-
WHO: Maelfu ya watu wameuawa nchini Yemen
Nov 07, 2016 11:20Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa maelfu ya watu wameuawa nchini Yemen katika mashambulizi ya Saudi Arabia na washirika wake ambayo yanaingia mwezi wa 20 sasa.
-
Askari jeshi wa UN na raia wauawa na wanamgambo huko Mali
Nov 07, 2016 00:48Askari jeshi mmoja wa kulinda amani wa kikosi cha Umoja wa Mataifa na raia wawili wameuawa katika shambulio linaloshukiwa kufanywa na wanamgambo wenye silaha katikati mwa Mali.
-
Wito wa kuvumiliana kati ya serikali na wapinzani wa Kongo DR
Nov 05, 2016 08:16Mkuu wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameitolea mwito serikali na wapinzani nchini humo kuvumiliana.
-
Somalia na UN zakaribisha usitishaji mapigano baina ya Puntland na GalMudug
Nov 05, 2016 00:05Rais wa Somalia na mjumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya nchi hiyo wamekaribisha makubaliano ya usitishaji mapigano yaliyofikiwa baina ya majimbo mawili ya nchi hiyo ya Puntland na GalMudug juu ya eneo la Galkayo.
-
UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela
Oct 30, 2016 03:49Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Kenya ya kubadilisha adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela kwa maelfu ya watu waliokuwa wakisubiri kutekelezwa hukumu hiyo dhidi yao.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa mienendo hasi ya utawala haramu wa Israel
Oct 30, 2016 03:40Michael Lynk, Mwakilisi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Haki za Binaadamu katika ardhi za Palestina, amesema kuwa Israel inazuia shughuli za makundi ya kutetea haki za binaadamu.
-
Wakati Umoja wa Mataifa unaposhindwa kuwa mkweli kuhusu mgogoro wa Syria
Oct 28, 2016 03:47Bashar al Jaafari, mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa na Vitaly Churkin, mwakilishi wa kudumu wa Russia katika umoja huo wamekosoa vikali hatua ya maafisa wa UN wanaotoa ripoti za upendeleo na za upande mmoja kuhusiana na mgogoro wa Syria. Ikumbukwe kuwa hivi sasa Russia ndiye mwenyekiti wa Baraza la Usalama la umoja wa Mataifa.
-
UN: Nigeria inakabiliwa na hali mbaya zaidi ya kibinadamu barani Afrika
Oct 27, 2016 07:24Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na uratibu wa misaada ya kibinadamu ameonya kuwa Nigeria ni nchi inayokabiliwa na hali mbaya zaidi ya kibinadamu barani Afrika ambapo watoto wapatao 400,000 wanataabika kwa njaa huku raia wakiteseka kwa kupata kiwango kidogo au kukosa kabisa ulinzi, usalama, chakula au hata maji safi.
-
UN yatadharisha kuhusu uhaba wa chakula Yemen
Oct 26, 2016 04:37Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umetahadharisha kuhusu kushtadi tatizo la njaa na uhaba wa chakula huko Yemen.
-
Watu elfu tisa wamekuwa wakimbizi Mosul
Oct 26, 2016 03:31Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa watu karibu elfu tisa wamekuwa wakimbizi katika mji wa Mosul nchini Iraq.