Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Mustakabali wa kisiasa DRC umegubikwa na kiza

    UN: Mustakabali wa kisiasa DRC umegubikwa na kiza

    Oct 12, 2016 04:26

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa hali ya kisiasa na kiusalama katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ipo katika hali nyeti hivi sasa na kwamba huenda machafuko yakashtadi.

  • UN yaitaka Sudan Kusini ikubali kutumwa askari 4000 wa kieneo

    UN yaitaka Sudan Kusini ikubali kutumwa askari 4000 wa kieneo

    Oct 12, 2016 04:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka Sudan Kusini itekeleze ahadi iliyotoa, ya kukubali makubaliano ya kimataifa ya kutumwa askari 4,000 wa kieneo nchini humo.

  • Palestina yaushtaki utawala wa Kizayuni kwa Umoja wa Mataifa

    Palestina yaushtaki utawala wa Kizayuni kwa Umoja wa Mataifa

    Oct 09, 2016 23:14

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetuma ripoti kwa Umoja wa Mataifa ikiushitaki utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kukanyaga sheria zote za kimataifa.

  • UN: Sudan izungumzie 'kutumiwa silaha za kemikali Darfur'

    UN: Sudan izungumzie 'kutumiwa silaha za kemikali Darfur'

    Oct 05, 2016 11:31

    Umoja wa Mataifa umeitaka Sudan ieleze msimamo wake kuhusu madai ya kutumiwa silaha za kemikali dhidi ya raia katika jimbo la Darfur.

  • Iran: Ugaidi umezuia kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu

    Iran: Ugaidi umezuia kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu

    Oct 04, 2016 04:43

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema ugaidi na misimamo mikali ya kufurutu ada vimekuwa kizingiti kikuu katika kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs.

  • UN: Wakimbizi 70,000 wa Dadaab wanataka kurudu Somalia

    UN: Wakimbizi 70,000 wa Dadaab wanataka kurudu Somalia

    Oct 04, 2016 04:32

    Umoja wa Mataifa umesema robo ya wakimbizi wa Kisomali wanaoishi katika kambi ya Dadaab nchini Kenya wametangaza utayarifu wao wa kurejea nchini kwao Somalia karibuni hivi.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali mbaya ya kibinadamu kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali mbaya ya kibinadamu kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Oct 02, 2016 04:27

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, iwapo nchi wafadhili hazitaisadia serikali ya Nigeria katika kuishughulikia hali mbaya ya kimaisha wanayokabiliwa nayo wakazi wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo, basi ulimwengu utashuhudia mgogoro mbaya zaidi wa kibinadamu katika eneo hilo la magharibi mwa Afrika.

  • Umoja wa Mataifa kuimarisha kikosi chake cha kusimamia amani CAR

    Umoja wa Mataifa kuimarisha kikosi chake cha kusimamia amani CAR

    Oct 01, 2016 12:12

    Mkurugenzi wa Masuala ya Mawasiliano ya Wasimamia Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ametangaza kuwa, umoja huo una mpango wa kuimarisha zaidi kikosi chake katika nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa: Maefu ya watoto Nigeria wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na ukame

    Umoja wa Mataifa: Maefu ya watoto Nigeria wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na ukame

    Oct 01, 2016 10:29

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kwamba, endapo misaada ya kimataifa haitafika kwa wakati, basi maelfu ya watoto wa kaskazinu mashariki mwa Nigeria watafariki dunia ifikapo mwakani kutokana na ukame na lishe duni.

  • UN: Watoto 75 elfu wapo katika hatari ya kufa njaa Nigeria

    UN: Watoto 75 elfu wapo katika hatari ya kufa njaa Nigeria

    Sep 29, 2016 10:24

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, maelfu ya watoto wadogo wapo katika hatari ya kupoteza maisha katika kipindi cha mwaka mmoja ujao, kutokana na njaa na utapiamlo 'uliosababishwa' na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS