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa huko Syria amesema kuwa umoja huo umewasilisha mpango wenye vipengee vinne kwa ajili ya kuunusuru mji wa Aleppo kutoka katika udhibiti wa magaidi.

  • UNICEF: Hujuma dhidi ya watoto Myanmar inatia wasi wasi

    UNICEF: Hujuma dhidi ya watoto Myanmar inatia wasi wasi

    Nov 10, 2016 09:58

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umeeleza wasi wasi wake kuhusu jinai za kutisha dhidi ya watoto zinazotekelezwa na jeshi la Myanmar katika jimbo la Rakhine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS