Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Umoja wa Mataifa walaani matamshi ya kibaguzi ya Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni

    Umoja wa Mataifa walaani matamshi ya kibaguzi ya Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni

    Oct 26, 2016 01:09

    Umoja wa Mataifa umelaani matamshi ya kibaguzi yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba anakusudia yeye mwenyewe binafsi kushiriki katika uchimbaji mashimo chini ya msikiti wa Al- Aqsa.

  • UN: DAESH wamewaua kinyama raia wengi wa mji wa Mosul

    UN: DAESH wamewaua kinyama raia wengi wa mji wa Mosul

    Oct 26, 2016 01:08

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa umepokea ripoti kadhaa zinazoonyesha kuwa, sambamba na vikosi vya jeshi la Iraq kukaribia mji wa Mosul kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeua makumi ya watu wakiwemo maafisa 50 wa polisi ya Iraq ambao wameuliwa kinyama na magaidi wa kundi hilo.

  • Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Mataifa CAR walaumiwa kwa udhaifu

    Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Mataifa CAR walaumiwa kwa udhaifu

    Oct 25, 2016 02:29

    Raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wamekosoa vikali udhaifu wa askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Mataifa ndani ya nchi hiyo.

  • UN: Mabinti elfu 47 katika hatari ya kulazimishwa ndoa za mapema kila siku

    UN: Mabinti elfu 47 katika hatari ya kulazimishwa ndoa za mapema kila siku

    Oct 22, 2016 00:56

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa, watoto wadogo wa kike zaidi ya elfu 47 wapo katika hatari ya kulazimishwa kushiriki ndoa za mapema kila siku duniani.

  • Syria: Magaidi wanazuia raia kutoka mji wa Aleppo

    Syria: Magaidi wanazuia raia kutoka mji wa Aleppo

    Oct 21, 2016 10:23

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanawazuia raia kuugura mji wa Aleppo, ambao kwa sasa unashuhudia makabiliano makali kati ya vikosi vya serikali na magenge ya kigaidi.

  • UN yaeleza matumaini yake kuhusu makubaliano ya kisiasa DRC

    UN yaeleza matumaini yake kuhusu makubaliano ya kisiasa DRC

    Oct 20, 2016 10:18

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amesema ana wingi wa matumaini kuwa makubaliano ya kisiasa yaliyofikiwa Jumanne iliyopita katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yatasaidia kuheshimiwa haki za binadamu sambamba na kufanyika uchaguzi wenye itibari katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • UN: Hali ya hatari Ethiopia inalenga wanadiplomasia na wanahabari

    UN: Hali ya hatari Ethiopia inalenga wanadiplomasia na wanahabari

    Oct 18, 2016 03:34

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema anafuatilia kwa karibu matukio ya hivi sasa nchini Ethiopia na kueleza wasi wasi wake kuwa hali ya hatari iliyotangazwa hivi karibuni na serikali ya Addis Ababa, inawaathiri zaidi wanadiplomasia na waandishi wa habari.

  • Ansarullah: Umoja wa Mataifa uchunguze ukatili wa Saudia Yemen

    Ansarullah: Umoja wa Mataifa uchunguze ukatili wa Saudia Yemen

    Oct 17, 2016 00:58

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa juu ya mauaji ya kinyama yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia nchini Yemen hivi karibuni.

  • UN yalaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    UN yalaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Oct 15, 2016 04:40

    Kikao maalumu cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kimekosoa vikali kuendelezwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • UN yalaani kutumiwa mabavu dhidi ya raia Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN yalaani kutumiwa mabavu dhidi ya raia Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 14, 2016 11:37

    Umoja wa Mataifa umelaani kuuliwa raia katika machafuko mapya ya makundi yenye silaha huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS