Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yatoa wito kwa Saudia iwaachie huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu

    UN yatoa wito kwa Saudia iwaachie huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu

    Nov 22, 2016 12:55

    Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza utiaji nguvuni kiholela unaofanywa duniani imetoa wito tena wa kuachiwa huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia.

  • OCHA: Watu karibu milioni tatu Sudan Kusini wamekuwa wakimbizi tangu 2013

    OCHA: Watu karibu milioni tatu Sudan Kusini wamekuwa wakimbizi tangu 2013

    Nov 22, 2016 04:37

    Ofisi ya uratibu ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya kibinaadamu (OCHA) imeetangaza kuwa, karibu watu milioni tatu raia wa Sudan Kusini wamekuwa wakimbizi wa ndani au katika nchi jirani tangu mwezi Disemba mwaka 2013 hadi sasa.

  • Uchunguzi: Marekani ilishinikiza kutimuliwa kamanda wa Kenya, Sudan Kusini

    Uchunguzi: Marekani ilishinikiza kutimuliwa kamanda wa Kenya, Sudan Kusini

    Nov 20, 2016 04:40

    Uchunguzi uliofanywa na shirika moja la kimataifa la kutathmini masuala ya sera umefichua kuwa, Marekani ilishinikiza kufutwa kazi kamanda wa ngazi za juu wa jeshi la Kenya aliyekuwa akisimamia Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani nchini Sudan Kusini (UNMISS).

  • Mjumbe wa UN asisitiza kufanyika mazungumzo kuhusu mgogoro wa Libya

    Mjumbe wa UN asisitiza kufanyika mazungumzo kuhusu mgogoro wa Libya

    Nov 14, 2016 23:22

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Libya amesema kuwa mazungumzo na kujiepusha na mivutano ya kijeshi huko Libya ndiyo njia pekee itakayoupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • UN yatadharidha kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    UN yatadharidha kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Nov 12, 2016 04:16

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa yumkini Sudan Kusini ikatumbukia katika mauaji ya kimbari kutokana na kushadidi mapigano ya kikabila nchini humo.

  • UN yawasilisha mpango wa kuunusuru mji wa Aleppo, Syria

    UN yawasilisha mpango wa kuunusuru mji wa Aleppo, Syria

    Nov 11, 2016 11:51

    Mshauri wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa huko Syria amesema kuwa umoja huo umewasilisha mpango wenye vipengee vinne kwa ajili ya kuunusuru mji wa Aleppo kutoka katika udhibiti wa magaidi.

  • UNICEF: Hujuma dhidi ya watoto Myanmar inatia wasi wasi

    UNICEF: Hujuma dhidi ya watoto Myanmar inatia wasi wasi

    Nov 10, 2016 09:58

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umeeleza wasi wasi wake kuhusu jinai za kutisha dhidi ya watoto zinazotekelezwa na jeshi la Myanmar katika jimbo la Rakhine.

  • Mjumbe wa UN atadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu inayoikabili Yemen

    Mjumbe wa UN atadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu inayoikabili Yemen

    Nov 08, 2016 12:07

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu inayoikabili nchi hiyo.

  • Kulaaniwa shambulio dhidi ya vikosi vya kimataifa kaskazini mwa Mali

    Kulaaniwa shambulio dhidi ya vikosi vya kimataifa kaskazini mwa Mali

    Nov 08, 2016 09:51

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio dhidi ya msafara wa kikosi cha kimataifa cha kusimamia amani MINUSMA kaskazini mwa nchi ya Mali iliyoko magharibi mwa Afrika.

  • Zimbabwe yakataa wito wa kukubali ushoga na ndoa za jinsia moja

    Zimbabwe yakataa wito wa kukubali ushoga na ndoa za jinsia moja

    Nov 08, 2016 03:55

    Serikali ya Zimbabwe imesema katu haitokubali wito wa Umoja wa Mataifa wa kukubali ushoga na ndoa za jinsia moja katika nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS